Waiting for perfect men(girls mtajuta)

Waiting for perfect men(girls mtajuta)

mallaposa

Member
Joined
May 27, 2014
Posts
5
Reaction score
9
Nilikuwa some where baada ya kazi napata kinywaji na chakula pembeni yangu walikaa wasichana wanadscuss bout men.

But wote walichokuwa wanachangia ni mwanaume sahihi.

PERFECT men wa kuishi nao.kwa maongezi yao its like wote waliowapitia hawakufikia vigezo.

Girls and boys. Nataka niwaambie hivi you will never have perfect men.

Uzee utakukuta bado unamsubiri na hata kuja kamwe.

Maana hamna binadamU mkamilifu katika hii dunia labda uombe malaika.

Mtu anayekufaa na kukuoa furaha ktk njia yoyote ile huyo ni sahihi kwako kama anakupa furaha 85% na mauzi 15% huyo ni perfect kwako kama anakupa furaha 78% na 22% ni mauzi huyo ni perfect kwako hayo mapungifu madogo mnachukuliana mana jo one is perfect.

Happness and peace is everything guys!!!! Asikwambie mtu.

Ila pefect kwa kila kitu utasubiri sana nakwambia.

Msaada mzuri andika katika karatasi mazuri yote na mabaya yote ukiona upande wa mazuri ni mengi kuliko mabaya huyo ji sahihi kwako mrekabishe na kumchukulia katika machache mabaya ambayo ji udhaifu wake kama binadam.

out of that utajikuta una 60 yrs unasubiri perfect men akuoe.

This is fact.

So you need to think carefully .love ya all!!!!!
 
Nitasubiri tu,GOD'S TIME IS THE BEST mbele ya Mungu hakuna kinachishindikana..
sikimbilii mtu et kisa umri..wengine wamekaa had 45 na wameolewa/oa...na kupata the right one...y not me?

Locate me ooh Lord...
 
WaitingForPerfectMan.gif
 
PERFECT MAN wapo kwa maana MUNGU amemuumbia kila mtu wa ubavu wako

dont rush in marriage kisa umri umeenda

usilewe kisa wenzio wameolewa

usiolewe kwa kujidanganya kuwa ndoa ndo suluhisho la matatizo
kuliko kufanya mistake ya kuchagua mume/mke ni bora sioe/kuolewe

bora ukawie ufike salama ...perfect people wapo ni suala la KUOMBA KWA MUUMBA WAKO
 
Ukichagua sana nazi utatoka na koroma...binti akiona jamaa hawatangazi ndoa anajifanya nasubiri...heheheheh ndoa ya uzeeni haina raha,wenzio wamekula mshahara ww unakula pensheni.
 
Ukichagua sana nazi utatoka na koroma...binti akiona jamaa hawatangazi ndoa anajifanya nasubiri...heheheheh ndoa ya uzeeni haina raha,wenzio wamekula mshahara ww unakula pensheni.

kuna sista angua kaolewa juzi juzi dadeki miaka 43
enzi hizo alikuwa anachagua wanaume utadhani anachagua samaki
ooh nataka mweupe, msomi, asie na mtoto bla bla mingi...
aliemuoa sifa zake kapuni nisijesutwa bureeee
 
Ukichagua sana nazi utatoka na koroma...binti akiona jamaa hawatangazi ndoa anajifanya nasubiri...heheheheh ndoa ya uzeeni haina raha,wenzio wamekula mshahara ww unakula pensheni.

hhahahaaaaaaa eti we unakula penshen nimecheka wallah

Nobody is perfect halafu we unataka perfect hapo lazima ule penshen tu
 
nimetumia hadi scientific calculator ila hainiletei majibu huyu wangu ni perfect au vipi....

Hesabu katika siku 30 za mwezi siku ngapi anakukosesha raha na ngap mnakaa vzr tena hapo km hamuishi pa1,ila kama mnaishi pa1 kwa muda sasa jua anafaa
 
PERFECT MAN wapo kwa maana MUNGU amemuumbia kila mtu wa ubavu wako

dont rush in marriage kisa umri umeenda

usilewe kisa wenzio wameolewa

usiolewe kwa kujidanganya kuwa ndoa ndo suluhisho la matatizo
kuliko kufanya mistake ya kuchagua mume/mke ni bora sioe/kuolewe

bora ukawie ufike salama ...perfect people wapo ni suala la KUOMBA KWA MUUMBA WAKO

Kuliko kufanya mistake ya kuchagua mume/mke ni bora usioe/usiolewe! Kweli saanaaa
 
Nilikuwa some where baada ya kazi napata kinywaji na chakula pembeni yangu walikaa wasichana wanadscuss bout men.

But wote walichokuwa wanachangia ni mwanaume sahihi.

PERFECT men wa kuishi nao.kwa maongezi yao its like wote waliowapitia hawakufikia vigezo.

Girls and boys. Nataka niwaambie hivi you will never have perfect men.

Uzee utakukuta bado unamsubiri na hata kuja kamwe.

Maana hamna binadamU mkamilifu katika hii dunia labda uombe malaika.

Mtu anayekufaa na kukuoa furaha ktk njia yoyote ile huyo ni sahihi kwako kama anakupa furaha 85% na mauzi 15% huyo ni perfect kwako kama anakupa furaha 78% na 22% ni mauzi huyo ni perfect kwako hayo mapungifu madogo mnachukuliana mana jo one is perfect.

Happness and peace is everything guys!!!! Asikwambie mtu.

Ila pefect kwa kila kitu utasubiri sana nakwambia.

Msaada mzuri andika katika karatasi mazuri yote na mabaya yote ukiona upande wa mazuri ni mengi kuliko mabaya huyo ji sahihi kwako mrekabishe na kumchukulia katika machache mabaya ambayo ji udhaifu wake kama binadam.

out of that utajikuta una 60 yrs unasubiri perfect men akuoe.

This is fact.

So you need to think carefully .love ya all!!!!!

Absolute true
 
Nitasubiri tu,GOD'S TIME IS THE BEST mbele ya Mungu hakuna kinachishindikana..
sikimbilii mtu et kisa umri..wengine wamekaa had 45 na wameolewa/oa...na kupata the right one...y not me?

Locate me ooh Lord...

Eeeeeeh, wacha bwana !!! Ngoja tukuangalie na ww. Eti 45 (Sipati picha na hyo depreciation ya mwili wako) ?? Nikatoe mamilioni mahari kwa kongoro la 45, nilipeleke wapi ??? wakat kuna watoto wadogo wife terial chini yako wanaita mbayaaa. Unajua nyie wanawake mnashindwaga kujua kitu kimoja kwamba wanaume wana options nyingi ila kwenu nyie ndio mara nyingi mnasubiri mfuatwe. Anagalia usije ishia kuonjwa tu. Wata kuonja wee alaf hao wanaondoka !!
 
Nitasubiri tu,GOD'S TIME IS THE BEST mbele ya Mungu hakuna kinachishindikana..
sikimbilii mtu et kisa umri..wengine wamekaa had 45 na wameolewa/oa...na kupata the right one...y not me?

Locate me ooh Lord...

PERFECT MAN wapo kwa maana MUNGU amemuumbia kila mtu wa ubavu wako

dont rush in marriage kisa umri umeenda

usilewe kisa wenzio wameolewa

usiolewe kwa kujidanganya kuwa ndoa ndo suluhisho la matatizo
kuliko kufanya mistake ya kuchagua mume/mke ni bora sioe/kuolewe

bora ukawie ufike salama ...perfect people wapo ni suala la KUOMBA KWA MUUMBA WAKO

Please, define a perfect man.
 
Ukichagua sana nazi utatoka na koroma...binti akiona jamaa hawatangazi ndoa anajifanya nasubiri...heheheheh ndoa ya uzeeni haina raha,wenzio wamekula mshahara ww unakula pensheni.

mshahara na pension zote ni hela
 
Huyoooo ni chaguo lakooo!!! Umesubiri miaka mingi, umetafuta kila mahali
 
Back
Top Bottom