Waisraeli wa Tanzania

Waisraeli wa Tanzania

Unataka Hao waisrael wa Tanzania wakatoe kafara za mbuzi na watoto ikulu?!! Ili nchie iendeshwe kwa kafara?!!!

Acha kuwafananisha Taifa lile zuri na mambo ya kijinga!
 
Wadau:
Nianze bandiko langu hili kwa kusema kwamba mimi sio mbaguzi wa rangi, kabila,dini au ukanda.Ninauchukia ubaguzi na ninamchukia mtu mbaguzi.Mimi ni Mtanzania mzalendo ninaipenda nchi yangu na serikali yake.

Ila ninawiwa kutoa ushauri wangu wa kiroho ambao wengi mnaweza kuutafsiri kama wa kibaguzi lakini sio na unaukweli mkubwa ndani yake.

Ushauri wangu kwa mkuu wa kaya yetu
Ninakushauri mkuu kama unataka kufanikiwa sana kiuchumi na kisiasa uwashirikishe katika serikali yako kuanzia ngazi ya uwaziri na nyanja mbalimbali za uongozi na ushauri katika serikali yako watu kutoka miteremko ya mlima Kilimanjaro

Hawa ni watu wanaofanya kazi kwa bidii na wanajua maendeleo na uchumi ni nini..
Ukifanya utafiti wa haraka kuanzia ngazi ya familia na sehemu mbalimbali ambapo hawa watu wamepewa nafasi ya kuongoza utaona zimefanikiwa sana na utapata mantinki ya ushauri huu.

Nathubutu kusema hawa ni watu waliobarikiwa sana kama Wana wa Israeli kutoka mashariki ya mbali ndio maana ninawaita 'Waisraeli wa Tanzania
Huu ni ushauri wa kiroho zaidi na pale utakapoona vema kuufanyia kazi ushauri huu basi utaona uongozi wako utakavyoshamiri na kufanikiwa sana.

Wasalaam
Wako katika Ujenzi wa Taifa.

mkuu naunga mkono hoja ila naongeza na watu kutoka huko njombe kuna wilaya inaitwa makete.......

nao wakishika kitengo huwa hawakuangushi kabisa, pia ni wapambanaji sana!
 
Bila shaka na wewe utakuwa ni muisrael mtanzania, jipeni shavu huenda magu atawasikia na kuchukua hatua
 
Kwanini unawaita waisraeli ?
Naona ni watu waliobarikiwa kwa namna ya tofauti..ukifanya utafiti wako mdogo utaona sehemu ambayo wapo hawa watu inabarikiwa sana na kustawi..hata awepo mmoja we chunguza kunatofauti au mchango wa tofauti wanafanya au wanaleta
 
Lowassa alipata kura 6m. Mikoa hiyo miwili jumla yao ni 6m. Ni wao waliomtupa Magu waliona si mmoja wao. Ikafikia hata Mwanri wakamwibia kura zake siha. Maaskofu wakamfata Katibu Mkuu utumishi na Sumaye waongeze nguvu. Kuna empirebuilding hapa inabido gesture ianzie kwao waliomkataa.
Nawasiwasi na elimu yako pamoja na maarifa uliyonayo kichwani !!!!!!
 
Ni kweli wa-ISRAEL wamefanikiwa kweli, ila huoni kweli DHULUMA wanayo wafanyia WATU WA PALESTINA....!? Ama unaongelea MAENDELEO, ambayo yanaweza kuja tu pasipo KUZINGATIA haki na msingi wa ENEO husika...!!? Hii ni sawa na kumshabikia MCHIMBA MADINI ambaye baada ya....hukuachia Mashimo uje ufukie MWENYEWE.

Kwa nini hao wa-ISRAEL (Wachaga) usiwafananishe walau na MAKABURU, wale ma-Boas wa Afrika ya Kusini...maana kwa namna moja waliweza kuitwaa NCHI kutoka mikononi mwa WAZAWA (Kwa Mabavu) ila baada ya kuiongoza, wakaweka mifumo mizuri, KIJAMII na KIUCHUMI achilia mbali ki-USALAMA maana hakuna mtu asiejua leo hii kuwa AFRIKA YA KUSINI, ni miongoni mwa nchi chache za Afrika zinazo miliki silaha za BOMU LA NYUKILIA.

Tazama BUSARA waliyotumia hawa Makaburu, baada ya kuwa wameridhishwa na hatua za KIMAENDELEO waliyo wapatia wana wa Afrika ya Kusini, mwishoni wanawapatia Uhuru wao na kuacha wakijiongoza.

Wana wa ISRAEL ni wabinafsi kama WACHAGA.....nadhani ilikuwa sahihi ulipo wafananisha.....
 
sijawah salitiwa na rafk yang yyte wa karbu isipokuwa uyu tu na siku zote huwa akiona tu pesa unamuona kabisa anachanganyikiwa, ndio wachaga waliovyo, ni watu wa ajabu tang kuumbwa kwa mising ya dunia kweny swala la hela, najua hutoamini mpk siku likutokee, sio watu hao ni wanyama
Unafanya kazi gani mpaka ulengeshwe ?
 
Hao jamaa ni "wezi" wa kupindukia...wakishindwa kuiba kwa karatasi wanatumia nguvu ya silaha "majambazi".
 
Hao watu wanafanya kazi ili baadae waweze kupiga hela ndefu hao, akiwaweka kila idala IPO siku tutaibiwa kila kitu maana hao ni money oriented
 
kwahiyo unamaanisha white hair angekuwa kashafanya wonders kama angepewa nchi!?
 
Kwanini mkuu unasema ni upuuzi.
Kwanza hawakaribiani na wayahudi kimaendeleo wala katika kuyachagiza wala katika kutumia maarifa na pili wachagga wa sasa si wale wa kipindi cha kina mangi.

Ni upuuzi zaidi kuamua kujifananisha na (kuwatukuza) wengine badala ya kujifunza toka kwao ili uwe bora na ikibidi hata zaidi yao.

Huenda wewe ni mmoja wa wale wanaoweka bendera za Israel kwenye maeneo yao hasa magari mkijua mnabarikiwa kumbe ujinga tu.

Amka changamka na funguka
 
Kwanza hawakaribiani na wayahudi kimaendeleo wala katika kuyachagiza wala katika kutumia maarifa na pili wachagga wa sasa si wale wa kipindi cha kina mangi.

Ni upuuzi zaidi kuamua kujifananisha na (kuwatukuza) wengine badala ya kujifunza toka kwao ili uwe bora na ikibidi hata zaidi yao.

Huenda wewe ni mmoja wa wale wanaoweka bendera za Israel kwenye maeneo yao hasa magari mkijua mnabarikiwa kumbe ujinga tu.

Amka changamka na funguka
Wanaweza wasiwafikie Wayahudi kimaendeleo lakini ukilinganisha mafanikio yao na watu wa sehemu nyingine unaona wanakitu cha tofauti.Mimi nimejaribu kufanya kautafiti kadogo tu na nimeona hilo
 
Back
Top Bottom