Gushleviv
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 3,437
- 5,146
nilikuwa na shida na simu yangu leo hii basi nikaamua nipige zantel customer care basi nimetekenywa sana na sauti ya yule dada niliyezungumza nae maana baada ya kumaliza maaelekezo yangu aliyostahihili kunipa akaniuliza labda una jingine tena!? nikamwambia ndio na kweli nilikumbuka kitu kingine nikamuuliza akanijibu na alipomaliza akaniuliza tena kwa sauti nyororooo kweli kaka huna kingine!?? nikamwambia sina dada!
Sasa nikabaki najiuliza kama ndio mambo ya customer care hayo napenda kuwapa pongezi Zantel ila kama kuna mengine basi kaazi kwelikweli!!!!1!
Sasa nikabaki najiuliza kama ndio mambo ya customer care hayo napenda kuwapa pongezi Zantel ila kama kuna mengine basi kaazi kwelikweli!!!!1!