Wahubiri kama vitu hamvijui bora kukaa kimya

Wahubiri kama vitu hamvijui bora kukaa kimya

Tatizo wewe ukiona mtu ameshika BIBLIA pale posta au kituo cha daladala Temeke mwisho na amevaa tai na shati chafu huku ananukuu vitabu vya MUNGU wewe unamuita muhubiri. Wahubiri utawakuta. ndani ya makanisa ya Anglikan. katoliki na Lutheran huko kwingine ni kwako
Hapa kuna waketeketwa wa dini mtu kasema mhubiri tayari watu wamesharukia dini.Kwani huwezi kuwa mhubiri bila kuwa na dini au dhehebu?Nani kasema haya madhehebu uliyotaja yako salama?cha msingi ni kuvumiliana na kushauriana lakini hakuna aliye safi.
 
ukiangalia kwenye biblia ya kiingereza hilo neno uliloita peponi wao wameita ni PARADISE.sasa hebu tuambiane hapa hapa nini tafsiri halisi ya paradise kwa kiswahili?
Mtakataa kila andiko kwan si ndio zenu bibilia yenu wenyewe halafu mnaikana vile vile
Eti paradise sio peponi haya kana sasa na na sinagogi sio msikiti, kana tena Yesu sio muislaeli tumwite mmakonde, mna tabu sana nyinyi na ndio maana kila uchwao mnabadilisha bibilia eti kisa inawaumbua kwa kueleza matukio ya kiislam, ona sasa mmeondoa mpaka neno sheikh na Mecca(makka),mmeweka maneno ya watu sasa sasa mnatofautiana wenyewe kwa wenyewe, aamini nawaambieni kama Mungu ni mmoja basi dini ya Mungu ni moja full stop
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom