Wajanja wa game kali za mobile tukutane hapa

Wajanja wa game kali za mobile tukutane hapa

Hiyo escape room ikoje na inapatikana wapi?
Utakuja kuniambia mkuu...Ni bonge moja la game lazima utumie sana akili kwenye baadhi ya sehemu.....Unaweza kudata[emoji3]
Screenshot_20200812-231520.jpg
 
Mzee Hii Pugb mobile ikoje na story yake??? naiona ni maarufu sana ni action au ikoje
kiongoz hii n kitu ya online unacheza ww na marafik zako mech moja inakua na players 100 afu kila team inakua na players 4 kinachofuata n BATTLE la maaana wa mwisho ndio mshind
 
kiongoz hii n kitu ya online unacheza ww na marafik zako mech moja inakua na players 100 afu kila team inakua na players 4 kinachofuata n BATTLE la maaana wa mwisho ndio mshind
huwez kucheza offline??
 
BIA3...( Brothers in Arms 3)
Character akiwa brad pitt....
Kwangu ni bora zaidi. Offline na online.... Battles
 
BIA3...( Brothers in Arms 3)
Character akiwa brad pitt....
Kwangu ni bora zaidi. Offline na online.... Battles
Kumbe ni Bradd Pitt yule?? mi kuna level nikaishiwa assets likawa gumu kwangu ila bonge la game[emoji106][emoji123][emoji123]
 
Game moja zuri Sana mkuu . Kuna Magame mengine Unayatengeneza kwenye PPSSPP kama GOD OF WAR noma sama mkuu
Mzee inakuwaje hii huwa napenda san kuzipata hizi game za psp.....Najua tu app ya psp naipata playstore je hizi game je nazipatia wapi...?? kuna watu naona wamehack sijui ku patch Pes hadi Simba ipo[emoji3]
 
[emoji3][emoji3][emoji3]Ndo huwaga nashindwa hapo kwanza hafiki mwisho
Ile nahisi haina mwisho😅 me naona inavyozidi kwenda mbele inakua more interesting mtu unajitahidi kupambana uone mbele kuna kikwazo kipi
 
Back
Top Bottom