Waislam iogopeni dhambi ya kitimoto

Status
Not open for further replies.

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
58,047
Reaction score
134,349
Japo mimi sio muislam,lakini natambua vyema kuwa kwa wenzetu kitimoto ni haramu.Sasa leo nimekutana na Hassan Mansoor anasema dhambi ya kula kitimoto ni kama dhambi zingine ya kuzini,kutukana nk.Kwa hiyo akipata fursa anakamua.Daah nimesikitikana sana
 

Jamani! Mimi sisemi uongo...Waislamu wengi wanakula Kitimoto...Kipindi nipo chuo ma-best zangu wa Kiislamu tulikuwa tunapiga nao vizuri tuu..
 
naona mmeamua kuwaandama waislam haya na mbarikiwe sana
 

Bora kuzini kuliko kula Noah!
 
Kwani muislamu akila nguruwe anakufa?
 
...huyu mdudu ni mtamu balaa,inshaallah na tumtafune mnyaazi mungu kamleta kwa lengo maalum...
 

Innalillah Wainnaillah Rajiun!!!
 
Jamani! Mimi sisemi uongo...Waislamu wengi wanakula Kitimoto...Kipindi nipo chuo ma-best zangu wa Kiislamu tulikuwa tunapiga nao vizuri tuu..

mi sikubalia na hili,binafsi sijawahi kushuhudia,nataka nione mwenyewe
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…