Tanzania Railways Corp
JF-Expert Member
- Mar 23, 2018
- 274
- 646
Wahudumu wapya 65 watakaohudumu ndani ya treni ya kisasa ya SGR, leo wamehitimu mafunzo yao ya wiki nne tayari kuanza majukumu yao Februari 02, 2026
Mafunzo hayo yaliyolenga kuwapa maarifa na stadi ili kuleta tija, yalijikita katika maeneo mbalimbali hususani katika kuwahudumia abiria kwa weledi na kukidhi matarajio ya Shirika.
Akiwakaribisha katika Shirika hilo, Mkurugenzi Mkuu wa TRC Mhandisi Machibya Shiwa, pamoja na mambo mengine, aliwataka kufahamu kuwa wao ni watumishi wa umma na kuwataka kulizingatia hilo.
Mafunzo hayo yaliyolenga kuwapa maarifa na stadi ili kuleta tija, yalijikita katika maeneo mbalimbali hususani katika kuwahudumia abiria kwa weledi na kukidhi matarajio ya Shirika.
Akiwakaribisha katika Shirika hilo, Mkurugenzi Mkuu wa TRC Mhandisi Machibya Shiwa, pamoja na mambo mengine, aliwataka kufahamu kuwa wao ni watumishi wa umma na kuwataka kulizingatia hilo.