Mleta mada ni mwl wa shule za kata kule dongobesh....Hajui kada zingine zaida ya waalimu, msamehe bure.
Pambanua maelezo ya mtoa mada, amezungimzia walimu kwa kuwa ni agizo linawahusu Walimu tu kwa marejeo ya ya naibu Waziri wala hakugusia field na kada nyigine, maelezo yanajitosheleza tena yapo direct.