Uhamisho

Uhamisho

MWL WALTER

Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
6
Reaction score
4
Ndugu Admin,

Napenda kuwataarifu kuwa nimerudi tena katika kundi letu. Naomba tuendelee kuzingatia lengo letu kuu la uhamisho.

Aidha, natafuta mwalimu wa kubadilishana vituo vya kazi aje KONDOA DC Mimi nije katika idara ya elimu ya msingi, hususan katika wilaya za Morogoro:đź”´ GAIROđź”´ KILOSAđź”´ MOROGORO MANISPAAđź”´ MVOMERO

Iwapo kuna tangazo lolote linalohusiana na uhamisho au anayehitaji kubadilishana kituo, tafadhali wasiliana nami kwa njia ya inbox ili niweze kulitangaza kwa utaratibu unaofaa.

Kwa yeyote anayehitaji kujiunga na kundi, tumia link ifuatayo:WALIMU KUBADILISHANA TANZANIA

Asanteni sana kwa ushirikiano wenu.

Kwa pamoja, nguvu mpya na ari mpya.

0766224929
 
Back
Top Bottom