Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 71
How about you?Arm-chair General mwingine!
Amandla......
How about you?Arm-chair General mwingine!
Amandla......
How about you?
Ni bora wawe hawana Diploma kuliko kuwa na zile za St.. St,, ambazo zinakubeba toka Certificate mpaka PhD.
Waulize maaskofu walioanzisha upuuzi huo, sasa hivi tunajadili matokeoNitakuwaje General wakati vit sitaki? Nyinyi ndiyo manaoleta manena ya shari. Au unadhani tukibaki na vyama vya kidini patakuwa na amani nchini?
Amandla....
Kama alivyosoma slaa na mbowe...Bwa ha ha ha,
Waulize baraza la mitihani wakuambie namna shule za St St zinavyopiga bao madrassa kama wamesimama. Watu usiku na mchana kuimba kiarabu saa ngapi watasoma?
Bwa ha ha ha,
Waulize baraza la mitihani wakuambie namna shule za St St zinavyopiga bao madrassa kama wamesimama. Watu usiku na mchana kuimba kiarabu saa ngapi watasoma?
Waulize maaskofu walioanzisha upuuzi huo, sasa hivi tunajadili matokeo
Waulize maaskofu walioanzisha upuuzi huo, sasa hivi tunajadili matokeo
1. Kiongozi wa kitaifa kutafutwa misikitini pekee kiongozi huyo ataongoza kina nani? ...Hiyo si kweli shura inapeleka mwongozo kwa watanzania wote ni mikutano yake inafanyika kwenye public places all over the country...kwa hiyo ni kwa wananchi wote unaweza kuhudhuria ili uweze kupata historia sahihi ya nchi na matatizo ya msingi ya nchi hii nzuri...unlike waraka ambao husambazwa na kufundishwa kwenye jumuiya za kikatoliki na kufundishwa na mapadre huo ndio umekaa kibaguzi si kitaifa
Ubinafsi na udini ulianzia kwenye waraka wa Maaskofu tusije kusahau "source" tukaanza kurukia matokeo..source ni waraka!
Watu wengi tulishauri serikali iwakemee wakristo na udini wao pamaoja na agenda ya ubinafsi na ajenda zao zingine za siri wakakataa na wakristo wakaja juu kuutetea..
Wacha kulalamika usisahau source, niliwahi kusema nchi hii kutakuwa na vyama viwili "christian party ans islamic party at the end of the day..naamini tutafika huko wananchi watachagua kwa mrengo huo good move..
Usilinganishe chungwa na papai.
Waraka wa maaskofu wa kikatoliki haukutaja waislamu , uislamu, wakatoliki, ukatoliki au ukatoliki. Ulikuwa na maelekezo ambayo yangeweza kutumiwa kuchagua kiongozi kutoka dini yeyote au dhehebu lolote bila kuangalia msimamo wake wa kidini. Waraka wenu umejaa malalamiko kuhusu mnachoona unyanyasaji dhidi ya waislamu na unaagiza kuwa kipimo cha kiongozi bora ni maslahui ya waislamu bila kujali nchi au wenye dini nyingine. Hao walioandaa na watu kama wewe ni agitators na hamuitakii mema nchi yetu.Chuki yenu dhidi ya ukatoliki (isiyo na uhusiano wowote na waraka wao) itatupeleka pabaya. Tuombee kuwa hao wafuasi wenu watalitambua hilo mapema.
Amandla......
Au mna wasiwasi kuwa ile 73.4% ya wabunge wote katika bunge la muungano a,bao ni wenu sasa inawezekana ikapungua.
Kutesa kwa zamu.
Ubinafsi na udini ulianzia kwenye waraka wa Maaskofu tusije kusahau "source" tukaanza kurukia matokeo..source ni waraka!
Watu wengi tulishauri serikali iwakemee wakristo na udini wao pamaoja na agenda ya ubinafsi na ajenda zao zingine za siri wakakataa na wakristo wakaja juu kuutetea..
Wacha kulalamika usisahau source, niliwahi kusema nchi hii kutakuwa na vyama viwili "christian party ans islamic party at the end of the day..naamini tutafika huko wananchi watachagua kwa mrengo huo good move..[/QUOTE
.........................so two wrongs make it right....................!?
Kwa kusoma hii program ya mwongozo ya 2010 sioni kama kuna la kujadili.
Kwani yenyewe imejikita katika kuweka timeframe ya kutekeleza mwongozo hususan katika kutoa elimu ya uraia na haki za mpiga kura na kuchaguliwa kiongozi.
Imejikita zaidi katika kutekeleza na kutoa elimu ya uraia kwa waumini,
Sasa sioni kwa nini mnajadili sana.
nawashauri kila mtu anaweza kupata nakala yake na kuisoma aielewe kisha ndipo mlete debate.
Matatizo makuu ya nchi ni udini, ubaguzi dhidi ya Waislaam au baadhi ya watu, rushwa, uchafuzi wa mkataba wa Muungano na ukosefu wa maadili kwa viongozi," inasema sehemu hiyo katika ukurasa wa 65.