Maoni ya Mzalendo
Senior Member
- Feb 19, 2017
- 116
- 92
Kweli kabisa ni uzembe wa hali ya juu kabisa. Na kwanza hata pale kny ubao wa matangazo na ikiwezekana kny kila dirisha tun gekuwa tunabandikiwa taarifa fupi ya punguzo la deni tunalolipa angalau kila siku ili tujue tunalipa kwa speed gani. Tusije daiwa mpaka vitukuu na kiwasababishia wengine kuwa na matumbo makubwa kwa kujaza haki za watu. Nilimsikia siku moja mbunge akisema kiasi ambacho kimelipwa sasa bajiulia anayelipa ni yeye pekeyake? Tuna haki ya kujua ni kiasi gani tunalipa kila siku ikiwezekana na kama hilo ni ngumu basi angalau kwa wiki.