Aisee nimewakumbuka kina Amsi, Da'ata, Tluway, Bura, Tlatla'a, Margwe, Ba'ata, Baha, Bungka'i, Lohi, Hhoki, ......... wote walikuwa warembo na wachangamfu na wanaendelea na ndoa zao vizuuuuuuuri. i believe hata Dena Amsi humu Jamvini yupo pooooooowa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mwenyewe nimemkamatia wa maeneo ya Daudi!mzuri,mpole,mvumilivu sana!yaani macho yake mwee!madogo ya duara!nywele ndo usiseme!kitu somali!copy and paste!
ni wazuri sana ila wanazeeka haraka!!
Nilikuwa na GF wa aina hiyo nikafanya uchunguzi nikagundua hawa ndugu ni maji mara moja wanapokutana na watu wa kwao. Kimila chao si vizuri kumnyima kaka wa nyumbani hiyo kitu.
Nilikuwa na GF wa aina hiyo nikafanya uchunguzi nikagundua hawa ndugu ni maji mara moja wanapokutana na watu wa kwao. Kimila chao si vizuri kumnyima kaka wa nyumbani hiyo kitu.
Mhhhhh, kama kuna ukweli kidogo vilee!
Balangdalalu napakumbuka sana mkuu, nilifukuzwa boarding kwa ajili ya kumparua mrembo wa kisomali pale!
Umekaa nae muda gani mpaka ukimya wake ukutishe? Usimhukumu mtu kwa kabila lake, mhukumu mtu kwa matendo yake maana naona umetoa mlolongo wa makabila na tabia zao. Haya sas tabia za wanawake wa kiiraq ni malaya, wajasiri na wasiojutia maamuzi magumu, wana roho mbaya na nasikia wengi wametahiriwa. Kwa uzuri hapi umefika, nywele wengi utafiki mwarabu, warefu, weupe, macho mwororo. Haya chagua kusuka au kunyoa.
Mpende jinsi alivyo.
Huko kwetu Mbulu (Aya Ma'ami', Sanu, Endagikot', Gehandu, Kansay, Kwermusl, Murray, Guwang, Bashay, Haydom, Endabash, Basodawish, Rhotia, Qurus, Issale, etc) wote ni wairaqw. Wadada wote warembo na wachangamfu ila hawakosekani wakimya kama huyo wako.
Duh!miaka gani mkuu maana kale kaskonga nilikapitiamo!enzi zile ilikuwa imejaa warombo!kama akina Preta
Dah! Hawa watu ni waachiaji sana and u will never know kwasababu wanaficha tabia zao kwenye ukimya na usiri wao. Ni wazuru mno kwa muonekano and wako live sana, when uko nao karibu ni raha kwa kwenda mbele ila behind that they are so nasty! But there are exceptional cases I believe.
Pasco nakusahihisha hakuna kabila la wambulu kamwe? Namaanisha utasema sasa Wakaratu, wababath, wahanang' etc
Nina g.f ambaye ni m2 wa Babati kabila la iraque ana muonekano mzuri sana ila huyu binti ni mkimya saaana na msiri sana sijui ni tabia zao plz kwa anaye fahamu tabia za asili za kabila hili anisaidie cz nampenda sana ila hili la ukimya lanipa wasiwasi coz nafahamu kuna tabia za asili za watu wa makabila mf wakurya-hasira, wachaga-wabahili, wasambaa-maneno mengi n.k... ila hawa wairaque msaada tafadhali
Aisee nimewakumbuka kina Amsi, Da'ata, Tluway, Bura, Tlatla'a, Margwe, Ba'ata, Baha, Bungka'i, Lohi, Hhoki, ......... wote walikuwa warembo na wachangamfu na wanaendelea na ndoa zao vizuuuuuuuri. i believe hata Dena Amsi humu Jamvini yupo pooooooowa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Aisee nimewakumbuka kina Amsi, Da'ata, Tluway, Bura, Tlatla'a, Margwe, Ba'ata, Baha, Bungka'i, Lohi, Hhoki, ......... wote walikuwa warembo na wachangamfu na wanaendelea na ndoa zao vizuuuuuuuri. i believe hata Dena Amsi humu Jamvini yupo pooooooowa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mpende jinsi alivyo.
Huko kwetu Mbulu (Aya Ma'ami', Sanu, Endagikot', Gehandu, Kansay, Kwermusl, Murray, Guwang, Bashay, Haydom, Endabash, Basodawish, Rhotia, Qurus, Issale, etc) wote ni wairaqw. Wadada wote warembo na wachangamfu ila hawakosekani wakimya kama huyo wako.