Waislam nijibuni hili

Toka enzi na enzi kipau mbele cha waislamu ni elimu ahera elimu dunia na maendeleo mengine ni kitu cha badae ndo maana ukifuatilia viongozi wengi wa zamani ambao ni waislamu ukifuatilia elimu zao wamezipata kwenye shule za wakristo.
Ni nyie mlioletewa dini ndyo mnamawazo ayo wenzenu walioshushiwa Dini wanaangalia na uchumi pia angalia Quarter angalia Dubai angalia kuwait kote kumependeza sababu wanafocus kwenye uchumi pia sasa wewe mwanakuletewa dini mtu akimsema mtu unalia akifanya kuusu uislamu unalia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daby ujue nashangaa unayoongea hapa kwa status yako hapa Jf!

Mpaka nahisi labda kuna mwingine anatumia Identify yako.

Hata kama umesema hatujui dini yako ila unatakiwa kufahamu uwepo wako tu hapa duniani unamakusudi ya Mungu bila kujalisha dini yako

Hizi dini kwa ninavyoamini mimi kutokana na uelewa wangu zimeletwa na wanadamu na wengi tu wanazitumia kutimiza matakwa yao binafsi na mashirika yao

Wewe kama mwanajamii mwenye uelewa hauzuiwi wala sio dhambi kumshauri au kutoa maoni yako kwa mtu anayetaka kufanya jambo fulani eti kisa pesa ni zake.

Pesa ni zake ndio, sasa ndio azitumie kwa vitu visivyonufaisha jamii?

Kwamba hata akijenga majengo yasitumike kwako sawa tu ilimradi pesa ni zake! Hiyo si sawa hata kidogo! Wewe kama mwanajamii unayo nafasi ya kutoa mawazo na maoni yako kwa mtu anayetaka kutoa msaada sehemu fulani na baadae anaweza kukushukuru!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msikiti una munafaa zaidi kwa mjengaji hata kama Atakuwa ametangulia mbele za haki tofauti nmna hayo mashule na hospitlii pia kingne ni usimamizi ,Shule na mahospitali yanahtaji usimamizi wa hali ya juu sana .

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwhyo shule, hospital hazitakuwa na umuhimu hata mtu akifa? Hujui hospital ni huduma endelevu? Elimu za madrasa bhana
Kumbe ndio maana mpo nyuma kielimu wenzenu wakitusua mnaanza kudai ohh mfumo kristo
wekezeni kwenye elimu misikiti ipo ya kutosha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe wakijenga misikiti inakuuma nini? Probably their priority sio maisha ya dunia hii, unafikili kila MTU ana fikra kama zako? Wengine priority yao ni mahusiano yao na Mungu wao. Stay back and chill, achana na dini za watu.
Kwani ukijenga hospital watu wakitibiwa sio sadaka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na usisahau kusema na kile cha kulazimisha hata wasiofikia vigezo vya TCU wanalazimisha wasome tu ilimradi ni wa kwao. Hili ni tatizo pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unawahoji kama nani? Acha siasa hao ni viongozi wa dini wanajua shida zao .Misikiti ndio kipau mbele chao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenzenu wanafurahi sana wakisikia mnasema hivi! Hili ndo lengo lao.

Kwamba ukitoa msaada kwa kujenga Msikiti unajenga ahera!?!? Hizi Imani tuzipime kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio iani zetu, na ndio maana sisi ni waislam kwani nanyi mnaimani yetu ambayo sisi hatuiamini una jipya?

Cᵃʳᵉᵉᵐ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Nimesharekebisha nenda kasome umalizie

Nilichotaka kusema ni "Tanzania kuna madhehebu mengi sana, lakini makuu yenye waumini wengi ni mawili! Uislam na Ukatoliki"

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna dhehebu linaloitwa Uislam. Ukatoliki lweli ni dhehebu, nenda karekebishe tena!

Cᵃʳᵉᵉᵐ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Hakuna nchi inayoitwa Quarter. Wala haijawahi kuwepo duniani, rekebisha!!

Cᵃʳᵉᵉᵐ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Hakuna dhehebu linaloitwa Uislam. Ukatoliki lweli ni dhehebu, nenda karekebishe tena!

Cᵃʳᵉᵉᵐ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Asante! Ngoja nikajifunze kwanza kabisa niyajue vizuri madhehebu ila naamini concept umeipata na lengo la mtoa mada umeshalielewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahisi una uvimbe kichwani. Hayo ya kwao lakini misaada wanayotoa inalenga kujenga akhera zao. Una jipya?!

Cᵃʳᵉᵉᵐ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Hahaa eti akhera zao, hamna cha akhera wala upuuzi gani, kungekuwa na hiyo akhera waarabu wasingewafanya watumwa, wala kunyanyasa dada zenu wanaofanya kazi za ndani
 
Hahaa eti akhera zao, hamna cha akhera wala upuuzi gani, kungekuwa na hiyo akhera waarabu wasingewafanya watumwa, wala kunyanyasa dada zenu wanaofanya kazi za ndani
Kwani hao wafanyakazi wa ndani hapa nchini hawanyanyaswi na watanzania wenzao??

Cᵃʳᵉᵉᵐ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
You are contradicting yourself.

Unasema unakubali mtu baki asipangiwe cha kufanya na hela yake.

Lakini kama kuna msikiti tayari unamoangia asijenge msikiti.

Ajenge hata misikiti mia imeongozana. Hela yake. Wewe tafuta yako nawe ujenge unachotaka kwa hela yako.

Argument yako haina logic.

Unakubali mtu asipangiwe cha kufanya kuhusu hela zake, halafu unampangia.

Tafuta hela zako ujenge unachoona kimepungua. Waache wengine wajenge wanachoona kimefaa.

Unampangia mtu ajenge hospitali wakati oengine anataka watu wafe wawahi kuenda mbinguni kuonana na Mungu kqa mujibu qa imani yake.

Sasa hapo huoni umemuingikia kwenye imani yake?

Acha kukodolea macho hela za watu na kuzipangia matumizi.

Tafuta zako. Pangia matumizi hela zako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh mkuu nimeacha basi. Tufanye yaishe mkuu wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…