WAITARA ATEULIWA UNAIBU WAZIRI TAMISEMI.

WAITARA ATEULIWA UNAIBU WAZIRI TAMISEMI.

Mkuu nione basi huku..nakufagiliaga hujui tu. Nipe basi ata umonita wa kuandika wasumbufu. Nilipokuwa shule ya msingi adi pale mlimani nilikuwa monita na niliiweza kichizi. Mbona uku uraiani siupati. Mkuu nionege basi. Dah!
 
Hivi kina Bona Karua na wengine wakongwe ccm wanajisikiaje kuwekwa back bencha na new comers?
Wenyeji wanalia tu
Screenshot_20180813-183105.jpg
 
Kuna Kitu sijaelewa bado,
Mkulu basfa ya kuapishwa alibaki yeye, PM na VP muda mrefu sana wanapiga kazi wenyewe bila uwepo wa Cabinet. Sababu zilizotolewa ni kua bado alikua akifanya Selection ili baraza litakaloundwa liwe bora sana.

Sasa hii tengua-teua ya Mawaziri inaashiria au kumaanisha nini?
 
Najiuliza mtu anapotoka huko Ukawa kuja kwenye chama chetu na kupewa Uwaziri ina maana sisi humu hatutoshi au
Huna hati miliki ya chama,mtu yeyote anaweza kuteuliwa na boss wa nchi kushika nafasi yoyote serikalini.
 
Najiuliza mtu anapotoka huko Ukawa kuja kwenye chama chetu na kupewa Uwaziri ina maana sisi humu hatutoshi au
Mbona Lowasa alitoka Ccm akaenda ukawa akapewa kiti cha kugombea Uraisi yani ni michezo ndani michezo
 
Namhurumia sana cyprian musiba
Musiba inabidi ajiongeze akae ikitambua kuwa siyo Kila upuzi na majungu atakayo yaongea kwenye Media Kila mtu atayaamini atagombana na watu sababu ya kutaka madaraka serikalini,na atasubiri sana.
 
Kuteuliwa kwa Waitara na wengine waliotoka upinzani ni ishara tosha kuwa waliokuwa wanatakiwa kuongoza nchi ni wapinzani.
 
Huyu Mzee balaa akikuteua kufanya nae kazi basi ukae matako juujuu kama pua ya kambale
 
Mbona MUSIBA hamuoni na promo zote anazompigia mkuu
 
Huyu Waitara walimchunguza lini. paap kateuliwa kugombea.
paap kawezeshwa kushindwa na sasa ni waziri.
 
Back
Top Bottom