Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 53,799
- 99,700
Jioni hii tukuletee nini ewe "cocomtaro "?Tukileta chai kwa matembele utafurahi? Au juisi ya bamia?Utakuwa ulipolazwa umemuona mtu anaimba Cocochanel wa JF mzuriiiii.. ukafikiri ni mimi..
Endelea tu kukaa humo wodini aiseee.. weww unaimba 'Lissu Mbowe n.k. pesa za ruzuku sio zenu wenyewe huku unaliaaaa'
Chadema si wabunge bali mioyo ya watu ina falsafa gani?leo cuff haina wawakilishi kwenye Baraza la wawakilishi cuff imekufa?lipumba karukuza wabunge wateuliliwa kumi je cut imekufa,lipumba kahamia ofisi ya buguruni je cuf imekufa?Hahahaha
Chadrama kwishney walahi
That’s all
mkuu ukijiunga na ccm ni lazima uwe kichaa.Huyu jamaa nilijuwa anaakili timamu
Lakini kweli kabisa kichaa sio lazima kuokota makopo
God forbid.
sijawahi kuona mkurya mwanaume anayeongea kama mke wa mtu kama huyu Waitara ! hivi hivi hela wanazohongwa zimewekwa limbwata ?Leo katika kipindi cha Tuongee Asubuhi cha StarTV aliyekuwa mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara amewataja wabunge ambao wapo njiani kujiondoa Chadema na kujiunga na CCM au kuacha Siasa. Amewataja wabunge hao kuwa ni Anthony Komu (Moshi Vijijini), Japhary Michael (Moshi Mjini), Saeed Kubenea (Ubungo), na James Ole Millya (Simanjiro).
_
"Napenda nikuhakikishie kuwa Komu, Japhary, Kubenea na Millya watahama Chadema muda wowote kuanzia sasa kwa sababu ya migogoro iliyosababishwa na Mbowe. Na kama hawatahama basi watastaafu siasa." Amenukuliwa Waitara.
Nini maoni yako?
Lengo ni mbowe aachie uenyekiti. Mbowe ndio kikwazo cha kuisambaratisha cdm .Na nafikiri ccm wana mtu wao ,pandikizi limeandaliwa tayari. WAKISIKIA MBOWE KAACHIA UENYEKITI BASI WATASHEREHEKEA.Mambo mawili yatatokea mosi kupandikuza mgogoro ktk mchakato wa kumpata mkitI mpya au kuhakikisha wanaweka mtu wao. TUSUBIRI!
Tarime Mkurungezi anagoma kuapisha mawakala wa Chadema. Inasikitisha uhuni huu unaoendelea kwenye nchi.Lengo ni mbowe aachie uenyekiti. Mbowe ndio kikwazo cha kuisambaratisha cdm .Na nafikiri ccm wana mtu wao ,pandikizi limeandaliwa tayari. WAKISIKIA MBOWE KAACHIA UENYEKITI BASI WATASHEREHEKEA.Mambo mawili yatatokea mosi kupandikuza mgogoro ktk mchakato wa kumpata mkitI mpya au kuhakikisha wanaweka mtu wao. TUSUBIRI!
RETARDED !!!!!!!Huyu jamaa nilijuwa anaakili timamu
Lakini kweli kabisa kichaa sio lazima kuokota makopo
God dir
Akiba kwa MTU mpuuzi?
Huyu huyu jamaa alipita sehemu mbalimbali nchini akiiponda Ccm kwa akili na nguvu zake zote, kwamba imeoza haifai kwa lolote kwa chochote
Leo nayeye kaoza! What about that?
Kwa maelezo ya kubenea ya juzi kati nahisi atastafu SIASALeo katika kipindi cha Tuongee Asubuhi cha StarTV aliyekuwa mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara amewataja wabunge ambao wapo njiani kujiondoa Chadema na kujiunga na CCM au kuacha Siasa. Amewataja wabunge hao kuwa ni Anthony Komu (Moshi Vijijini), Japhary Michael (Moshi Mjini), Saeed Kubenea (Ubungo), na James Ole Millya (Simanjiro).
_
"Napenda nikuhakikishie kuwa Komu, Japhary, Kubenea na Millya watahama Chadema muda wowote kuanzia sasa kwa sababu ya migogoro iliyosababishwa na Mbowe. Na kama hawatahama basi watastaafu siasa." Amenukuliwa Waitara.
Nini maoni yako?
Kula like, umeongea fact, ndio raha ya jf, hasa watu free mind kama nyinyi.Ni hivi ndugu, si sahihi kiongozi wa kuchaguliwa kukaa madarakani zaidi ya miaka 10. Hii hali anayokutana nayo Mbowe ni kama kajitakia kwa kuendelea kuwa madarakani zaidi ya 10yrs. Huyo Waitara mengi ya aliyozungumza kumhusu Mbowe zaidi ya nusu ni kweli hata kama aliongozwa na chuki binafsi dhidi ya Mbowe.
Kisaikolojia ukitaka kujua madhaifu yako, gombana na mtu wa karibu yako. Kama mtu huyo hawezi kuhimili hasira zake atayataja madhaifu yako yote tena hadharani mchana kweupe. Hii ni tabia ya binadamu wengi wanapokuwa na hasira. Ni vyema Mbowe akakaa pembeni kwa sasa bila kujali ccm wanasema nini kwani huwezi kupingana na nature kwamba wakati ni ukuta. Huyo Mbowe ambaye anasifiwa ni imara mbona hathubutu hata kufanya mikutano nchi nzima? Mbona bado madiwani na wabunge wanajiuzulu tu. Mbowe kakaa zaidi ya 10yrs ameshindwa hata kujenga ofisi ya hadhi ya cdm, sasa kwanini asifikie mwisho wa uenyekiti? Ajilaumu mwenyewe kwa kusubiri shinikizo, lakini kiongozi muungwana hukaa madarakani muda usiozidi 10yrs. Ukivuka muda huo lazima utawale kwa mizengwe.
Shida ya waTanzania kadhaa hua mnadhani wapinzani ni miungu.wale ni wasanii tu na mtakuja kustuka baadaeHuyu jamaa nilijuwa anaakili timamu
Lakini kweli kabisa kichaa sio lazima kuokota makopo
God forbid.
Watamnyoosha vip mkuu wakati anasubiri kutangazwa tu? Au bado unaamini katika ushindi wa sanduku la kura?Si angehama akatulia kama wenzie akina Mtulia na Kafulila. Katoka kwa mbwembwe na mashambulizi lukuki kwa Chadema lakini Chadema hawajamjibu lakini bado anaendelea tu kuropoka. Ngoja watu wa ukonga watamwonyesha.