Waifu ananitegea!

 
Last edited by a moderator:
Itabidi mkuu ubadili staili ya kuangalia, fanya hivi;
Mkiwa mnaenda sehemu halafu mkawa mnataka kupishana na mali ambayo unahisi nyuma lazima kitakuwa na biG pachaz wewe anza kugeuka nyuma kabla hata hamjapishana (a.k.a tanguliza macho mzigo waja,)kwa hyo akifika usawa wa ikweta ya macho yako unafaidi weeeee! Wife akiuliza unamjibu mbona uligeuka kitambo tu.
 
ndio maana ake coz hyo mi natafsiri
kama dharau,bamiza makonde,kwa siku
hata mara sita atajiju,kila akigeuka analo khaaa!!

mhhhhhhh lakini punguza ubabe mamiii utasababisha awe na nidhamu ya woga
 
mi wangu akigeuka anashtukia bonge la bao
shavuni akome,c aangalie akiwa peke yake
hata kama mm kimbau mbau ndio aangalie mawezere
mbele yangu,nyumbaaaf!!

hahahaha

Acha uonevu, mambo mengine hayatabiriki
 
Kuna baadhi ya wanawake ni utalii wa ndani, kunyimwa kuona ni sawa na mzawa kupigwa marfuku kwenda serengeti na ngorongoro, absurd!
 
hahahahahahahaha.

Aisee nimeshakukariri.

Ngoja nikiamka kushoto.

Usilalamike, umenitafuta mwenyeweeee!!!🙂

Dah!! Mkwara wote huo kwa kutoa mtazamo wangu tu!! Anyway, am lookin forward to it...
 

hahahahaha, Karucee mama nimekupigia salute. Wewe ni wa kipekee sana.
 
Last edited by a moderator:

keshajua ugonjwa wako...!
 
Unatoa ofa kabisa...

Matatizo ya ndoa changa nyingi...insecurity...(ni moja ya stages usihofu)

Akikujua vizuri mtaanza kuangalia wote kina masogange...


huwa anasema kama niko nae ndo naangalia hivyo je nikiwa pekeyangu inakuwaje?
 
That's sexual harassment...sidhani kama ni wote wana enjoy hizo honi...

aiseeeeee mimi siwezi kufanya hivyo ingawa ni utani na inaleta vicheko kati yenu
afu hao wanawake mnawapungia wanajiskiaje mwangine anaweza kudhani dili imetiki kumbeeeeeeee
 
Kumbe na ye kajazia mbona simple tu!,mwambie "Don't rush to judge a book just by looking its cover,NDIO MAANA NILIKUCHAGUA WEWE MKE WANGU KIPENZI,NAFSI YAKO INA ZAIDI YA NINACHOHITAJI".Msifie mara kwa huku ukimwimbia kale kawimbo ka "NO ONE BE LIKE YOU".Usichoke PLEASE!
 
Unatoa ofa kabisa...

Matatizo ya ndoa changa nyingi...insecurity...(ni moja ya stages usihofu)

Akikujua vizuri mtaanza kuangalia wote kina masogange...


hahaha ok mkuu ngoja nisubiri wakati huo
 

nimekusoma mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…