Sivan
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 923
- 1,223
Aisee sikutaka nichangie nimeshindwa jizuia, wewe jamaa una akiri timamu kweli??MO anajulikana na kampuni gani?
Aisee sikutaka nichangie nimeshindwa jizuia, wewe jamaa una akiri timamu kweli??MO anajulikana na kampuni gani?
Hata Kama Mr kuku alikuwa Ana Nia mbaya ya kuwabamiza watu,lakini kwa kijana wa miaka 29,kuweza kuanzisha kitu,na kukusanya bilioni 17!hiyo ni akili kubwa!
Kuna watu wapo serikalini,bungeni kwa miaka 40,hawana hata kakampuni ka kufunga maji.
Vijana kawa ilibidi wakusanywe,wapewe msaada,watumike vzr,ujuzi wao utumike vzr kuanzisha mambo makubwa,
Bahati mbaya,hii nchi Haina thinkers wanaoweza kuwatumia vijana Kama Hawa,ni hakika huyu kijana,akili inachaji kweli kweli!
Sasa atakutana na system ilyojaa,mizee mivimba macho,atahukumiwa,atapigwa faini,atafilisiwa,Kwisha habari,
Serikali yenyewe,ilishindwa kwenye Ishu ya korosho,ikawapa hasara wakulima,
Huyu ilibidi awekwe sehemu,apewe mwongozo,kwa kutumia bichwa lake,alete vitu ,mipango,business plans,ambazo zitainufaisha nchi.
China,kila kijana anafundishwa,lengo lake liwe kuifanya China iwe superpower,achangie anavyoweza,ndio maana wafanyakazi wote wa kichina,waliopo USA,ulaya,lengo lao ni moja tu,iba Siri za kila kitu,uchumi,kilimo,sayansi,pereka nyumbani,China.
Hebu fikiria Kama kila MTZ,popote alipo duniani atakuwa anafanya udukuzi kwa ajiri ya nchi!
Tutakuwa na maspy kibao,na vyanzo kibao vya taarifa/Intel.