mallaposa
Member
- May 27, 2014
- 5
- 9
Nilikuwa some where baada ya kazi napata kinywaji na chakula pembeni yangu walikaa wasichana wanadscuss bout men.
But wote walichokuwa wanachangia ni mwanaume sahihi.
PERFECT men wa kuishi nao.kwa maongezi yao its like wote waliowapitia hawakufikia vigezo.
Girls and boys. Nataka niwaambie hivi you will never have perfect men.
Uzee utakukuta bado unamsubiri na hata kuja kamwe.
Maana hamna binadamU mkamilifu katika hii dunia labda uombe malaika.
Mtu anayekufaa na kukuoa furaha ktk njia yoyote ile huyo ni sahihi kwako kama anakupa furaha 85% na mauzi 15% huyo ni perfect kwako kama anakupa furaha 78% na 22% ni mauzi huyo ni perfect kwako hayo mapungifu madogo mnachukuliana mana jo one is perfect.
Happness and peace is everything guys!!!! Asikwambie mtu.
Ila pefect kwa kila kitu utasubiri sana nakwambia.
Msaada mzuri andika katika karatasi mazuri yote na mabaya yote ukiona upande wa mazuri ni mengi kuliko mabaya huyo ji sahihi kwako mrekabishe na kumchukulia katika machache mabaya ambayo ji udhaifu wake kama binadam.
out of that utajikuta una 60 yrs unasubiri perfect men akuoe.
This is fact.
So you need to think carefully .love ya all!!!!!
But wote walichokuwa wanachangia ni mwanaume sahihi.
PERFECT men wa kuishi nao.kwa maongezi yao its like wote waliowapitia hawakufikia vigezo.
Girls and boys. Nataka niwaambie hivi you will never have perfect men.
Uzee utakukuta bado unamsubiri na hata kuja kamwe.
Maana hamna binadamU mkamilifu katika hii dunia labda uombe malaika.
Mtu anayekufaa na kukuoa furaha ktk njia yoyote ile huyo ni sahihi kwako kama anakupa furaha 85% na mauzi 15% huyo ni perfect kwako kama anakupa furaha 78% na 22% ni mauzi huyo ni perfect kwako hayo mapungifu madogo mnachukuliana mana jo one is perfect.
Happness and peace is everything guys!!!! Asikwambie mtu.
Ila pefect kwa kila kitu utasubiri sana nakwambia.
Msaada mzuri andika katika karatasi mazuri yote na mabaya yote ukiona upande wa mazuri ni mengi kuliko mabaya huyo ji sahihi kwako mrekabishe na kumchukulia katika machache mabaya ambayo ji udhaifu wake kama binadam.
out of that utajikuta una 60 yrs unasubiri perfect men akuoe.
This is fact.
So you need to think carefully .love ya all!!!!!