Dr. Magufuli aenda kupiga kambi Morogoro ama kusimamia mwenyewe ujenzi wa Daraja la Dumila lililopo mkoani Morogoro ambalo ni kiungo muhimu cha barabara ya Dodoma – Morogoro lililosombwa na mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia tarehe 22.01.2014 na kusababisha magari kutopita kabisa ama yanayotoka upande wa Dodoma au Morogoro, mbaya zaidi hakuna njia nyingine zaidi ya hiyo.
Baadhi ya picha za Waziri Magufuli aliyepiga Kambi darajani hapo:
Kazi za ujenzi zikiendelea
Waziri wa Ujenzi akikagua maeneo yaliyoharibika
Waziri Magufuli akitoa maelekezo kwa Watendaji wa Tanroads
Sehemu ya barabara iliyozolewa na maji ya mto Mkundi
Waziri Magufuli katika mtambo
Kazi za ujenzi zikiendelea
Kazi za ujenzi zikiendelea
Jamaa akielekeza tipa kumwaga mawe
Kazi ikiendelea
Jamaa anaonekana ameachoka, amejipumzisha juu ya gogo
Akiwa na wananchi alipowahakikishia leo njia itafunguka
DR.MAGUFULI ALALA DARAJA LA DUMILA NA MAAFISA WAANDAMIZI WA WIZARA YA UJENZI NA TANROADS NA HATIMAE MAGARI YAANZA KUPITA BARABARA YA MOROGORO-DODOMA BAADA YA DARAJA LA DUMILA KUSOMBWA NA MVUA KUBWA JUZI (21.01.2014). GARI LA KWANZA LILIPITA MNAMO SAA NNE NA NUSU ASUBUHI YA LEO 23.01.2014
Gari la kwanza kupita mnamo saa 4.30 leo asubuhi
Hili ni gari la pili kupita Dr. Magufuli kwa mbali akielekeza lori ili lipite
Dr.Magufuli akiongoza magari kupita
Dr.Magufuli akiongea na kuwashukuru Wahandisi wa TANROADS na Wizara
Akifuatilia na kuhakikisha magari yanapita
Dr.Magufuli na Kaimu Mtendaji wa TANROADS Mhandisi Ako (Mwenye kofia Nyeupe)
Akizunguka huku na kule
Hatimaye waziri wa ujenzi Dr. John Magufuli, ameruhusu kuanza kupita kwa malori yenye uzito wa zaidi ya tani saba,kwenye eneo la magole, katika daraja la mto Mkundi, ambalo tuta zake zilizolewa na maji kwa urefu wa mita sabini, kwenye barabara kuu ya Morogoro-Dodoma, na kusababisha magari na wasafiri wengine kushindwa kuvuka kwa siku tatu mfululizo.
Baadhi ya picha za Waziri Magufuli aliyepiga Kambi darajani hapo:
Kazi za ujenzi zikiendelea
Waziri wa Ujenzi akikagua maeneo yaliyoharibika
Waziri Magufuli akitoa maelekezo kwa Watendaji wa Tanroads
Sehemu ya barabara iliyozolewa na maji ya mto Mkundi
Waziri Magufuli katika mtambo
Kazi za ujenzi zikiendelea
Kazi za ujenzi zikiendelea
Jamaa akielekeza tipa kumwaga mawe
Kazi ikiendelea
Jamaa anaonekana ameachoka, amejipumzisha juu ya gogo
Akiwa na wananchi alipowahakikishia leo njia itafunguka
DR.MAGUFULI ALALA DARAJA LA DUMILA NA MAAFISA WAANDAMIZI WA WIZARA YA UJENZI NA TANROADS NA HATIMAE MAGARI YAANZA KUPITA BARABARA YA MOROGORO-DODOMA BAADA YA DARAJA LA DUMILA KUSOMBWA NA MVUA KUBWA JUZI (21.01.2014). GARI LA KWANZA LILIPITA MNAMO SAA NNE NA NUSU ASUBUHI YA LEO 23.01.2014
Gari la kwanza kupita mnamo saa 4.30 leo asubuhi
Hili ni gari la pili kupita Dr. Magufuli kwa mbali akielekeza lori ili lipite
Dr.Magufuli akiongoza magari kupita
Dr.Magufuli akiongea na kuwashukuru Wahandisi wa TANROADS na Wizara
Akifuatilia na kuhakikisha magari yanapita
Dr.Magufuli na Kaimu Mtendaji wa TANROADS Mhandisi Ako (Mwenye kofia Nyeupe)
Akizunguka huku na kule
Hatimaye waziri wa ujenzi Dr. John Magufuli, ameruhusu kuanza kupita kwa malori yenye uzito wa zaidi ya tani saba,kwenye eneo la magole, katika daraja la mto Mkundi, ambalo tuta zake zilizolewa na maji kwa urefu wa mita sabini, kwenye barabara kuu ya Morogoro-Dodoma, na kusababisha magari na wasafiri wengine kushindwa kuvuka kwa siku tatu mfululizo.
Last edited by a moderator: