ZionTZ
JF-Expert Member
- Oct 6, 2009
- 1,283
- 538
Mbona unaweka tafsiri yako mwenyewe wala siyo ya shura ya maimamu? nikupe ufafanuzi kwa ufupi wa maswali yako 1-5
1. Muadilifu hawezi kuwa Mdini
2. Anatakiwa awe anafahamu historia ya ubaguzi Tanzania hapo kuna tatizo gani? au wewe unapenda sana kupendelewa pasipo haki? ulishaona kupendelewa ni haki siyo?
3.Tume huru inatakiwa kudhibitisha kama waislamu walianza kufanya fujo au walifanyiwa fujo kwa maagizo kutoka kwa watu wenye nia mbaya na nchi hii ambao wanaweza kukimbia nchi na kujificha huko wanakoficha waovu?? hapo kuna tatizo gani? kufanya uchunguzi ili jamii iridhike
4. Uchunguzi wa kanisa kuchomwe ulishafanyika na wenye kanisa wameridhika na hatua zilizochukuliwa ndio maana hakuna malalamiko yeyote kutoka kwao lakini uchunguzi kwa upande wa waislamu haukufanyika na hawataki kufanya hivyo, shura inataka mtu ambaye hafichi uchafu huo awe mkristo au muislamu??
5. kumzuia Osama bin laden na kazi yake chafu haina maana kuwanyima haki zao waislamu na kuwakandimizi kwa kutumia external forces..je wewe utafurahia kwasababu LRA wanafanya fujo uganda wakristo wote wa Tanzania watungiwe sheria mbaya?
"Si kweli kwamba sifa ya kiongozi wa shura ya waislamu lazima awe muislamu ila ni Mtanzania mwenye kudhamini utu wa watu wote wakiwemo waislamu" hatundanganyiki na propanda zako...
Huna Lolote Tumaini...Mnajichanganya tu! Yani hiyo report huwezi kuilinganisha na ile ya katoliki hata tone, yao ilikua ya kitaalam na kisomi zaidi, yani ilikua ngumu kujua wanamtaka mtu wa dini yao...it was so general tofauti na nyie yani ipo live and direct kwamba mnataka kiongozi wa dini yenu, mi nawaambia ubaguzi utawamaliza na hali ya kuendeleza vinyongo ambazo nyie ndio mlitafsiri kipotofu hakutawafikisha popote.
Kitendo cha kusema "awe mtu ambae atachunguza mauaji kwenye maandamano yale yakusema YESU si mungu" that means hamjatambua kwamba mlifanya kosa kuzungumzia dini ya watu wengine, yani mnaona mlichofanya ni haki. sasa tutawaaminije itapotokea pande nyingine(eg christians) watapofanyiwa uonevu, kutukanwa, kuchomewa makanisa yao na daily insults ambazo huwa tunazisikia, je huyo kiongozi mnaemtaka atasimama wapi? kwa maelezo mafupi tu inaonyesha dini nyingine hazitakua na haki...hata huyo kiongozi wenu amesema muongozo unafanya kazi, eti ukiangalia 90% ya waliochaguliwa huko kusini ni watu walioushika vizuri muongozo, tht prove huo muongozo unaonekana kufanya kazi kwa sababu waliochaguliwa ni waislam....
GOD PLS FORGIVE US BECAUSE WE DONT KNOW WHAT WE ARE DOING!