Nimeshangaa kuona mhubiri mmoja akiwaambia waumini eti wakristo wakifa wanaenda mbinguni na sio peponi maana peponi ni sehemu ya mapepo na ni sehemu mbaya kabisa,na akaendelea kutoa discription chungu mzima kwa ubaya wa peponi, lakini inaonyesha hajasoma vizur bible, pale Yesu alipokuwa msalabani akiwa kahukumiwa na wale wanyang'anyi kwa injili ya LUKA 23:42-43 kisha akasema , Ee Yesu, nikumbuke utakapoingia ufalme wako,Yesu akamwambia amini,nakuambia, leo hivi utakuwa pamoja nami peponi.
Na si tu huyu mhubiri bali nimeona comment nyingi humu zikizungumzia peponi kwa style hii, jamani tusome, ujanja ujanja haufai.
Na si tu huyu mhubiri bali nimeona comment nyingi humu zikizungumzia peponi kwa style hii, jamani tusome, ujanja ujanja haufai.