Madansa 3 wa Diamond Platnumz wazamia Marekani kwa Visa za WCB

Kingsmann

JF-Expert Member
Oct 4, 2018
4,448
16,313
Madansa 3 wa Diamond Platnumz (Hbaajuni, Emma Platnumz na Rama Tosser) wamezamia Marekani kinyemela kwa kutumia Visa za WCB.

Inasemekana mara ya mwisho Diamond Platnumz alivyoenda Marekani aliwakatia Visa za mwaka mmoja mmoja, walivyomaliza kazi na kurudi bongo wakakata ticket za kurudi Marekani kimyakimya.

Diamond Platnumz alienda ubalozi wa Marekani ili kushtaki vijana wawe deported, lakini vijana nao wakajitetea kuwa walikuwa wanafanyishwa shughuli haramu za upunda, na kwa kusema hivyo wanaogopa kurudi bongo kuhofia usalama wao.

hbaajuni-20231114-0001.jpg
 
Wanaotoa visa ni Wamarekani sio Diamond, ukiwa na visa hamna wa kukuzuia kwani wenye nchi yao wamekuruhusu.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
Walienda kwa mgongo wa WCB kama kampuni.

WCB ni kama wadhamini wao...

Ukimdhamini mtu Visa kisha akazamia ni wajibu wako kuripoti, pia itaathiri kuwaombea wengine visa next time..
 
Madansa 3 wa Diamond Platnumz (Hbaajuni, Emma Platnumz na Rama Tosser) wamezamia Marekani kinyemela kwa kutumia Visa za WCB.

Inasemekana mara ya mwisho Diamond Platnumz alivyoenda Marekani aliwakatia Visa za mwaka mmoja mmoja, walivyomaliza kazi na kurudi bongo wakakata ticket za kurudi Marekani kimyakimya.

Diamond Platnumz alienda ubalozi wa Marekani ili kushtaki vijana wawe deported, lakini vijana nao wakajitetea kuwa walikuwa wanafanyishwa shughuli haramu za upunda, na kwa kusema hivyo wanaogopa kurudi bongo kuhofia usalama wao.

View attachment 2813100
Huyo jamaa kwenye picha anafanana na picha za miaka iliyopita za nguli wa hip hop wa huko Marekani, LL Cool J.
 
Madansa 3 wa Diamond Platnumz (Hbaajuni, Emma Platnumz na Rama Tosser) wamezamia Marekani kinyemela kwa kutumia Visa za WCB.

Inasemekana mara ya mwisho Diamond Platnumz alivyoenda Marekani aliwakatia Visa za mwaka mmoja mmoja, walivyomaliza kazi na kurudi bongo wakakata ticket za kurudi Marekani kimyakimya.

Diamond Platnumz alienda ubalozi wa Marekani ili kushtaki vijana wawe deported, lakini vijana nao wakajitetea kuwa walikuwa wanafanyishwa shughuli haramu za upunda, na kwa kusema hivyo wanaogopa kurudi bongo kuhofia usalama wao.

View attachment 2813100
Aisee yaani hao marinda yatakoma. Watafanya kazi gani? Yaani kama walikuwa na uwezo wa kujikatia ticket kwa hela ya Diamond maana yake wanakipato kizuri kuzidi wamarekani wengi.
 
Back
Top Bottom