Wahuni Wameteka Kila Kitu, Wananchi Waende Wapi?

Wahuni Wameteka Kila Kitu, Wananchi Waende Wapi?

Hamatan

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2020
Posts
6,561
Reaction score
15,201
Mpaka sasa, kama alivyosema Polepole, wahuni wamefanikiwa kuteka kila kitu:

1. Wahuni wameteka dola, ndiyo maana tunaona hakuna chombo chochote cha ulinzi na usalama kikishughulika na kuwakamata wanaoteka na kuua wananchi. Badala yake, dola inafanya kila namna kuwalinda watekaji, wauaji na washambuliaji wa watu wanaokosoa uovu wa watawala. Polisi hawashughuliki kuwakamata watekaji bali wanawakamata wanaosema utekaji na mauaji ni vitendo viovu vya udhulumaji haki.

2.Wahuni wameiteka mahakama kwa kiwango ambacho leo hii inaonekana ni aheri tusingekuwa hata na mahakama. Uwepo wa mahakama umekuwa ni hasara badala ya kuwa faida! Leo hii ni aheri uende kwa mzee wa baraza la usuluhishi wa darasa la saba, unaweza kuipata haki yako kuliko kwenda mahakama kuu ukakutane na majaji mchongo ambao wapo kwaajili ya kulinda na kutetea uovu. Kama tungekuwa na mahakama za kweli, kwa uhakika wa 100%, Lisu kamwe asingekuwa jela wala asingekuwa na kesi. Lakini kwa bahati mbaya waovu wametumbukizwa mpaka mahakamani kwa lengo la kwenda kusimamia udhulumaji haki.

3. Wahuni wameteka jeshi la polisi. Ukitaka kuthibitisha hilo, kemea hadharani utekaji na mauaji, ukemee uporaji wa rasilimali za Taifa, ukemee sheria mbovu za uchaguzi. Haichukui mudà utakuwa umetekwa, ukiwa na bahati utakuwa kwenye vituo vya polisi kusubiria kubambikiwa kesi.

Wahuni wameteka Bunge, ndiyo maana unaona Bunge mpaka lilizuiwa kabisa kujadili wanaotekwa.

Wahuni wamefanikiwa kuwateka baadhi ya viongozi wa dini. Viongozi hao wa dini huwezi hata siku moja ukawasikia wakiongea dhidi ya uovu wa kuteka na kuwaua watu wanaokosoa.
 
Mpaka sasa, kama alivyosema Polepole, wahuni wamefanimiwa kuteka kila kitu:

1. Wahuni wameteka dola, ndiyo maana tunaona hakuna chombo chochote cha ulinzi na usalama kikishughulika na kuwakamata wanaoteka na kuua wananchi. Badala yake, dola inafanya kila namna kuwalinda watekaji, wauaji na washambuliaji wa watu wanaokosoa uovu wa watawala. Polisi hawashughuliki kuwakamata watekaji bali wanawakamata wanaosema utekaji na mauaji ni vitendo viovu vya udhulumaji haki.

2.Wahuni wameiteka mahakama kwa kiwango ambacho leo hii inaonekana ni aheri tusingekuwa hata na mahakama. Leo hii ni aheri uende kwa mzee wa baraza la usuluhishi wa darasa la saba, unaweza kuipata haki yako kuliko kwenda mahakama kuu ukakutane na majaji mchongo ambao wapo kwaajili ya kulinda na kutetea uovu. Kama tungekuwa na mahakama, kwa uhakika wa 100%, Lisu kamwe asingekuwa jela wala asingekuwa na kesi. Lakini kwa bahati mbaya waovu wametumbukizwa mpaka mahakamani kwa lengo la kwenda kusimamia udhulumaji haki.

3. Wahuni wameteka jeahi la polisi. Ukitaka kuthibitisha hilo, kemea hadharani utekaji na mauaji, ukemee uporaji wa rasilimali za Taifa, ukemee sheria mbovu za uchaguzi. Haichukui mudà utakuwa umetekwa, ukiwa na bahati utakuwa kwenye vituo vya polisikusubiria kubambikiwa keai.

Wahuni wameteka Bunge, ndiyo maana unaona Bunge mpaka lilizuiwa kabisa kujadili wanaotekwa.

Wahuni wamefanikiwa kuwateka baadhi ya viongozi wa dini. Viongpzi hao wa dini huwezi hata siku moja ukawasikia wakiongea dhidi ya uovu wa kuteka na kuwaua watu wanaokosoa.
Mfe tu. Wamedhamiria kuzirithisha familia zao Nchi vizazi kwa vizazi. Wanauza watakacho, maana tangu Nyerere Nchi haina mwenye uchungu nayo. Utawafanyaje, kuwapiga huwawezi, kuwatukana wanakunyonga (mhaini wewe),
 
Mpaka sasa, kama alivyosema Polepole, wahuni wamefanimiwa kuteka kila kitu:

1. Wahuni wameteka dola, ndiyo maana tunaona hakuna chombo chochote cha ulinzi na usalama kikishughulika na kuwakamata wanaoteka na kuua wananchi. Badala yake, dola inafanya kila namna kuwalinda watekaji, wauaji na washambuliaji wa watu wanaokosoa uovu wa watawala. Polisi hawashughuliki kuwakamata watekaji bali wanawakamata wanaosema utekaji na mauaji ni vitendo viovu vya udhulumaji haki.

2.Wahuni wameiteka mahakama kwa kiwango ambacho leo hii inaonekana ni aheri tusingekuwa hata na mahakama. Leo hii ni aheri uende kwa mzee wa baraza la usuluhishi wa darasa la saba, unaweza kuipata haki yako kuliko kwenda mahakama kuu ukakutane na majaji mchongo ambao wapo kwaajili ya kulinda na kutetea uovu. Kama tungekuwa na mahakama, kwa uhakika wa 100%, Lisu kamwe asingekuwa jela wala asingekuwa na kesi. Lakini kwa bahati mbaya waovu wametumbukizwa mpaka mahakamani kwa lengo la kwenda kusimamia udhulumaji haki.

3. Wahuni wameteka jeahi la polisi. Ukitaka kuthibitisha hilo, kemea hadharani utekaji na mauaji, ukemee uporaji wa rasilimali za Taifa, ukemee sheria mbovu za uchaguzi. Haichukui mudà utakuwa umetekwa, ukiwa na bahati utakuwa kwenye vituo vya polisikusubiria kubambikiwa keai.

Wahuni wameteka Bunge, ndiyo maana unaona Bunge mpaka lilizuiwa kabisa kujadili wanaotekwa.

Wahuni wamefanikiwa kuwateka baadhi ya viongozi wa dini. Viongpzi hao wa dini huwezi hata siku moja ukawasikia wakiongea dhidi ya uovu wa kuteka na kuwaua watu wanaokosoa.
Tuendelee kupiga CCM kwenye mishono hadi kieleweke, mwisho wa hiki chama upo karibu sana panahitajika mtu wa kulianzisha tu.
 
Ni bora mara 20 kuendelea na wahuni kuliko kurudi Sukumq gang, ni wakatili zaidi
 
Mpaka sasa, kama alivyosema Polepole, wahuni wamefanimiwa kuteka kila kitu:

1. Wahuni wameteka dola, ndiyo maana tunaona hakuna chombo chochote cha ulinzi na usalama kikishughulika na kuwakamata wanaoteka na kuua wananchi. Badala yake, dola inafanya kila namna kuwalinda watekaji, wauaji na washambuliaji wa watu wanaokosoa uovu wa watawala. Polisi hawashughuliki kuwakamata watekaji bali wanawakamata wanaosema utekaji na mauaji ni vitendo viovu vya udhulumaji haki.

2.Wahuni wameiteka mahakama kwa kiwango ambacho leo hii inaonekana ni aheri tusingekuwa hata na mahakama. Leo hii ni aheri uende kwa mzee wa baraza la usuluhishi wa darasa la saba, unaweza kuipata haki yako kuliko kwenda mahakama kuu ukakutane na majaji mchongo ambao wapo kwaajili ya kulinda na kutetea uovu. Kama tungekuwa na mahakama, kwa uhakika wa 100%, Lisu kamwe asingekuwa jela wala asingekuwa na kesi. Lakini kwa bahati mbaya waovu wametumbukizwa mpaka mahakamani kwa lengo la kwenda kusimamia udhulumaji haki.

3. Wahuni wameteka jeahi la polisi. Ukitaka kuthibitisha hilo, kemea hadharani utekaji na mauaji, ukemee uporaji wa rasilimali za Taifa, ukemee sheria mbovu za uchaguzi. Haichukui mudà utakuwa umetekwa, ukiwa na bahati utakuwa kwenye vituo vya polisikusubiria kubambikiwa keai.

Wahuni wameteka Bunge, ndiyo maana unaona Bunge mpaka lilizuiwa kabisa kujadili wanaotekwa.

Wahuni wamefanikiwa kuwateka baadhi ya viongozi wa dini. Viongpzi hao wa dini huwezi hata siku moja ukawasikia wakiongea dhidi ya uovu wa kuteka na kuwaua watu wanaokosoa.
Wahuni wameteka mpaka Media. Kwa sasa mainstream media zote za Malawi zina Chief Editor mmoja. Na huyo ndo huamua taarifa gani iende hewani au laah. Ndio maana Press za Vilaza kama yule dogo anayejiita msomi zinapewa airtime sana na zile zinazohusu upinzani hazizungumzwi kabisa. Imagine Mainstream inamuita Kiliba Msomi😀😀. Mtu anamiliki cheti cha form four tuu.
 
Ni bora mara 20 kuendelea na wahuni kuliko kurudi Sukumq gang, ni wakatili zaidi

Hakuna cha afadhali. Ikitokea mwanafamilia wako, rafiki yako ametekwa na kuuawa na haya majitu, ndiyo utajua kuwa wahuni ni mashetani wasiofaa chochote. Sasa hivi unasema wana uafadhali kwa sababu vilio vya watu kutekwa na kuuawa, unavisikia kwa mbali., vikifika nyumbani mwako, utasema wahuni ni mashetani kuliko shetani wote Diniani.
 
Wahuni wameteka mpaka Media. Kwa sasa mainstream media zote za Malawi zina Chief Editor mmoja. Na huyo ndo huamua taarifa gani iende hewani au laah. Ndio maana Press za Vilaza kama yule dogo anayejiita msomi zinapewa airtime sana na zile zinazohusu upinzani hazizungumzwi kabisa. Imagine Mainstream inamuita Kiliba Msomi😀😀. Mtu anamiliki cheti cha form four tuu.


Upo sahihi. Media zote zimetekwa na kihatibiwa na wahuni.

Lakini kuna tetesi kuwa wahuni wameteka mpaka hospitali kubwa. Ukiwa mkosoaji wa uovu wa watawala uwe makini kwenda hospitali, hasa za Serikali, zinazopokea maelekezo moja kwa moja toka Serikali. Ukienda huko, inaweza kuwa ndiyo mwisho wako.,
 
Wahuni walituchungulia mapema na wametuwahi , itafika mahali wahuni watakuwa wengi ambapo kuwatoa inabidi kumwaga damu,

Wahuni wameikumbatia mihimili ya bunge, mahakama ili tukose la kupata haki inaumiza mno
 
Ni bora mara 20 kuendelea na wahuni kuliko kurudi Sukumq gang, ni wakatili zaidi
MKato alisema hii awamu ime mixx na kweli hakuna unafuu roho kupotea hata kama ni chache roho ya mtu harusi kiongozi, kupotea wewe kwa dhulma ni habari mbaya hata kama ni mmoja
 
Kwa hali hiyo basi Wahuni siyo watu wazuri hata kidogo.
1755509112949.jpg
 
Mpaka sasa, kama alivyosema Polepole, wahuni wamefanikiwa kuteka kila kitu:

1. Wahuni wameteka dola, ndiyo maana tunaona hakuna chombo chochote cha ulinzi na usalama kikishughulika na kuwakamata wanaoteka na kuua wananchi. Badala yake, dola inafanya kila namna kuwalinda watekaji, wauaji na washambuliaji wa watu wanaokosoa uovu wa watawala. Polisi hawashughuliki kuwakamata watekaji bali wanawakamata wanaosema utekaji na mauaji ni vitendo viovu vya udhulumaji haki.

2.Wahuni wameiteka mahakama kwa kiwango ambacho leo hii inaonekana ni aheri tusingekuwa hata na mahakama. Uwepo wa mahakama umekuwa ni hasara badala ya kuwa faida! Leo hii ni aheri uende kwa mzee wa baraza la usuluhishi wa darasa la saba, unaweza kuipata haki yako kuliko kwenda mahakama kuu ukakutane na majaji mchongo ambao wapo kwaajili ya kulinda na kutetea uovu. Kama tungekuwa na mahakama za kweli, kwa uhakika wa 100%, Lisu kamwe asingekuwa jela wala asingekuwa na kesi. Lakini kwa bahati mbaya waovu wametumbukizwa mpaka mahakamani kwa lengo la kwenda kusimamia udhulumaji haki.

3. Wahuni wameteka jeshi la polisi. Ukitaka kuthibitisha hilo, kemea hadharani utekaji na mauaji, ukemee uporaji wa rasilimali za Taifa, ukemee sheria mbovu za uchaguzi. Haichukui mudà utakuwa umetekwa, ukiwa na bahati utakuwa kwenye vituo vya polisi kusubiria kubambikiwa kesi.

Wahuni wameteka Bunge, ndiyo maana unaona Bunge mpaka lilizuiwa kabisa kujadili wanaotekwa.

Wahuni wamefanikiwa kuwateka baadhi ya viongozi wa dini. Viongozi hao wa dini huwezi hata siku moja ukawasikia wakiongea dhidi ya uovu wa kuteka na kuwaua watu wanaokosoa.
Na wahuni wamedhibiti taarifa za ufisadi kuleak tofauti na zamani ,
 
Wahuni walituchungulia mapema na wametuwahi , itafika mahali wahuni watakuwa wengi ambapo kuwatoa inabidi kumwaga damu,

Wahuni wameikumbatia mihimili ya bunge, mahakama ili tukose la kupata haki inaumiza mno
Nadhani Hali ilipofikia bila mauaji hakuna kitu itafanyika au kiwezekana
 
Mpaka sasa, kama alivyosema Polepole, wahuni wamefanikiwa kuteka kila kitu:

1. Wahuni wameteka dola, ndiyo maana tunaona hakuna chombo chochote cha ulinzi na usalama kikishughulika na kuwakamata wanaoteka na kuua wananchi. Badala yake, dola inafanya kila namna kuwalinda watekaji, wauaji na washambuliaji wa watu wanaokosoa uovu wa watawala. Polisi hawashughuliki kuwakamata watekaji bali wanawakamata wanaosema utekaji na mauaji ni vitendo viovu vya udhulumaji haki.

2.Wahuni wameiteka mahakama kwa kiwango ambacho leo hii inaonekana ni aheri tusingekuwa hata na mahakama. Uwepo wa mahakama umekuwa ni hasara badala ya kuwa faida! Leo hii ni aheri uende kwa mzee wa baraza la usuluhishi wa darasa la saba, unaweza kuipata haki yako kuliko kwenda mahakama kuu ukakutane na majaji mchongo ambao wapo kwaajili ya kulinda na kutetea uovu. Kama tungekuwa na mahakama za kweli, kwa uhakika wa 100%, Lisu kamwe asingekuwa jela wala asingekuwa na kesi. Lakini kwa bahati mbaya waovu wametumbukizwa mpaka mahakamani kwa lengo la kwenda kusimamia udhulumaji haki.

3. Wahuni wameteka jeshi la polisi. Ukitaka kuthibitisha hilo, kemea hadharani utekaji na mauaji, ukemee uporaji wa rasilimali za Taifa, ukemee sheria mbovu za uchaguzi. Haichukui mudà utakuwa umetekwa, ukiwa na bahati utakuwa kwenye vituo vya polisi kusubiria kubambikiwa kesi.

Wahuni wameteka Bunge, ndiyo maana unaona Bunge mpaka lilizuiwa kabisa kujadili wanaotekwa.

Wahuni wamefanikiwa kuwateka baadhi ya viongozi wa dini. Viongozi hao wa dini huwezi hata siku moja ukawasikia wakiongea dhidi ya uovu wa kuteka na kuwaua watu wanaokosoa.
Kuzimu
 
Nadhani Hali ilipofikia bila mauaji hakuna kitu itafanyika au kiwezekana , yani lazma mauaji ya chap kw chap yatokee tuweze kureskue,
Sasa hivi ndo naanza kupata akili kwanini Kuna Hamas, Al Shaban, boko Haram, usikute nao walikutana na uduanzi wa kubinywa haki kama huu wanaofanya CCM. Nimejifunza kitu hata September 11 tusimlaumu Osama usikute alipitia wanakopitia Chadema
Mfano Hali ilipofikia, hata mtu ukimwambia kajilipue anaenda, hakuna kitu inauma kama kuonewa
 
Back
Top Bottom