Wahispania wavutiwa na Kilimo cha Uyoga Dar

Daniel Mbega

JF-Expert Member
Mar 20, 2013
338
180
Uyoga2.jpg

“SIJAWAHI kuvuna uyoga katika maisha yangu, achilia mbali kushuhudia namna unavyolimwa,” anasema Anna Salado, Mkurugenzi wa taasisi ya Mfuko wa Wanawake wa Afrika (WAF) kutoka Hispania, wakati akikwanyua kikonyo cha uyoga katika shamba la akinamama wa kikundi cha Tunza Women Group, Bunju jijini Dar es Salaam.

Soma zaidi hapa=> Wahispania wavutiwa na Kilimo cha Uyoga Dar | Fikra Pevu
 
Back
Top Bottom