We utakuwa MCHAGAUna data we mpuuzi. Tuletee data toka magereza, pamoja na mm si mshabiki lakini nametambua weee ni kidude
We utakuwa MCHAGAUna data we mpuuzi. Tuletee data toka magereza, pamoja na mm si mshabiki lakini nametambua weee ni kidude
We utakuwa MCHAGAHilo ni mojawapo ya mapungufu yao ila wapo wengi ambao sio wezi..kila jamii inawatu wenye hulka na tabia mbalimbali ila hilo haliwaondelei ile talanta waliyo nayo na baraka zinazoambatana na vizazi vyao.
Walidiriki kuchangisha pesa kila mkoa kusaidia kampeni za lowasa....kila mtu ana akili ila zao ni za ubinafsi sanaLowassa alipata kura 6m. Mikoa hiyo miwili jumla yao ni 6m. Ni wao waliomtupa Magu waliona si mmoja wao. Ikafikia hata Mwanri wakamwibia kura zake siha. Maaskofu wakamfata Katibu Mkuu utumishi na Sumaye waongeze nguvu. Kuna empirebuilding hapa inabido gesture ianzie kwao waliomkataa.
Kwa hiyo mkuu bandari nzima walikuwa ni wao,tra yote ni wao..aaaha mkuu..punguza kidogo kamaHao hao ndo walitaka kumchagua lowassa Kisa anatokea Kaskazini bila kujali uwezo wake.
Hao hao ndo waliifanya bandari kijiji chao...
Hao hao ndo walijimilikisha TRA
...Kusema kweli umefirisika kifikra....ukabila umekutawala,,Unahitaji maombezi tena kwa Watumishi wa Mungu walio bobea
Laiti mleta uzi angekuwa sahihi basi nchi yetu isingekuwa maskini .....Angalia ni mawaziri wakuu wangapi wametoka huko ,,,mawaziri wa kawaida....Nenda TRA...TPA....na sekta mbalimbali wamejaa wao....Kama masamaki wa TRA?
Kama hujui maana ya ubaguzi basi hukustahili kujiunga hukuDefine ubaguzi ni nini mkuu
Ni wezi wazuri wa rasilimali za taifa.....hawafai kabisa kuigwaKama wanaweza biashara na mtu yoyote na mahali popote mpaka kwenye mipaka ya kijiji chenu, huo ubinafsi na ubaguzi unatoka wapi?
Wewe unachuki binafsi, let it go, its time to move on
fikra za mpumbavu huzaa upumbavu, endelea kuwaza kama kengeWadau:
Nianze bandiko langu hili kwa kusema kwamba mimi sio mbaguzi wa rangi, kabila,dini au ukanda.Ninauchukia ubaguzi na ninamchukia mtu mbaguzi.Mimi ni Mtanzania mzalendo ninaipenda nchi yangu na serikali yake.
Ila ninawiwa kutoa ushauri wangu wa kiroho ambao wengi mnaweza kuutafsiri kama wa kibaguzi lakini sio na unaukweli mkubwa ndani yake.
Ushauri wangu kwa mkuu wa kaya yetu
Ninakushauri mkuu kama unataka kufanikiwa sana kiuchumi na kisiasa uwashirikishe katika serikali yako kuanzia ngazi ya uwaziri na nyanja mbalimbali za uongozi na ushauri katika serikali yako watu kutoka miteremko ya mlima Kilimanjaro
Hawa ni watu wanaofanya kazi kwa bidii na wanajua maendeleo na uchumi ni nini..
Ukifanya utafiti wa haraka kuanzia ngazi ya familia na sehemu mbalimbali ambapo hawa watu wamepewa nafasi ya kuongoza utaona zimefanikiwa sana na utapata mantinki ya ushauri huu.
Nathubutu kusema hawa ni watu waliobarikiwa sana kama Wana wa Israeli kutoka mashariki ya mbali ndio maana ninawaita 'Waisraeli wa Tanzania
Huu ni ushauri wa kiroho zaidi na pale utakapoona vema kuufanyia kazi ushauri huu basi utaona uongozi wako utakavyoshamiri na kufaniki
Wasalaam
Wako katika Ujenzi wa Taifa.
Nna uhakika unamjua vizuri yule mkuu wa mkoa alosema hakuna watumishi kumbe wapo..Kashfa nyingi za kifisadi epa,iptl, dowans, escrow wapo watu wakabila mengine, kama wapo waisrael naomba unitajie?
Hawa jamaa wangekuwa wabinafsi wasingekuwa wametapakaa hivyo kwani mbinafsi hana tofauti na mchoyo na kama ujuavyo mchoyo hana rafiki,wachaga wametapakaa kila mahali na wamefanya maendeleo makubwa,sasa hvi mini mingi wameiteka kwa mabiashara makubwa makubwa ukimtokomeza mchaga Tz Hamna Tz huo ndio ukweli na utabaki kuwa hivyo, Wachaga wako juu acha ubishi wa kitoto.Kama wanaweza biashara na mtu yoyote na mahali popote mpaka kwenye mipaka ya kijiji chenu, huo ubinafsi na ubaguzi unatoka wapi?
Wewe unachuki binafsi, let it go, its time to move on
Pia wanaongoza kwa dhambiChuki binafsi kwenu hakuna maendeleo, wachagga wanamiliki mpaka ardhi ya kijijini kwenu, baki na umaskini wako
Wachapa kazi wapi wakati wanapeana vyeo bila kujali sifa?Wachagga ni wachapakazi sana, wapo hapo udsm na muhimbili kwa ajili ya kufanya kazi, wewe fanya kazi kama wao, acha kulalama,
Hapa kazi tu
We utakuwa MCHAGAKama ungelengeshwa na mtu wa kabila lingine usingekuja hapa kulalamika, lakini maadamu aliyekutenda ni mchagga basi its big deal,
Grow up,
Wachaga na wana kaskazini wote mmeifilisi sana hii nchiHiyo ni kweli kabisa
Maendeleo ya wizi...udanganyifu...kupeana vyeoNi kweli kabisa popote palipo na mchaga lazma kuwe na maendeleo
Wana akili za ulaghai tu...wameshiriki kuifanya Tanzania kuwa masikini sanaHawa jamaa wangekuwa wabinafsi wasingekuwa wametapakaa hivyo kwani mbinafsi hana tofauti na mchoyo na kama ujuavyo mchoyo hana rafiki,wachaga wametapakaa kila mahali na wamefanya maendeleo makubwa,sasa hvi mini mingi wameiteka kwa mabiashara makubwa makubwa ukimtokomeza mchaga Tz Hamna Tz huo ndio ukweli na utabaki kuwa hivyo, Wachaga wako juu acha ubishi wa kitoto.
Tatizo palipo na mwanya hawafanyi makosa tehe tehe tehe shemeji zangu buanaWanaweza kuwa na mapungufu fulani fulani mkuu kama binadamu lakini kuna ukweli usiofichika kuhusu uwezo wa hawa watu na baraka zinazoambatana nao.fanyia kazi hili unaweza kujifunza kitu..fuatilia hata wasichana wao ambao wameolewa na watu kutoka sehemu nyingine uone familia zao na watoto wao zilvyobarkiwa