Josaje Mtui
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 2,468
- 2,181
Fyeka..fyeka..fyekelea mbai
Weweweweweweweww fagilia bongo![]()
Mnatosha vipi kila kukicha wazee wa ndiooooo.Najiuliza mtu anapotoka huko Ukawa kuja kwenye chama chetu na kupewa Uwaziri ina maana sisi humu hatutoshi au
Jamaa ametapa tapa sana miguu kabla ya kufaMwijage nje, daah nimesikitika sana.
Hahahaha well said walahiDuh, waitara kawa naibu waziri anakila dabo salary huku kina zitto bado wanapambana na polisi. Aisewww
Wengine wanatamanishwa kuhamia kabla tarehe husika.
Huyu mzeee ana loho mbaya mwaijage Alisema yeye ni yatima na anafamilia inamtegemea sasa ataishije jamani asije akaji hang
Hata yeye ataitikaaa ndiooooooo ndio zetu sisiMnatosha vipi kila kukicha wazee wa ndiooooo.
Roho zinawauma hahahaha mbaya zaidi hamna pa kusemea..... Konyo zenu kabisaaa Hahahha yaani Mtu mliemuita nyumbu Leo ndio Waziri na nyie mmekalisha "biology" zenu tu mnakenua. Eti ndio CCM kuna demokrasia NyooooHahahaha
Wewe imbecile kweli walahi