Wajamani, "it feels good 2 know ur limits."

Mmmh.. ina maana Rutashubanyuma kweli hii ni coincidence? yaani yamenikuta mimi halafu wewe kurudi jamvini unakuja na uzi wa kunigusa!!!!?? sitaki kuamini.

Rogie.....kuteleza siyo kuanguka......................na kuanguka siyo kuumia.............na kuumia siyo kuwa hakuna tiba............................elewa mipaka yako na utaishi kwa miraha kebe wa kebe..........
 
Last edited by a moderator:
Rutashubanyuma dah niimiss sana utenzi wako aise
ulikuwa wapi aise na kupotea hivyo

Mr Rocky...........amini usiamini [MENTION]Asha D[/MENTION] alinipiga "ban" ya mwezi mbili hivi.............kosa bado kunijulisha.........................may be you know something which I don't
 
Last edited by a moderator:
Frustrations nyingi huzaliwa kutokana na watu kutokujua limits zao hivyo kujiwekea malengo wasiyoweza kuyafikia.
[MENTION]
Mvaa Tai[/MENTION]................Really a BIG POINT..........tuache kujifaragua kwenye maeneo ambayo yapo nje ya vipaji vyetu.....
 
Rogie.....kuteleza siyo kuanguka......................na kuanguka siyo kuumia.............na kuumia siyo kuwa hakuna tiba............................elewa mipaka yako na utaishi kwa miraha kebe wa kebe..........

Yes Rutashubanyuma, i am trying to cope up with the situation and from now on I know my limits. I hoped for impossibilities.
 
Last edited by a moderator:
Waswahili hulonga..."penye chokochoko.."
Usiache kupapulizia papoe, pakitulia...
Basi ujue mambo yamejipa na ni shwari..
Pakiendelea kufurukuta basi elewa kazi ipo
Wajamani,
"it feels good 2 know ur limits."

Wengi huamini ukikaza musuli utafanikiwa,
Wengi hujidanganya, "the sky is the limit"
Wengi hujipooza, lolote lawezekana.............
Lakini ukweli wabakia tunayo mipaka ya nguvu..
Wajamani,
"it feels good 2 know ur limits."

Kauli na makeke huwa hayatupiti........
Tunapopigwa chini huanza kutafuta visingizio......
Lawama kibao kwa wengine, huku kwetu ni ukimya..
Hivi tatizo ni wao au ndoto zetu zisizotekelezeka?
Wajamani,
"it feels good 2 know ur limits."

Tambua mipaka yako utaishi kwa miraha..
Karaha kwako kando kwani utapanga mipango fanikika
Watakaokucheka zao ni arobaini kwani wataumbuka
Usitawaliwe na kauli za wengine ila misimamo yako
Wajamani,
"it feels good 2 know ur limits."

"Kisukari kubwa" na kiharusi kwako itakuwa mwiko
Kwa sababu unakula kulingana na mkono wako
Kujilinganisha ni mtego wewe sasa umeukwepa
Kwani kila mmoja alizaliwa kivyake-vyake..
Wajamani,
"it feels good 2 know ur limits."

I am beginning to feel like it is X-MAS..............

Did you get some white X-mass, or not yet to feel without it
 
Did you get some white X-mass, or not yet to feel without it

Candid Scope........maybe i rephrase......................"It is beginning to feel like X-Mas."............................White X-Mas is bad news...................mostly jostled by "limits foolishness."
 
Last edited by a moderator:
Yes Rutashubanyuma, i am trying to cope up with the situation and from now on I know my limits. I hoped for impossibilities.

Rogie Opportunists are well trained to take advantage of this emotional ailment.............so watch out next time.................when a offer is too good to be true.........................when it is like that just pass it..................and your journey to total independence will be on........
 
Last edited by a moderator:
hahaaa some ...some of it nimefeli arifu naomba maujuzi.

Chauro Usihofu dunia ndilo funzo kuu.............maujuzi yatakuja tu ila kwa kilio na kusaga meno.........
 
Last edited by a moderator:
Kweli kumekucha X-mass hii.....

Naamini itakuwa poa sana.!!!

Ila kwa hilo shairi, huo ushauri utakuwa unatekelezeka kama tu "other factors remain constant"
 
Rogie Opportunists are well trained to take advantage of this emotional ailment.............so watch out next time.................when a offer is too good to be true.........................when it is like that just pass it..................and your journey to total independence will be on........
Thanks for this..will watch on my next move then..
 
Waswahili hulonga..."penye chokochoko.."
Usiache kupapulizia papoe, pakitulia...
Basi ujue mambo yamejipa na ni shwari..
Pakiendelea kufurukuta basi elewa kazi ipo
Wajamani,
"it feels good 2 know ur limits."

Wengi huamini ukikaza musuli utafanikiwa,
Wengi hujidanganya, "the sky is the limit"
Wengi hujipooza, lolote lawezekana.............
Lakini ukweli wabakia tunayo mipaka ya nguvu..
Wajamani,
"it feels good 2 know ur limits."

Kauli na makeke huwa hayatupiti........
Tunapopigwa chini huanza kutafuta visingizio......
Lawama kibao kwa wengine, huku kwetu ni ukimya..
Hivi tatizo ni wao au ndoto zetu zisizotekelezeka?
Wajamani,
"it feels good 2 know ur limits."

Tambua mipaka yako utaishi kwa miraha..
Karaha kwako kando kwani utapanga mipango fanikika
Watakaokucheka zao ni arobaini kwani wataumbuka
Usitawaliwe na kauli za wengine ila misimamo yako
Wajamani,
"it feels good 2 know ur limits."

"Kisukari kubwa" na kiharusi kwako itakuwa mwiko
Kwa sababu unakula kulingana na mkono wako
Kujilinganisha ni mtego wewe sasa umeukwepa
Kwani kila mmoja alizaliwa kivyake-vyake..
Wajamani,
"it feels good 2 know ur limits."

I am beginning to feel like it is X-MAS..............

..........hii Juma Nature au Afande Sele wataweza kuimba ?! ........maana sioni vina wala mizani wala uzito !!:confused2:
 
your very right once you accept the limits you will live in peace, kweli baba kichwa cha nyumba hata haki sawa zihubiriwe vipi lazima maamuzi ya kichwa cha nyumba yatolewe na baba na si mama
 
39 Reactions
Reply
Back
Top Bottom