FREE LUNCH
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 495
- 333
Dah! huu uzi nimejikuta nikiusoma kwa umakini sana.
Dunia ina mengi.
Dunia ina mengi.
pongezi tena?Hao vijana wanastahili pongezi kubwa kwa ubunifu wa hali juu
Mullar Omar amekuwa Rais wa Afghanistan lakini hakuna anayeijuwa hata picha yake tu.Hii story inachanganya...
unasema Yaw ni jina la kufikirika hajulikani sasa historia yake ya kuwa kamaliza chuo sheria aliomba visa aliuza vitu vya nyumbani imetoka wapi kama Yaw hajulikani ni nani ?
Tena akapita katika geti linalolindwa akitoroka na Boda bodaMullar Omar amekuwa Rais wa Afghanistan lakini hakuna anayeijuwa hata picha yake tu.
Wewe inaonekana ni mgeni hapa duniani.
Hii story inachanganya...
unasema Yaw ni jina la kufikirika hajulikani sasa historia yake ya kuwa kamaliza chuo sheria aliomba visa aliuza vitu vya nyumbani imetoka wapi kama Yaw hajulikani ni nani ?
Mullar Omar amekuwa Rais wa Afghanistan lakini hakuna anayeijuwa hata picha yake tu.
Wewe inaonekana ni mgeni hapa duniani.
Mkuu hili si jukwaa la celebrities, kwamba akitajwa Daudi Bashite kila mtu anamfahamu.Hii story inachanganya...
unasema Yaw ni jina la kufikirika hajulikani sasa historia yake ya kuwa kamaliza chuo sheria aliomba visa aliuza vitu vya nyumbani imetoka wapi kama Yaw hajulikani ni nani ?
Hebu nisome tena labda utaelewa..Mkuu hili si jukwaa la celebrities, kwamba akitajwa Daudi Bashite kila mtu anamfahamu.
ONTORIO inabidi ujifunze kitu kimoja,
Inabidi uwe unarespond maswali na changamoto ki-busara kama sehemu ya kujifunza na kuongeza weledi katika uandishi wako,
Nawasilisha usipaniki mkuu