Waisraeli wa Tanzania

Waisraeli wa Tanzania

Ila kweli hawa jamaa wana vision tukubali hilo, napenda wakikaa wao kwa wao wakiongea kikwao hukosi kusikia maneno 'besa' 'eleri' 'pesa' wao ni mambo ya kutafuta pesa na sio umbea au kama wengine tulivyozoea story za 'mabibi'
 
kuna ukweli ila hao unaowapogia debe ni wabaguzi wakubwa na wabinafsi..
Kusedma kweli kwa wachaga kuwa wabinafsi hilo nakataa, nimesoma nao toka Enzi za Moshi Sec. miaka ya 1978 hawa jamaa nilikuwa napelekwa kwao mamndeni na napokelewa vzr tunakula na kwa raha sana! nimekuwa bado mshirika wa wengi huku mwanza sana! wao story zao kila wakati ni maisha ila za wengi wetu ni tofauti kdg! tubadilike.
 
Wanaweza wasiwafikie Wayahudi kimaendeleo lakini ukilinganisha mafanikio yao na watu wa sehemu nyingine unaona wanakitu cha tofauti.Mimi nimejaribu kufanya kautafiti kadogo tu na nimeona hilo
Kwanza habari ya mjini bongo ni Wakinga na Wahindi
 
Wazungu ndio wana kuwa na hulka hiyo kuwa mtu mweusi kaumbwa na kasoro, na maisha yake yote hataweza kufanya lolote la maana.

Wanaamini ni wao tuu wazungu ndio wamepewa vipaji tuu.

Utawala wa Kibaguzi wa Afrika ya Kusini uliotawala Afrika Kusini zaidi ya miaka 400, misingi yake imetengenezwa na imani hii unayozungumzia.

Kila binaadamu aliyekuja hapa duniani ana dhamani yake.

Kama ni kazi au kuwa na mali ni ubarikio basi kwanini tusiseme "Wajapani". au "Wajerumani" ndio wamekuwa ndio wamekuwa na uwezo mkubwa sana wa ubunifu wa kila kitu. Elimu hii ya Sayansi na Teknolojia imetoka India.

Tukiangalia Afrika hii, watu waliopanda kiuchumi haraka sana kwa muda wa miaka 50 ni Wasomali. Marekani wamewatengea mji wao rasmi na hata lugha yao imeanza kutumika sehemu nyingi Marekani. Hatujaona lugha ya "Mndenyii" sehemu yoyote duniani.
Wasomali ambao wametapakaa dunia nzima sasa, na sehemu yeyote pake watakapokuwa, biashara hufumuka mfano hai ni Kenya.
Inasemekana kuwa siku Somalia inapata amani, ndio nchi itayolisha Afrika.

Asanteni.
 
Kwanza hawakaribiani na wayahudi kimaendeleo wala katika kuyachagiza wala katika kutumia maarifa na pili wachagga wa sasa si wale wa kipindi cha kina mangi.

Ni upuuzi zaidi kuamua kujifananisha na (kuwatukuza) wengine badala ya kujifunza toka kwao ili uwe bora na ikibidi hata zaidi yao.

Huenda wewe ni mmoja wa wale wanaoweka bendera za Israel kwenye maeneo yao hasa magari mkijua mnabarikiwa kumbe ujinga tu.

Amka changamka na funguka
Mbona povu sana
 
Naona ni watu waliobarikiwa kwa namna ya tofauti..ukifanya utafiti wako mdogo utaona sehemu ambayo wapo hawa watu inabarikiwa sana na kustawi..hata awepo mmoja we chunguza kunatofauti au mchango wa tofauti wanafanya au wanaleta
Asante nitafanya utafiti
 
Ni kweli wa-ISRAEL wamefanikiwa kweli, ila huoni kweli DHULUMA wanayo wafanyia WATU WA PALESTINA....!? Ama unaongelea MAENDELEO, ambayo yanaweza kuja tu pasipo KUZINGATIA haki na msingi wa ENEO husika...!!? Hii ni sawa na kumshabikia MCHIMBA MADINI ambaye baada ya....hukuachia Mashimo uje ufukie MWENYEWE.

Kwa nini hao wa-ISRAEL (Wachaga) usiwafananishe walau na MAKABURU, wale ma-Boas wa Afrika ya Kusini...maana kwa namna moja waliweza kuitwaa NCHI kutoka mikononi mwa WAZAWA (Kwa Mabavu) ila baada ya kuiongoza, wakaweka mifumo mizuri, KIJAMII na KIUCHUMI achilia mbali ki-USALAMA maana hakuna mtu asiejua leo hii kuwa AFRIKA YA KUSINI, ni miongoni mwa nchi chache za Afrika zinazo miliki silaha za BOMU LA NYUKILIA.

Tazama BUSARA waliyotumia hawa Makaburu, baada ya kuwa wameridhishwa na hatua za KIMAENDELEO waliyo wapatia wana wa Afrika ya Kusini, mwishoni wanawapatia Uhuru wao na kuacha wakijiongoza.

Wana wa ISRAEL ni wabinafsi kama WACHAGA.....nadhani ilikuwa sahihi ulipo wafananisha.....
Kitu kimoja ambacho watu hawafahamu, waisrael ni wabaguzi wakubwa
 
sikutegemea kusoma Uzi wa kingese kama huu
Pole mkuu..baada ya kusoma kwa isivyobahati utakuwa umejifunza kitu hakika. Pia jifunze kuheshimu mawazo na hoja za watu wengine.ukiona una munkari pita kimyakimya
 
naona wachaga wote mwaka huu wana maono ya kiroho....alianza lema anafata mtoa uzi
 
yooh,mwana we jyooh,mwenye ajinyonge mwana...mwenye wivu Ajinyongeee...Yoooh..../
•I m not chagga but truth must be spoken../
 
kwa hiyo wapare watakuwa waparestina? ndio maana ugomvi wao na wachaga hauishi tangu wachaga wawafukuze kutoka kwenye ardhi yenye rutuba ya milima ya kilimanjaro na wakakimbilia maeneo kame
 
Wadau:
Nianze bandiko langu hili kwa kusema kwamba mimi sio mbaguzi wa rangi, kabila,dini au ukanda.Ninauchukia ubaguzi na ninamchukia mtu mbaguzi.Mimi ni Mtanzania mzalendo ninaipenda nchi yangu na serikali yake.

Ila ninawiwa kutoa ushauri wangu wa kiroho ambao wengi mnaweza kuutafsiri kama wa kibaguzi lakini sio na unaukweli mkubwa ndani yake.

Ushauri wangu kwa mkuu wa kaya yetu
Ninakushauri mkuu kama unataka kufanikiwa sana kiuchumi na kisiasa uwashirikishe katika serikali yako kuanzia ngazi ya uwaziri na nyanja mbalimbali za uongozi na ushauri katika serikali yako watu kutoka miteremko ya mlima Kilimanjaro

Hawa ni watu wanaofanya kazi kwa bidii na wanajua maendeleo na uchumi ni nini..
Ukifanya utafiti wa haraka kuanzia ngazi ya familia na sehemu mbalimbali ambapo hawa watu wamepewa nafasi ya kuongoza utaona zimefanikiwa sana na utapata mantinki ya ushauri huu.

Nathubutu kusema hawa ni watu waliobarikiwa sana kama Wana wa Israeli kutoka mashariki ya mbali ndio maana ninawaita 'Waisraeli wa Tanzania
Huu ni ushauri wa kiroho zaidi na pale utakapoona vema kuufanyia kazi ushauri huu basi utaona uongozi wako utakavyoshamiri na kufanikiwa sana.

Wasalaam
Wako katika Ujenzi wa Taifa.
wewe ni mpumbavu kuliko watz wote. hao ndio walioishikilia TRA miaka yote na hawajatufikisha popote. unahitaji msaada mkubwa sana wa kiroho.
 
Wadau:
Nianze bandiko langu hili kwa kusema kwamba mimi sio mbaguzi wa rangi, kabila,dini au ukanda.Ninauchukia ubaguzi na ninamchukia mtu mbaguzi.Mimi ni Mtanzania mzalendo ninaipenda nchi yangu na serikali yake.

Ila ninawiwa kutoa ushauri wangu wa kiroho ambao wengi mnaweza kuutafsiri kama wa kibaguzi lakini sio na unaukweli mkubwa ndani yake.

Ushauri wangu kwa mkuu wa kaya yetu
Ninakushauri mkuu kama unataka kufanikiwa sana kiuchumi na kisiasa uwashirikishe katika serikali yako kuanzia ngazi ya uwaziri na nyanja mbalimbali za uongozi na ushauri katika serikali yako watu kutoka miteremko ya mlima Kilimanjaro

Hawa ni watu wanaofanya kazi kwa bidii na wanajua maendeleo na uchumi ni nini..
Ukifanya utafiti wa haraka kuanzia ngazi ya familia na sehemu mbalimbali ambapo hawa watu wamepewa nafasi ya kuongoza utaona zimefanikiwa sana na utapata mantinki ya ushauri huu.

Nathubutu kusema hawa ni watu waliobarikiwa sana kama Wana wa Israeli kutoka mashariki ya mbali ndio maana ninawaita 'Waisraeli wa Tanzania
Huu ni ushauri wa kiroho zaidi na pale utakapoona vema kuufanyia kazi ushauri huu basi utaona uongozi wako utakavyoshamiri na kufanikiwa sana.

Wasalaam
Wako katika Ujenzi wa Taifa.
Hao hao ndo walitaka kumchagua lowassa Kisa anatokea Kaskazini bila kujali uwezo wake.
Hao hao ndo waliifanya bandari kijiji chao...
Hao hao ndo walijimilikisha TRA
...Kusema kweli umefirisika kifikra....ukabila umekutawala,,Unahitaji maombezi tena kwa Watumishi wa Mungu walio bobea
 
Wanaweza kuwa na mapungufu fulani fulani mkuu kama binadamu lakini kuna ukweli usiofichika kuhusu uwezo wa hawa watu na baraka zinazoambatana nao.fanyia kazi hili unaweza kujifunza kitu..fuatilia hata wasichana wao ambao wameolewa na watu kutoka sehemu nyingine uone familia zao na watoto wao zilvyobarkiwa
Naona unawaza kama umesinzia........Ukiamka pitia tena uzi wako ndo uulete
 
Back
Top Bottom