Lyagwa
JF-Expert Member
- Feb 3, 2013
- 1,634
- 893
Story ya siku nyingi lakini kama ya uongo vile hizo ni mila na tamaduni za kabila ambalo lipo hapa Tanzania kweli, any way tuwaachie wenyewe maana najua kwa majanga ya sasa wanajua hali si nzuri huenda majority walikwisha badilika na kuiacha hiyo tamaduni mbaya na kuendelea na yaliyo mazuri. Hata mtoa mada anaungana ama anaafiki tamaduni nyingine mbovu eti anakerwa na la baba mkwe tu, mfano mdogo mtu kulala na shemejie pindi kaka yake kasafiri yeye anaita its normal, hiyo normal yako/yenu duh mbona mtakwisha kama mna practice hivyo vitendo haramu vya unzinzi.