Hawa ndio wanaohusika na kutengeneza Mitihani, kuteua watunzi wa mitihani na kuchagua wasahihishaji.
Lazima tubadilishe hali hii. Edwin Mtei kasema maamuzi ya mtu huathiriwa na Imani yake. Hivi waislamu watapona kweli.
Wakuu wa Idara Wapo Watano.
Mkurugenzi – Ndalichako – Mkristo
Mkurugenzi Msaidizi- Jina Limenitoka- Mkristo.
Hata ukisikia wanadai kosa lilikuwa la kibinadamu la kuficha alama za waislamu, kwa mtazamo wangu naona hawa ni waongo.
Haya wanajf kolezeni ili kuleta utengamano nchini. Changie kwa uangarifu na uerewa sana
s/n | SOMO | WARATIBU WAKRISTO | WARATIBU WAISLAMU | JUMLA |
1 | UALIMU | 5 | 2 | 7 |
2 | HISTORY | 2 | 0 | 2 |
3 | GEOGRAPHY | 1 | 0 | 1 |
4 | BIOLOGY | 2 | 0 | 2 |
5 | ENGLISH | 2 | 0 | 2 |
6 | PHYSICS | 1 | 1 | 2 |
7 | CHEMISTRY | 3 | 0 | 3 |
8 | KISWAHILI | 1 | 1 | 2 |
9 | MATHS | 3 | 0 | 3 |
10 | BIASHARA | 0 | 1 | 1 |
11 | UFUNDI | 4 | 3 | 7 |
12 | MAPISHI | 1 | 0 | 1 |
13 | CIVICS | 2 | 1 | 3 |
Lazima tubadilishe hali hii. Edwin Mtei kasema maamuzi ya mtu huathiriwa na Imani yake. Hivi waislamu watapona kweli.
Wakuu wa Idara Wapo Watano.
- Kitali –Mkristo
- Mafie- Mkristo
- Mbowe- Mkristo
- Haule- Mkristo
- Salim- Mwislamu
Mkurugenzi – Ndalichako – Mkristo
Mkurugenzi Msaidizi- Jina Limenitoka- Mkristo.
Hata ukisikia wanadai kosa lilikuwa la kibinadamu la kuficha alama za waislamu, kwa mtazamo wangu naona hawa ni waongo.
Haya wanajf kolezeni ili kuleta utengamano nchini. Changie kwa uangarifu na uerewa sana