Katoto kadhuri
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 759
- 327
Yangu boy wangu aniache nimekuwa mtu wa hasira yaani unaweza nisemesha vizuri tu lakini nikakujibu vibaya
Nashinda tu nimelala nikichoka kulala naingia bafuni nakaa huko wee natoka nimeridhika.
Imefikia hatua hata sielewi kwakweli maana hapo nyuma sikuaga hivi. Yawezekana ni upweke tu unasumbua.
Wanaume wa jf nao wamejaa kejeli hata kufarijiana awajua yaani kuna mmoja yeye yupo yupo tu ata kuongea hajui.
Nashinda tu nimelala nikichoka kulala naingia bafuni nakaa huko wee natoka nimeridhika.
Imefikia hatua hata sielewi kwakweli maana hapo nyuma sikuaga hivi. Yawezekana ni upweke tu unasumbua.
Wanaume wa jf nao wamejaa kejeli hata kufarijiana awajua yaani kuna mmoja yeye yupo yupo tu ata kuongea hajui.

