Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,210
- 40,652
Acha akapumzike ale keki ya taifa, namm zamu yangu inakujaTaarifa toka Ikulu.View attachment 929029View attachment 929030
Acha akapumzike ale keki ya taifa, namm zamu yangu inakujaTaarifa toka Ikulu.View attachment 929029View attachment 929030
Acha akapumzike ale keki ya taifa, namm zamu yangu inakuja
" Umesikitika? " You must be joking!!! ....the guy was a total failureMwijage nje, daah nimesikitika sana.
Alikua anajua ipo siku sema hakujua ni liniJamaa ametapa tapa sana miguu kabla ya kufa
wewe kweli mk. nduHuyu mzeee ana loho mbaya mwaijage Alisema yeye ni yatima na anafamilia inamtegemea sasa ataishije jamani asije akaji hang
Bona kabana hataki kuachia ndio tatizoHivi kina Bona Karua na wengine wakongwe ccm wanajisikiaje kuwekwa back bencha na new comers?
Roho inauma ilaHongera Kijana Waitara tunataka kazi sio siasa
Daaaa aisee yani hapo hata walioteuliwa wanatamani kukataa maana wanajua mziki wa mzee baba.
..JPM si mchezo...kata funua ...Ninasikia umeanza kupiga pasi kwa matayarisho ya safari CanadaHongera Kijana Waitara tunataka kazi sio siasa
Kumtukana Mbowe upate ugali ni akili za mbwigakumbe dahaaaa inch hiii hawa viongozi wetu sijui wanatupeleka wapi mbwembwe zote kumbe aliahidiwa uwaziri