Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Eeeeeeh, wacha bwana !!! Ngoja tukuangalie na ww. Eti 45 (Sipati picha na hyo depreciation ya mwili wako) ?? Nikatoe mamilioni mahari kwa kongoro la 45, nilipeleke wapi ??? wakat kuna watoto wadogo wife terial chini yako wanaita mbayaaa. Unajua nyie wanawake mnashindwaga kujua kitu kimoja kwamba wanaume wana options nyingi ila kwenu nyie ndio mara nyingi mnasubiri mfuatwe. Anagalia usije ishia kuonjwa tu. Wata kuonja wee alaf hao wanaondoka !!
hahahaaaaaa eti kongoro la miaka 45 ndio linakuwaje hilo lol
kwahiyo Senor boss hizo option nyingi mlizonazo wanaume ni zipi???????
Last edited by a moderator: