Wairaqw ndivyo walivyo?

Status
Not open for further replies.

Philomena, Perpetua, Catarina, Julieti na Martha....hawa ni baada ya kubatizwa lakini....
 
wapendwa hata mm nimeoa muiraq yaan ni mkimya hadi naona nikiburi maana unapoongea nae hatoi ushrikiano had nashndwa kumuelewa na ukimuuzi anawezakulia had wki. na hw wanapenda san kuongea kiluga ht ukwpo.
 
Mwenyewe nimemkamatia wa maeneo ya Daudi!mzuri,mpole,mvumilivu sana!yaani macho yake mwee!madogo ya duara!nywele ndo usiseme!kitu somali!copy and paste!

ni wazuri sana ila wanazeeka haraka!!
 
Nilikuwa na GF wa aina hiyo nikafanya uchunguzi nikagundua hawa ndugu ni maji mara moja wanapokutana na watu wa kwao. Kimila chao si vizuri kumnyima kaka wa nyumbani hiyo kitu.

Mhhhhh, kama kuna ukweli kidogo vilee!
 
Nilikuwa na GF wa aina hiyo nikafanya uchunguzi nikagundua hawa ndugu ni maji mara moja wanapokutana na watu wa kwao. Kimila chao si vizuri kumnyima kaka wa nyumbani hiyo kitu.

Mhhhhhhhhhhhhhh! Hay tutasikia mengi humu
 
Wazee wa manyara hebu niambieni barabara ya karatu to mbulu siku hizi ikoje, maana kuna miaka nilikuwa napita huko ilikuwa ni balaa, gari inaweza ikazungushwa kuelekea inapotoka, pale maeneo ya Basodawish baada ya karatu kidogo, na sehemu nyingine inaitwa wa'ama kabla hujafika mbulu.
 

Du mie mgeni natafuta mwenyeji.
 

Dareda, Basotu, Mamaisara etc!!

Nimekumbuka Busa kweli kweli leo...na ngoma ya Tsiri Tsiri Hamaareeee🙂)
 

What do you mean "they are so nasty"? Can the whole tribe be nasty? Nasty in which ways? You are too judgmental even for things do you know...and too general and pointless...
 
Pasco nakusahihisha hakuna kabila la wambulu kamwe? Namaanisha utasema sasa Wakaratu, wababath, wahanang' etc

Adosing aloo ama Hhoo...tunaweza kuongeza "Wambeya, Wairinga, Wadodoma nk." Mbulu ni eneo sio kabila.....Hao ni Southern Cusihites so watch out...beauty, intelligence, principles, etc....are some of their great traits...but ukiwaudhi hawatajali wewe ni nani...kumbuka hata walimpinga Nyerere na siasa yake na mgombea mmoja...Nyerere aliwaogopa sana hao watu
 

Muongo mkubwa wewe,wachaga sio wabahili hata kidogo na mifano halisi ipo mingi mfano hakuna wanywa bia kama wachaga,hakuna wenye mijengo ya maana km wachaga,hakuna wenye magari mengi km wachaga,hakuna wenye mabiashara mengi km wachaga,hakuna matajiri tz km wachaga,watoa misaada wakubwa tz ni wachaga.Sa huo ubahili ni wa kitu gani labda ufafanue
 

Aisee haya bana
 
Mkuu ni wapare ndio wanafahamika kwa ubahili na kupenda kesi za mahakamani. Wachaga ni wazee wa kujirusha na sifa nyingi (maujiko). Kurudi kwenye swali lako kuna jamaa zangu walikuwa na experience ya mademu wa kiiraq. Kweli ni wakimya sana ila vile vile wataratibu na wenye mipango sana. Tatizo lao moja kama unavyosema ukimya ni wa kuogopa sana. Kuna mmoja alikuwa demu wake anamegwa for 4 years hakuwa anajua. Hata alipojua hakuamini maana piripirika pirika za ndoa zilikuwa mbioni ikaja kufahamika anabwana nje na ndoa ikafa kifo cha mende.

Mwengine huyu amemuoa kabisa yule demu wake wa kiiraq na wanaishi ndoa ya furaha sana.

Weakness moja wapo niliyoiona wanazimia sana wanaume wenye akili na uwezo. Hivyo kuwa makini ukimuoa jitahidi umaintain vitu hivyo otherwise akiwa mwanamke mapepe ushampoteza.
 

Huyo red ni my brother
 

Aisee hizo bluu zinanihusu sana mkubwa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…