Waiting for perfect men(girls mtajuta)

Waiting for perfect men(girls mtajuta)

Perfection to most girls means WEALTH.......trust me,For that....THEY CAN WAIT!
 
Hehehe ndoa ya uzeeni haina raha...Hiyo ni kumalizia tuu starehe za ndoa na kutafuta wa kumuomba ruhusa wakati ukitaka kutoka......Km ni starehe za ndoa unakuwa ulishazianza siku nyingi tuu hata zaidi ya hizo...

Ukichagua sana nazi utatoka na koroma...binti akiona jamaa hawatangazi ndoa anajifanya nasubiri...heheheheh ndoa ya uzeeni haina raha,wenzio wamekula mshahara ww unakula pensheni.
 
Hehehe ndoa ya uzeeni haina raha...Hiyo ni kumalizia tuu starehe za ndoa na kutafuta wa kumuomba ruhusa wakati ukitaka kutoka......Km ni starehe za ndoa unakuwa ulishazianza siku nyingi tuu hata zaidi ya hizo...

Ndio uwahi sasa kuolewa upate watt ukiwa kijana,ule maisha...ndoa ya uzeeni utaishia kuletewa watoto sio wako ulee
 
Mtu anayekufaa na kukuoa furaha ktk njia yoyote ile huyo ni sahihi kwako kama anakupa furaha 85% na mauzi 15% huyo ni perfect kwako kama anakupa furaha 78% na 22% ni mauzi huyo ni perfect kwako hayo mapungifu madogo mnachukuliana mana jo one is perfect"
i think u making some sense here.... sure ladies...
 
me no want no perfect man, only one tutaelewana na kuvumiliana madhaifu yetu which will lead to happiness...
 
unaweza kumsubiri sana, Mungu kama hauna macho ya rohoni you will never even indentify who is perfect man, maana hao waliopungukiwa nao ni wakwake na usije ukadhani Mungu anakutanisha mwema kwa mwema, ndiyo maana ata Yesu aliwakusudia wenye dhambi kuliko watu wema, God only know whose perfect man for you!
Nitasubiri tu,GOD'S TIME IS THE BEST mbele ya Mungu hakuna kinachishindikana..
sikimbilii mtu et kisa umri..wengine wamekaa had 45 na wameolewa/oa...na kupata the right one...y not me?

Locate me ooh Lord...
 
Mara nyingi mtu akifikisha zaidi ya miaka ambayo mwanaume au mwanamke anatakiwa kuoa au kuolewa bila ya kuoa au kuolewa ni LAZIMA kuna kosa limefanyika mahali na muda fulani. Maana kwenye maandiko matakatifu imeandikwa kila kitu na muda wake kuna wakati wa kuvuna na kupanda, wakati wa kulia na kucheka, wakati wa kuzaliwa, kuoa na kufa.

Kwa wasichana kuna muda ambao huchanua mara nyingi ni miaka 18 mpaka 30. Hapo lazima zitatokea fursa mbalimbali ambazo kama msichana atakuwa makini ni wazi atapata mweza wa maisha. Mfano nina shangazi yangu akiwa na miaka 22 mpaka 27 watu wengi walikuwa wakimfuata kwa kutaka kumuoa. Nakumbuka alimkataa mmoja kwa visingizio kwamba kwanza mmasai, mrefu sana na mwembamba na pia mweusi, yule kijana aliangaika kumfatilia wewe mpaka akakata tamaa maana ndio alikuwa ameanza kazi baada ya kumaliza elimu yake ya chuo. Baada ya muda kijana akaoa mtu mwingine maisha yakaendelea. Mpaka ninavyoongea shangazi anamiaka 38 bila bila. Kwa kutumia mfano huo ni kwamba mara nyingi mtu ukichelewa kuoa au kuolewa kuna kosa limefanyika mahali. KWA HIYO NI LAZIMA UJUE WAPI ULIKOSEA HALAFU NI VIZURI UKAMWOMBA MUNGU AKUREHEMU KISHA MILANGO ITAFUNGUKA KWA UPYA.

Kwangu mimi ninaamini NDOA sio mme au mke mtimilifu kwa uonavyo wewe bali ni mme au mke mtimilifu kama aonavyo Mungu. It is not about LOVE or PERFECTION but it is only about DESTINY.
 
Mara nyingi mtu akifikisha zaidi ya miaka ambayo mwanaume au mwanamke anatakiwa kuoa au kuolewa bila ya kuoa au kuolewa ni LAZIMA kuna kosa limefanyika mahali na muda fulani. Maana kwenye maandiko matakatifu imeandikwa kila kitu na muda wake kuna wakati wa kuvuna na kupanda, wakati wa kulia na kucheka, wakati wa kuzaliwa, kuoa na kufa.

Kwa wasichana kuna muda ambao huchanua mara nyingi ni miaka 18 mpaka 30. Hapo lazima zitatokea fursa mbalimbali ambazo kama msichana atakuwa makini ni wazi atapata mweza wa maisha. Mfano nina shangazi yangu akiwa na miaka 22 mpaka 27 watu wengi walikuwa wakimfuata kwa kutaka kumuoa. Nakumbuka alimkataa mmoja kwa visingizio kwamba kwanza mmasai, mrefu sana na mwembamba na pia mweusi, yule kijana aliangaika kumfatilia wewe mpaka akakata tamaa maana ndio alikuwa ameanza kazi baada ya kumaliza elimu yake ya chuo. Baada ya muda kijana akaoa mtu mwingine maisha yakaendelea. Mpaka ninavyoongea shangazi anamiaka 38 bila bila. Kwa kutumia mfano huo ni kwamba mara nyingi mtu ukichelewa kuoa au kuolewa kuna kosa limefanyika mahali. KWA HIYO NI LAZIMA UJUE WAPI ULIKOSEA HALAFU NI VIZURI UKAMWOMBA MUNGU AKUREHEMU KISHA MILANGO ITAFUNGUKA KWA UPYA.

Kwangu mimi ninaamini NDOA sio mme au mke mtimilifu kwa uonavyo wewe bali ni mme au mke mtimilifu kama aonavyo Mungu. It is not about LOVE or PERFECTION but it is only about DESTINY.

nimekusoma vyema uko very wise, je shangazi yetu angalau ana mtoto? maana 38 years old bilabila na kama hana mtoto huu ni mtihani huyu anahitaji deliverance.
 
Back
Top Bottom