Waislam na Wakristu tugawane Tanzania!

Status
Not open for further replies.
Ieleweke kuwa waislamu hatuombi special favour kutoka serikalini wala hatuna mahitaji ya kimwili tofauti na ya Wakristu. Ila tunachotaka sisi kuona nchi hii inaendelea kuwa moja kwa misingi ya mnyonge kupewa haki yake na dhalimu kunyanganywa alichodhulumu na kufikishwa mbele ya sheria. Uislamu unaona ni bora kuishi chini ya kiongozi mbaya kuliko kuishi bila kiongozi, sembuse kiongozi awe Mkristu, Hii si ndio bora zaidi?

Ni mambo mengi yanaendeshwa kwa kufuata mfumo KRISTU ila nita-andika machache kati ya hayo.
1. Bunge letu tukufu ninafunguliwa kwa sala ya kikristu.
2. Mapadre wanapinga kuanzishwa mahakama ya kadhi ambayo itasaidia kutatua migogoro yetu ya ndoa na mirathi
3. Kanisa liliichochea serikali kufanya mauaji ya halaiki pale Mwembechai na Zanzibar
4. Serikali kufadhili uendeshaji wa Hospitali/ Shule za kulipia zinazoendeshwa na kanisa
5. Serikali kubadili maamuzi baada ya Mh. Benard Membe kuitwa na Mh. Polycap Pengo na kumtaka aache mpango wa Serikali kujiunga na OIC.
6. Serikali kusimamia/ Kufadhili chaguzi zote za BAKWATA kwa lengo la kuchakachua fikra za kuleta umoja miongoni mwa waislamu
7. Serikali kushiriki katika kuuwa World Islamic League (Organisation iliyokuwa inawaunganisha waislamu wa Africa Mashariki and World in general)
8. ete, etc

Ingawa ni machache lakini yote yanajadilika, vipi tugawe nchi?
 
Ieleweke kuwa waislamu hatuombi special favour kutoka serikalini wala hatuna mahitaji ya kimwili tofauti na ya Wakristu. Ila tunachotaka sisi kuona nchi hii inaendelea kuwa moja kwa misingi ya mnyonge kupewa haki yake na dhalimu kunyanganywa alichodhulumu na kufikishwa mbele ya sheria. Uislamu unaona ni bora kuishi chini ya kiongozi mbaya kuliko kuishi bila kiongozi, sembuse kiongozi awe Mkristu, Hii si ndio bora zaidi?

Ni mambo mengi yanaendeshwa kwa kufuata mfumo KRISTU ila nita-andika machache kati ya hayo.
1. Bunge letu tukufu ninafunguliwa kwa sala ya kikristu.
2. Mapadre wanapinga kuanzishwa mahakama ya kadhi ambayo itasaidia kutatua migogoro yetu ya ndoa na mirathi
3. Kanisa liliichochea serikali kufanya mauaji ya halaiki pale Mwembechai na Zanzibar
4.Serikali kufadhili uendeshaji wa Hospitali/ Shule za kulipia zinazoendeshwa na kanisa

5. Serikali kubadili maamuzi baada ya Mh. Benard Membe kuitwa na Mh. Polycap Pengo na kumtaka aache mpango wa Serikali kujiunga na OIC.
6. Serikali kusimamia/ Kufadhili chaguzi zote za BAKWATA kwa lengo la kuchakachua fikra za kuleta umoja miongoni mwa waislamu
7. Serikali kushiriki katika kuuwa World Islamic League (Organisation iliyokuwa inawaunganisha waislamu wa Africa Mashariki and World in general)
8. ete, etc

Asante mdau kwa kuliona hilo kulingana na uelewa wako, labda tu nikuulize hiyo sala ya kufungua bunge tukufu umesema ni ya kikristo kivipi? au Umesikia kuna Yesu anatajwa mle? au yule Mungu anayetajwa kwenye ile sala ni tofauti na Mungu wenu? ungependa hiyo sala iweje ili iendane na dini zote?

Pili: kupingwa kwa mahakama ya kadhi ni kwa mujibu wa katiba kwamba nchi haiamini katika dini yoyote, na swala la dini ni la mtu binafsi na si la serikali.
Tatu: Serikali haiwezi kujiunga na OIC kwa sababu hii nchi si ya kiislam
Nne: Nikuulize hizo hospitali na shule zinahudumia wakristo tu? we ndugu fikiria kwanza kabla hujaleta vitu vingine hapa. Au kuna hospitali au shule ya kiislam ambayo iligomewa na serikali kupewa misaada kama inavyofanya kwa makanisa?
SI VIZURI KUPANDIKIZA CHUKI AMBAZO HAZINA MSINGI. TANZANIA NI YETU SOTE TUNATAKIWA KUIJENGA NA KATIBA YA NCHI NDO MSAAFU WETU!
 
Ieleweke kuwa waislamu hatuombi special favour kutoka serikalini wala hatuna mahitaji ya kimwili tofauti na ya Wakristu. Ila tunachotaka sisi kuona nchi hii inaendelea kuwa moja kwa misingi ya mnyonge kupewa haki yake na dhalimu kunyanganywa alichodhulumu na kufikishwa mbele ya sheria. Uislamu unaona ni bora kuishi chini ya kiongozi mbaya kuliko kuishi bila kiongozi, sembuse kiongozi awe Mkristu, Hii si ndio bora zaidi?

Ni mambo mengi yanaendeshwa kwa kufuata mfumo KRISTU ila nita-andika machache kati ya hayo.
1. Bunge letu tukufu ninafunguliwa kwa sala ya kikristu.
2. Mapadre wanapinga kuanzishwa mahakama ya kadhi ambayo itasaidia kutatua migogoro yetu ya ndoa na mirathi
3. Kanisa liliichochea serikali kufanya mauaji ya halaiki pale Mwembechai na Zanzibar
4. Serikali kufadhili uendeshaji wa Hospitali/ Shule za kulipia zinazoendeshwa na kanisa
5. Serikali kubadili maamuzi baada ya Mh. Benard Membe kuitwa na Mh. Polycap Pengo na kumtaka aache mpango wa Serikali kujiunga na OIC.
6. Serikali kusimamia/ Kufadhili chaguzi zote za BAKWATA kwa lengo la kuchakachua fikra za kuleta umoja miongoni mwa waislamu
7. Serikali kushiriki katika kuuwa World Islamic League (Organisation iliyokuwa inawaunganisha waislamu wa Africa Mashariki and World in general)
8. ete, etc

Ingawa ni machache lakini yote yanajadilika, vipi tugawe nchi?

Kama haya unayosema ni kweli basi waislam wana ombwe kubwa la uongozi. Lakini ningeshukuru kama ungejibu maswali yafuatayo:
Kwa nini hadi leo BAKWATA wapewe hela za uchaguzi na serikali na wao wanapokea?
Kanisa lilichochea vipi mauaji ya Zanzibar/Pemba?
 
Tukishagawana baada ya siku chahce utasikia wakilalamika tena na kudai bado wakristo wawagawie sehemu nyingine maana yao ni ndogo. Alafu utasikia wakilalamikia watoto wao kuongezeka sana pamoja na kwamba wao uoa wake wengi, watalalamikia kula ugali kila siku, watalalamikia kutopewa na zana za uvuvi, watalalamika watalalamika hadi walalamike kulalamika na wataendelea kulalamika.
Mawazo ya Aalim ndio mawazo wa waislamu wote. Hawataridhika mpaka wasiridhike maana hiyo ni spirit yao. KULALAMIKA. Ni moja ya nguzo iliyojificha katika uislamu.
Mohamed pia alikuwa hivi hivi na waislamu wote wanarithi kutokea kwake. Hakuwahi kuridhika. Na kutoridhika kumlimpelekea kukimbia kwao Macca kwenda uhamishoni Madina. Bado hakuridhika mpaka alipoanzisha jeshi na kuanza kupiga ndugu zake na bado hakuridhika hata kuwa na mke mmoja hakuridhika mpaka alipofikisha 13 hakuwa ameridhika.
Usikubali malalamishi ya uislamu maana hawataridhika.
 
Me nimesema hii thread itoke..mods vipi ninyi?

Kama wanaotoa sentiments hizi wangekuwa wanaangalia facts kwa makini (kiu-great thinker), wala mada hii isingekuwa even raised kabisa.

Wakristo wako 45%
Waislamu wako 35%
Hao 20% mgao wao ni nini?

Tuzikwepe jazba za makongamano ya watu waliokutana na kujadili mambo kwa kutumia mioyo na hisia badala ya bongo zao!! Come on great thinkers!!!
Hizo takwimu za waislam na wakristo umezitowa wapi? sensa ya Tanzania kwa miongo kadhaa ilishaondoa kipengele cha dini. Ni uongo mtupu!, labda rejea sensa ya mwisho ambayo iliangalia na dini za watanzania, halafu fanya forecast, usisahau kuwa waislam wanaoa wake zaidi ya mmoja na kuzaa watoto kadri wanavyopatikana. Weka facts sio fitina tu!
 
re: wakristo na waislam kugawana Tanzania

nadhani jambo la msingi ni kupuuza hoja ya kugawa nchi kijiografia kwa misingi ya kidini, nchi hii si mali ya wakristo na waislam tu! kuna dini nyingine kama wahindu, budha n.k pia kuna wasio na dini, hawa watapata nini? kila kundi lina haki na ardhi ya nchi yetu. vigezo vipi vitakavyotumika ili kugawana nchi? ni jambo gumu sana halafu halina mantiki na linahatarisha mustakabali wa Taifa letu, wengine wamefunga ndoa za mseto-mke atakwenda wapi na mume ataenda wapi na watoto je? rasilimali zitagawanywa vipi ukizingatia kila eneo lina tofautiana na eneo lingine kwa thamani ya rasilimali, hata kabla ya kugawana itakuwa ugomvi! jambo la muhimu tuache kuangalia mambo kwa misingi ya udini, tuzungumze hoja zitakazoleta umoja bila kujali dini, kabila, rangi n.k wenye mawazo kama hayo tuwapuuze hata kama ni kiongozi wa dini yako mpuuze tu! hana nia njema na jamii yetu atakuwa na ajenda ya siri ambayo ukishabikia utajuta baadae!
 
I think tuwe tunafanya research kujua ni nini chafanyika ktk madrasa kuliko kupaza sauti,
NDg zangu...UDINI NI SUMU KALI IAMBATANAYO LA LAANA YA MWENYEZI MUNGU kwa kubaguana ndani ya jamii moja iliyoumbwa pamoja, dunia yalilia umoja lakini wa-Tanganyika tunakimbilia kwenye udini.

Mwanangu hii biashara ya udini imefilisika ndio sababu ni watu wachache wanaiendeleza bila kujua kwamba biashara hiyo ni MUFILISI!

Biashara iliyopo sasa ni kati ya WALIO NACHO NA WASIO NACHO

Biashara hiyo haibagui wewe ni Dini gani kabila ima rangi
wote wataenda kununua

EE MMUNGU UTUEPUSHE NA JANGA HILI
AMINA!
 
Tabora, Singida, Bukoba, Mwanza, Kigoma, Unguja,pemba,pwani,lindi,mtwara,tanga, dar es salaam, Morogoro, Arusha, Moshi, Dodoma-wapewe waislamu.

mikoa yote iliyobaki wapewe wakristu
 
Hahaha embu wapewe kama huko nako hawatasema wamehujumiwa!Tofauti ni kwamba hawatakua na wakumpa lawama zaidi ya wao wenyewe!!Kwao kutakua kama sehemu wanayoishi waPelestina compare na wanapoishi waIsraeli!!Maendeleo watayachungulia na kuyasikia upande wa pili!

Mwafrika haendelei hata siku moja,

Inchi za mwisho kimaendeleo katika africa ni inchi za kikikristo ila south Africa tu ndio kidogo imeendelea kwa sababu huko kuna wazungu.

Mwafrika haendelei hata siku moja (daima anaota tu)

Acheni kudanganyana.
 
Tumewasikia viongozi wa Waislam Tanzania wakidai kama vipi tugawane nchi yetu ya Tanzania. Nionavyo mimi hilo ni wazo la kishetani japo siwezi kuwapinga kwa mawazo yao hayo kwani inawezekana kwao ndio suluhisho kwa dhuluma na hila wanazodai kufanyiwa na Wakristu. Mashekh hawa katika tamko lao walilotoa hawakutoa proposal ya mipaka au namna gani nchi hii igawanywe.

Nawakaribisha wana JF tushauriane jinsi ya kuigawa hii nchi baina ya Waislam na Wakristu. (Najua wakristu wataweza kuwa-accomodate wahindu,wabudha,wapagani na wengine wote wasio waislam kwenye nchi watakayopewa.)

Nia yako ni kufitinisha na kuleta chuki baina ya waislamu na wakristo.
,

Umetolea wapi habari hii eti viongozi wa Waislam Tanzania wakidai kama vipi tugawane nchi yetu ya Tanzania!!!!!!

Leta source ya habari hii kama ni msema kweli,

Nia yako ni mbaya sana wee.
 
Tunajua kugawa nchi ni ajenda ya sheikh kikwete....hawa waislamu wanaojiita maprofessor wa madrasa ni

muda si mrefu tutaanza kudai waislamu wawaachie wanawake ambao wameoa wake wengi ili kila mtu apate mke,,,,,,,hii nchi hapatatosha.....hawa maprofessor wa madrasa ni makuwadi tu wa kikwete
 
Kiongozi mkuu wa waislamu mtume muhammad (amani iwe juu yake) amesema:
"unapotaka kufanya jambo lolote lifikirie hatma yake. Ikiwa ni njema, fanya (jambo hilo), na ikiwa ni mbaya, acha (jambo hilo)".
Tofauti ya binadamu na wanyama wengine ni akili. Ni tunu kubwa. Tutumie akili na tuache kukaanga mbuyu ........................
 
Waislamu wa afrika mashariki hawajapata kuwa na world muslim league iliyofutwa na serikali. Ni east african muslim welfare society. Mamakunda upo? Ni kuelimishana tu.
 
Hata kule Indonesia, nchi yenye idadi kubwa zaidi ya Waislamu duniani, wanalalamika kuwa "wanaonewa!" Saud Arabia ndio usiseme! Nafikiri kuwa huko madrassa wanafundishwa jinsi ya kulalamika hata kama hakuna sababu!

Mbumbumbu Mwingine.
 
Wakishapewa nchi ipi itapata maendeleo upesi?

Mwafrika haendelei hata siku moja,

Inchi za mwisho kimaendeleo katika africa ni inchi za kikikristo ila south Africa tu ndio kidogo imeendelea kwa sababu huko kuna wazungu.

Mwafrika haendelei hata siku moja (daima anaota tu)

Acheni kudanganyana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom