Kiukweli sasa waislam mmchoka kweli kweli mahakama ya kadh kadh mkianza hayo na ss tuanaanza kudai vyetu hosptal shule na nk mbona mmepewa majengo na serikal wakristo wametulia ingekuwa ninyi mngepga makelele mwaka wote kwani kuna msaada mzur kama kukombolewa kielem haya makelele haya
na ninyi mnapata mabilion kila mwaka kuptia MoU ndio mana mmetulia