Wajamini dawa ya upweke ni mini?

Wajamini dawa ya upweke ni mini?

Katoto kadhuri

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2017
Posts
759
Reaction score
327
Yangu boy wangu aniache nimekuwa mtu wa hasira yaani unaweza nisemesha vizuri tu lakini nikakujibu vibaya

Nashinda tu nimelala nikichoka kulala naingia bafuni nakaa huko wee natoka nimeridhika.

Imefikia hatua hata sielewi kwakweli maana hapo nyuma sikuaga hivi. Yawezekana ni upweke tu unasumbua.

Wanaume wa jf nao wamejaa kejeli hata kufarijiana awajua yaani kuna mmoja yeye yupo yupo tu ata kuongea hajui.
 
hiyo hiyo mini "" ndio dawa ya upweke mkuu
 
hahàaaaa"" kwahiyo hpo unawaponda wanaume wa Jf kijanja"".ili wengine wanao jifnya wanajua Ku care wakufuate Pm """

Jf imeshapatwa aiseee''"" mademu wa badoo wamevamia huku ""
 
Yangu boy wangu aniache nimekuwa mtu wa hasira yaani unaweza nisemesha vizuri tu lakini nikakujibu vibaya

Nashinda tu nimelala nikichoka kulala naingia bafuni nakaa huko wee natoka nimeridhika.

Imefikia hatua hata sielewi kwakweli maana hapo nyuma sikuaga hivi. Yawezekana ni upweke tu unasumbua.

Wanaume wa jf nao wamejaa kejeli hata kufarijiana awajua yaani kuna mmoja yeye yupo yupo tu ata kuongea hajui.
Dawa ya upweke ni kushinda humu JF tu
Hamna namna
 
hahàaaaa"" kwahiyo hpo unawaponda wanaume wa Jf kijanja"".ili wengine wanao jifnya wanajua Ku care wakufuate Pm """

Jf imeshapatwa aiseee''"" mademu wa badoo wamevamia huku ""
Mbona haujamuita ndugu yako
 
Back
Top Bottom