Waheshimiwa wabunge wetu kuweni serious

thatha

JF-Expert Member
Apr 29, 2011
15,340
1,566
Wakuu bajeti inapowasilishwabungeni huwa ni kama hitimisho lamchakato mrefu na wa kisayansi ambao umehusisha wadau wengi sana na zaidiwaheshimiwa wabunge wenyewe. Kamati za kudumu za bunge hupitia bajeti za wizarahusika . Katika vikao baina ya kamati ya kudumu ya bunge na watendajiwaandamizi wa wizara husika wakiongozwa na waziri wao. Waziri huwasilisha rasmuya bajeti ya wizara yake, wabunge huuliza maswali na kutaka ufafanuzi katikamambo ambayo wanadhani hayaeleweki vizuri kwao. Lakini pia wabunge hutoamapendekezo kadhaa ambayo yanaingizwa moja kwa moja katika bajeti.Kamati ya kudumu ya bunge yafedha na uchumi ina jukumu la kuipitia bajeti kuu ya serikali katika kikao chapamoja baina ya watendaji waandamizi wa wizara ya fedha na wajumbe wa kamati yafedha ya bunge. Kwa msingi huo bajeti inayoendelea kujadiliwa bungeni hivi sasainafahamika vema kwa wabunge wote na wote wameshiriki katika kuiunda kutokanana michango ya wabunge katika vikao baina ya wabunge na watendaji wa serikali.Hii ndiyo sababu nikasema tangu mwanzo kuwa bajeti ni mchakato mrefu ambao umehusisha wabunge kwa kina kablahaijawasilishwa bungeni. Kila mbunge anaruhusiwa kuhudhuria vikao vya kamatiyoyote ya bunge hata ambayo haimhusu lengo likiwa ni kumpatia fursa kila mbungekujua kwa kina kinachoendelea serikalini.Jambo la kushangaza ni jazbainayoonyeshwa na wabunge wa pande zote wakati wa kujadili bajeti hii as if nijambo wanaloliona kwa mara ya kwanza. Wabunge wanatumia nguvu nyingi kupinga bajeti hii ilhali walipata fursaya kuipitia kwa kina kabla haijawasilishwa bungeni, huu ni usanii wa kiwangocha juu sana. Hivyo wabunge wetu acheni usanii hii bajeti mnaijua vema namlishaipitia kabla haijawasilishwa bungeni.
 
Wakuu bajeti inapowasilishwabungeni huwa ni kama hitimisho lamchakato mrefu na wa kisayansi ambao umehusisha wadau wengi sana na zaidiwaheshimiwa wabunge wenyewe. Kamati za kudumu za bunge hupitia bajeti za wizarahusika . Katika vikao baina ya kamati ya kudumu ya bunge na watendajiwaandamizi wa wizara husika wakiongozwa na waziri wao. Waziri huwasilisha rasmuya bajeti ya wizara yake, wabunge huuliza maswali na kutaka ufafanuzi katikamambo ambayo wanadhani hayaeleweki vizuri kwao. Lakini pia wabunge hutoamapendekezo kadhaa ambayo yanaingizwa moja kwa moja katika bajeti.Kamati ya kudumu ya bunge yafedha na uchumi ina jukumu la kuipitia bajeti kuu ya serikali katika kikao chapamoja baina ya watendaji waandamizi wa wizara ya fedha na wajumbe wa kamati yafedha ya bunge. Kwa msingi huo bajeti inayoendelea kujadiliwa bungeni hivi sasainafahamika vema kwa wabunge wote na wote wameshiriki katika kuiunda kutokanana michango ya wabunge katika vikao baina ya wabunge na watendaji wa serikali.Hii ndiyo sababu nikasema tangu mwanzo kuwa bajeti ni mchakato mrefu ambao umehusisha wabunge kwa kina kablahaijawasilishwa bungeni. Kila mbunge anaruhusiwa kuhudhuria vikao vya kamatiyoyote ya bunge hata ambayo haimhusu lengo likiwa ni kumpatia fursa kila mbungekujua kwa kina kinachoendelea serikalini.Jambo la kushangaza ni jazbainayoonyeshwa na wabunge wa pande zote wakati wa kujadili bajeti hii as if nijambo wanaloliona kwa mara ya kwanza. Wabunge wanatumia nguvu nyingi kupinga bajeti hii ilhali walipata fursaya kuipitia kwa kina kabla haijawasilishwa bungeni, huu ni usanii wa kiwangocha juu sana. Hivyo wabunge wetu acheni usanii hii bajeti mnaijua vema namlishaipitia kabla haijawasilishwa bungeni.

Well said Mkuu! umenijuza vizuri sana mchakato wa bajeti. Keep it up!!!
 
Wakuu bajeti inapowasilishwabungeni huwa ni kama hitimisho lamchakato mrefu na wa kisayansi ambao umehusisha wadau wengi sana na zaidiwaheshimiwa wabunge wenyewe. Kamati za kudumu za bunge hupitia bajeti za wizarahusika . Katika vikao baina ya kamati ya kudumu ya bunge na watendajiwaandamizi wa wizara husika wakiongozwa na waziri wao. Waziri huwasilisha rasmuya bajeti ya wizara yake, wabunge huuliza maswali na kutaka ufafanuzi katikamambo ambayo wanadhani hayaeleweki vizuri kwao. Lakini pia wabunge hutoamapendekezo kadhaa ambayo yanaingizwa moja kwa moja katika bajeti.Kamati ya kudumu ya bunge yafedha na uchumi ina jukumu la kuipitia bajeti kuu ya serikali katika kikao chapamoja baina ya watendaji waandamizi wa wizara ya fedha na wajumbe wa kamati yafedha ya bunge. Kwa msingi huo bajeti inayoendelea kujadiliwa bungeni hivi sasainafahamika vema kwa wabunge wote na wote wameshiriki katika kuiunda kutokanana michango ya wabunge katika vikao baina ya wabunge na watendaji wa serikali.Hii ndiyo sababu nikasema tangu mwanzo kuwa bajeti ni mchakato mrefu ambao umehusisha wabunge kwa kina kablahaijawasilishwa bungeni. Kila mbunge anaruhusiwa kuhudhuria vikao vya kamatiyoyote ya bunge hata ambayo haimhusu lengo likiwa ni kumpatia fursa kila mbungekujua kwa kina kinachoendelea serikalini.Jambo la kushangaza ni jazbainayoonyeshwa na wabunge wa pande zote wakati wa kujadili bajeti hii as if nijambo wanaloliona kwa mara ya kwanza. Wabunge wanatumia nguvu nyingi kupinga bajeti hii ilhali walipata fursaya kuipitia kwa kina kabla haijawasilishwa bungeni, huu ni usanii wa kiwangocha juu sana. Hivyo wabunge wetu acheni usanii hii bajeti mnaijua vema namlishaipitia kabla haijawasilishwa bungeni.

Mkuu nimekuelewa kabisa. Je kwanini sasa hawa wabunge wanapiga kelele? au wanataka tuwaone? au sifa za kijinga?
Kwa nini sasa wasingetoa maoni yao kabla haijasomwa?
Hii hainiingii akilini kabisa.
Ninadhani kuna wabunge wengine ni wahuni tu.
 
Aah! Hii ni dalili ya Waheshimiwa kukimbia vivuli vyao! Kama kweli hivi ndivyo basi hatuwaelewi wanataka kufanya bunge kama sehemu ya kunadi sera zao na kwa maslahi ya vyama vyao na sio ya watanzania!!? Maana haiingii akilini kufanya malumbano juu ya mambo ambayo tayari walishakubaliana kimsingi hapo awali katika kamati zao mbalimbali.Hatuhitaji kuona misimamo yao wala ya vyama vyao bungeni tunaomba waje na changamoto mpya ambazo hazijajadiliwa kwenye kamati zao sio kuprolong muda unneccessarily kwa interest wanazozijua wenyewe. Hii mbwembwe jazz band bungeni ya nini? Wanataka sisi watanzania tujifunze nini juu ya hili au wanathibitisha ukweli wa usemi usemao "wajinga ndio waliwao".Lakini inabidi waheshimiwa hawa wajue Tanzania ya leo sio ya miaka 20 iliyopita
 
Kwa kiasi fulani uko sawa, lakini ingelikuwa mia kwa mia basi bajeti zisingepekwa kujadiliwa bungeni. Kwa maana nyingine kusingekuwa na haja ya mijadala inayohusu bajeti. Nijuavyo ni kamati za bunge zinazopitia rasimu za bajeti na bajeti zenyewe huwasilishwa kwa wabunge siku chache kabla ya kikao.:llama:
 
ingekua hivo basi baketi ingekua inasomwa kama hotuba na kupita hata kwa radio na tv tu.
 
hiz formalities tu, bajet huwa tunaandaa wizarani wabunge na na kamati zao wanakuja tu kusomewa kwenye vikao vya kamati zao, mbona huwa wanashindwa kucontribute idea zozote, wakienda huko bungeni ndo wanaongeea mpaka mambo yasiyohusiana hata na bajeti
 
Hayo ni mawazo yako, hayana ukweli wowote na wenye akili tumeona ulichokuwa unalenga, ukakisema pale mwishoni mwa uwongo wako, 'Hivyo wabunge wetu acheni usanii hii bajeti mnaijua vema namlishaipitia kabla haijawasilishwa bungeni'... Nimekusoma kwamba
Namba 1: Wewe ni kada wa CCM.
Namba 2: Wewe ni miongoni mwavigogo wala rushwa nchini
 
Ni usanii 2 hutumika kushirikisha wadau alafu usifanyie kazi mapendekezo yao then uje useme watu walishirikishwa! na hu ndo udhaifu wa mtoa post na Udhaifu wa ccm na wabunge wake na wapambe wote wa Magamba
 
Back
Top Bottom