Waisraeli wa Tanzania

Waisraeli wa Tanzania

Nna uhakika unamjua vizuri yule mkuu wa mkoa alosema hakuna watumishi kumbe wapo..
Nina uhakika unajua vizuri kuwa mmehamishia vijiji vyenu TRA na TPA na huko ndo wizi unaongoza
Kila wizi unaouona kuna hao watu nyuma yake....
Wameenda mbali zaidi kwa kutaka kuiba misaada ya wahanga wa tetemeko Kagera....
Yule mkuu wa mkoa ni mpalestina kutoka milima ya upareni....m
 
Magu amechagua wanaomfaa na ana amini watamsaidia kwenye uongozi wake na yeye hawaamini hao watu kwa sababu ya kiitikadi, na mengine acha na wa sehemu nyingine wajaribu tuje kuwapima uwezo wao kiuongozi
Wachaga hawaitaki ccm sasa hao mawaziri atawatowa wapi? Hakuna hata jimbo moja la uchagani ambalo ccm imeambulia.
 
Wachaga hawaitaki ccm sasa hao mawaziri atawatowa wapi? Hakuna hata jimbo moja la uchagani ambalo ccm imeambulia.
Bora asiwateue watanzania wengi wana chuki na wachaga wengi hudiriki kusema wamewaibiwa na kuwafanya maskini na wao wakapiga hatua. So ni bora magufuli alivo chagua watu wake na yeye tumuone uongozi wake utakavyo kua. Hata kukataa ccm ni hatua kubwa sana kuliko vyeo vya kunyenyekea wengine
 
mbona huwa nasikia wale wa ukanda wa magharibi mwa ziwa, ndio wanaitwa Waislaeli au?????????
 
Back
Top Bottom