Wahitimu kulipa madeni ya mikopo ya Chuo

Wahitimu kulipa madeni ya mikopo ya Chuo

Kigezo sio wenye degree maana kuna watu wenye degree wamesomeshwa na wazazi/walezi wao kwa 100% hawakupata mkopo wowote kutoka HESLB.
Unawatambua kwanza halafu, unaenda kuangalia kama wanadaiwa ndo unaandaa mfumo wa kuanza kuzikata
 
Unawatambua kwanza halafu, unaenda kuangalia kama wanadaiwa ndo unaandaa mfumo wa kuanza kuzikata
Hapo sawa ila nina mashaka na umakini wa database yao maana kuna watu waliwahi kukatwa wakati hawakusoma kwa mkopo wa Loan board
 
Habari wakuu,

Nimeona waziri Ndalichako kamsimamisha kazi kiongozi anayehusika na kukusanya madeni ya mikopo ya wanafunzi waliokopa bodi siku za nyuma.

Je, Ni halali wanafunzi kulipa madeni?
wanafunzi lazima kulipa mikopo sio mnafurahia tu boom na kujisahau. huyo anayetakiwa kufuatilia madeni ni jipu ndio maana wanafunzi wanaona kama hawatakiwi kulipa.
 
Hapo sawa ila nina mashaka na umakini wa database yao maana kuna watu waliwahi kukatwa wakati hawakusoma kwa mkopo wa Loan board
Siyo mbaya na wao wakichangia elimu ya watanzania wenzao
 
Habari wakuu,

Nimeona waziri Ndalichako kamsimamisha kazi kiongozi anayehusika na kukusanya madeni ya mikopo ya wanafunzi waliokopa bodi siku za nyuma.

Je, Ni halali wanafunzi kulipa madeni?
Wakati wanasaini ilikuwa mkopo au msaada?
 
Habari wakuu,

Nimeona waziri Ndalichako kamsimamisha kazi kiongozi anayehusika na kukusanya madeni ya mikopo ya wanafunzi waliokopa bodi siku za nyuma.

Je, Ni halali wanafunzi kulipa madeni?
Si halali wanafunzi kulipa madeni lakini ni halali wakishamaliza kulipa kwa sababu si wanafunzi tena,ukitaka usilipe we endelea kusoma kula supu za kutosha
 
mimi nishalipa lakini kwenye database ya Bodi ya Mikopo inaonyesha sijalipa chochote, hela niliyokuwa nakatwa vigogo wa Bodi ya Mikopo wamejengea Mahekalu MBEZI BEACH , natakiwa nianze upya kulipa upya, wana Jamvi naomba mnisaidie kulipa hilo deni la marudio
kusanya salary slips zako(ndio pin) nenda kawatumbue hukohuko
 
Tunaiomba serikali ya jpm ijaribu kuangalia upya suala la ajira hasa kwa wahitimu wa vyuo watanzania tumekuwa waongo na wabinafsi sana leo ukiongelea ajira unaonekana mtu usiyejitambua lkn ukweli ubaki ukweli tu ajira serikalini zipo tena nyingi tu sema watoto wa wakubwa na wenye nafsi zao ndio wanazipata kama hamsadiki ninachosema ngoja zitangazwe nafsi halmshauli ndio utawajua wtz wakoje ss si kwamba hatutaki kulipa tutawalipa nn wakti hatuna hata hizo ajira wengine mwaka wa tano tupo mitaani tuwalipeje sasa
 
mimi nishalipa lakini kwenye database ya Bodi ya Mikopo inaonyesha sijalipa chochote, hela niliyokuwa nakatwa vigogo wa Bodi ya Mikopo wamejengea Mahekalu MBEZI BEACH , natakiwa nianze upya kulipa upya, wana Jamvi naomba mnisaidie kulipa hilo deni la marudio
Kuna watu nyie ni wapole yaani nilipe mkopo mara mbili mbona nitapasua vicompyuta vyao ili kama ni nongwa iwe nongwa
 
Hongera kwa awamu hii kugundua tatizo la mfuko huu ambao ulitakiwa kujiendesha wenyewe tena kwa faida. Mfuko unakopesha, unapewa grace period ya 3 years baada ya masomo. Baada ya hapo unalipa mkopo with interest ndani ya another 3 years. Eti hili linashindikana, anatafutwa mtu binafsi Majembe auctionair akufanyie kazi yako hiyo. Matokeo yake mmhh! vigogo wanameremeta!
 
Back
Top Bottom