Waislamu muleba wazuiwa kufanya mihadhara

Waislamu muleba wazuiwa kufanya mihadhara

Status
Not open for further replies.

nngu007

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2010
Posts
15,860
Reaction score
5,803
4/11/2014 WAISLAMU MULEBA WAZUIWA KUFANYA MIHADHARA | BUKOBAWADAU


nshamba.jpg


Shekhe wa wilaya ya Muleba Zacharia Kagimbo


MULEBA: WAUMINI wa dini ya kiislamu katika mji wa Muleba Mkoani Kagera juzi wamezuiwa na jeshi la polisi wilayani humo kuendelea na mhadhara wa dini yao kwa madai kuwa ulilenga kukashifu dini ya Kikristu Wakiongea naMwanahabari hizi katika mji huo nchi waumini hao walisema kuwa mhadhara huo wa siku tatu katika mji wa Muleba uliendeshwa na wahadhili kutoka jijini Dar es Salaam wakilenga kubainisha ukweli
baina ya Uislamu na Ukristo.

Imamu wa msikiti wa ijumaa wa Masjidi Nuru aliy ejitambulisha kwa jina la Issa bin Sued katika mji huo alisema kuwa mtafaruku huo ulichangiwa na kiongozi wa BAKWATA wilaya ya Muleba Sheikh Zacharia Kagimbo kutopenda mhadhara huo

Alisema katika kutoa mhadhara huo wahadhiri walifafanulia waislamu kuwa katika uislamu mwenyezi Mungu alikuwa na manabii wengi kabla na baada ya kuwepo mtume Mohamadi saw na kwamba miongoni mwao ni
nabii Issa mwana wa Mariam

Alidai mara baada ya waislamu kuhudhuria na baadhi ya wasikilizaji wa imani ya kikristo walianza kulalamikia mhadhara huo kwa kusikia kuwa nabii Issa sio Mungu wala mtoto wa Mungu kama wasemavyo
waumini wa dini nyingine

Aidha alisema kuhusiana na hali hiyo wakristo walilalamika hata kwa mbunge wa jimbo la Muleba Kusini Profesa Anna Tibaijuka na mkuu wa wilaya kisha kumfuata shekhe wa wilaya ya Muleba Zacharia kagimbo
na kulalamikia hilo "Wahadhili walikuwa na vibali kwani walishazunguka nchi nzima kwa mkoa wa Kagera walisha pita wilaya nyingi hivyo kuzuiliwa ni kuwakosesha haki kupata elimu ya dini yao".Alisema Imamu Issa Sued.


Aliongeza kusema kuwa wakati mhadhara wa dini ukiendelea waliona jeshi la polisi likiwafikia wahadhiri hao na kuwataka wafunge vilago kuondoka kwani mahubiri yao yanalenga kuhatarisha usalama wa kiimani baina ya dini mbili

Kwa upande Hilali dini Kipozeo ambaye ni mmoja wa wahadhiri na makamu mwenyekiti wa Mihadhara kanda ya ziwa katika kulingania waislamu alisema hawakuwa na nia ya kukashifu dini ny ingine bali wanaeneza dini yao.

Alisema kuwa jeshi la polisi lilifika kwa shinikizo la viongozi wa serikali na kiongozi wa BAKWATA wilayani
Muleba na kwamba hakuna mhadhiri aliy eumizwa wala kuamatwa na malengo yao ni kueneza dini kupata waumini wengi wa kiislamu "Mtume Mohamad SAW alipata mitihani wakati akieneza dini ambapo aling'olewa na meno hili sio geni kwetu kwani ulimwengu huu vita kubwa ni kuangamiza uislamu".

Alisema Kipozeo
Alisema kuwa safari ya wahadhiri hao imelenga kwa mikoa ya kanda ya ziwa ambapo kwa mkoa wa kagera walishatembelea wilaya ya Biharamulo Karagwe Muleba Bukoba manispaa Miseny i hadi Kampala nchini Uganda.


Hata hivyo Kiongzo wa BAKWATA wilayani Shekhe Zacharia Kagimbo amekanusha kutohusika na vurugu hizo na kwamba hakuwa na taarifa za kuwepo kwa wahadhiri hao kueneza dini yao na kusambaza ujumbe wa Allah SW.

Alisema taarifa za kuwepo vurugu za mhadhara alizipokea kutoka jeshi la polisi ngazi ya wilaya hasa kwa OCD
na kwamba hakuna kiongozi wa mtaa wa Muleba mjini wala msikiti wa Nuru aliy e mtaarifu kuwepo kwa wageni hao

Alishauri kwa wale wanaohitaji kuene za dini ya kiislamu wilayani humo kuzingatia taratibu kwa kuwaona
viongozi wanaohusika na maeneo ikiwa ni pamoja na kupitia kweny e vyombo vya usalama ili kulinda amani na utulivu kwa dini zote.




Na shaaban Nassibu.
 
NItatoka vipi za kiislam zimekuwa game mbaya sana ktk civilization of humankind....wapo tayari hata kutoa uhai wa wengine au hata wenyewe just bcoz nitoktoke vipi..na vipi watapata gia ya kuanza tajwatajwa kama Osama....na alqaeda.Sasa misikiti mingi imepigwa kofuli..watu wanagombea misikiti,wanagombea shule...sijui wakimka km watakiri kuwa wao ndio waliowanyima wengine elimu......keep on doing this bullshit business..generation ijayo mtakuwa numa mara mia.....huu muda kufanya ujinga ni muda wa hao masheikha kujifunza na kufundisha wengine kulima ,kufanya kazi kuliko vita....huku wakionyesha kwa vitendo km inawezekana kuwa muislam safi, na ukaacha uvivu,au vita.Hata km mnachinjana wenyewe ila mjue mnatumia polisi tunaowalipa sisi tunaokesha ktk shida....
 
Hawa watu wa ajabu sana, hivi kuoeana elimu lazima kuambatane na kuchokonia wengine?

Hivi leo hii watu wengine wakipanda majukwaani kuanza kutoa ELIMU YA JUA KUZAMA KWENYE TOPE watakuwa tayari kukaa kimya?

Mimi naamini hili ni tatizo la serikali zaidi. Km wanasema walishafanya hivyi wilaya zingine, ina maana huko walikofanya hakuna serikali au?
 
Hii dini ndo maana G8 wanataka kuitokomeza wao hawawezi kufanya mambo yao bila dini takatifu ya kikristo

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
muhamadans bana huwa wanavituko sana hata siku moja hakuna mafundisho kujenga ni kuangaaika na issa ni YESU tu
 
NItatoka vipi za kiislam zimekuwa game mbaya sana ktk civilization of humankind....wapo tayari hata kutoa uhai wa wengine au hata wenyewe just bcoz nitoktoke vipi..na vipi watapata gia ya kuanza tajwatajwa kama Osama....na alqaeda.Sasa misikiti mingi imepigwa kofuli..watu wanagombea misikiti,wanagombea shule...sijui wakimka km watakiri kuwa wao ndio waliowanyima wengine elimu......keep on doing this bullshit business..generation ijayo mtakuwa numa mara mia.....huu muda kufanya ujinga ni muda wa hao masheikha kujifunza na kufundisha wengine kulima ,kufanya kazi kuliko vita....huku wakionyesha kwa vitendo km inawezekana kuwa muislam safi, na ukaacha uvivu,au vita.Hata km mnachinjana wenyewe ila mjue mnatumia polisi tunaowalipa sisi tunaokesha ktk shida....

Chuki na kashfa haisaidii. Jipange upya
 
Wakristo wanauogopa Uislaam kwa kuwa dhambi kwao ndio kitu cha kawaida.

Ukweli wanaujuwa kuwa haiwezekani mungu akazaliwa akawa na ndugu humu duniani. Wamepotoshwa wakapotoka. Lakini wengi wao sasa wanaukubali ukweli hususan hukohuko magharibi ulikotokea Ukristo na wanarudi kwenye Uislaam makundi kwa makundi.
 
Wafungiwe,wafukuzwe kabisa na ikiwezekana wakamatwe na kuwekwa ndani.ugaidi hautakiwi duniani.
 
Kuna kitu ambacho uwa sikielewi. Hivi kueneza uislamu lazima ufanye reference ya kinachofanywa na wakristo? Mimi ni mkristo niliyepitia mafunzo ya dini lakini sikumbuki hata mara moja ambako ili kuimarisha imani yetu kwa ukristo, ilifanyika reference kwenye uislamu. Vile vile kumekuwa na mikutano ya injili kibao, kinachohubiriwa huko ni neno la Mungu kutoka kwenye biblia, sio kufanya reference na wanachokifanya waislamu.

Nafikiri ni uchokozi wa wazi kwa wakristo kuzungumzia biblia na Yesu kwenye mihadhara ya Waislamu. Angalizo: Nimetumia neno nafikiri, hivyo fikra zangu sio lazima ziwe sawa na zako.

Tiba
 
Islam will stand forever uliona wapi cha haki au kizuri kina kuwa hakina misukosuko!!!! Kaeni hapo hapo mnakumbatiwa mkjioni kwa Mungu ndo nyie waungwana!!!!
 
Mi nashangaa sana! Nini maana ya kashfa? Kifupi tu wakristo wameshindwa kutetea dini yao wanaleta blablah tu. YESU SIO MUNGU wala MWANA WA MUNGU.Hiyo ndio imani ya Muislam. Sasa kinachowakera nikuwakanusha nininyi? Huo ni upunbavu! Mbona nyie mnadai kutomtambua Muhammad? Kwahiyo nasisi twende Polisi tukaseme wanakashifu uislam? Acheni umbulula
 
Ili kuonesha uislam ni ushetwan mfano wewe wakakudanganya danganya wakakupandikiza hayo majini yao ukaslim halafu ndugu yako akafariki akiwa mkristo hata kama ni mama yako hauruhusiwi kwenda kumzika huo si wehu!
 
Kuna kitu ambacho uwa sikielewi. Hivi kueneza uislamu lazima ufanye reference ya kinachofanywa na wakristo? Mimi ni mkristo niliyepitia mafunzo ya dini lakini sikumbuki hata mara moja ambako ili kuimarisha imani yetu kwa ukristo, ilifanyika reference kwenye uislamu. Vile vile kumekuwa na mikutano ya injili kibao, kinachohubiriwa huko ni neno la Mungu kutoka kwenye biblia, sio kufanya reference na wanachokifanya waislamu.

Nafikiri ni uchokozi wa wazi kwa wakristo kuzungumzia biblia na Yesu kwenye mihadhara ya Waislamu. Angalizo: Nimetumia neno nafikiri, hivyo fikra zangu sio lazima ziwe sawa na zako.

Tiba

Kwahiyo kama Quran inasema (Isa a.s)Yesu sio Mungu ni nyamaze kwasababu itaonekana ni uchonganishi?

Huwezi kuuzumzia uislamu kwasababu haujatajwa kwenye biblia Lakini ukristo umetajwa kwenye Quran, na sio kwamba haukutajwa kwenye biblia ila kalamu za waandishi zimeufuta uislamu kwenye biblia.
 
Ili kuonesha uislam ni ushetwan mfano wewe wakakudanganya danganya wakakupandikiza hayo majini yao ukaslim halafu ndugu yako akafariki akiwa mkristo hata kama ni mama yako hauruhusiwi kwenda kumzika huo si wehu!

Sasa ukazike mtu anayezikwa kwa jina la Yesu ambae sio Mungu na nyie munasema ni Mungu huo ndio ukafiri wenyewe.
 
Kwahiyo kama Quran inasema (Isa a.s)Yesu sio Mungu ni nyamaze kwasababu itaonekana ni uchonganishi?

Huwezi kuuzumzia uislamu kwasababu haujatajwa kwenye biblia Lakini ukristo umetajwa kwenye Quran, na sio kwamba haukutajwa kwenye biblia ila kalamu za waandishi zimeufuta uislamu kwenye biblia.

Hebu quote hicho kifungu cha quran kinachosema Yesu sio Mungu. Kutaka kueneza uislamu kwa kufanya reference ya wanachoamini wakristo ni kutojiamini.

Tiba.
 
Islam will stand forever uliona wapi cha haki au kizuri kina kuwa hakina misukosuko!!!! Kaeni hapo hapo mnakumbatiwa mkjioni kwa Mungu ndo nyie waungwana!!!!


Ahahahahahahahahaaaaaa! Kwa mtindo huu! pole sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom