Wahenga wenzangu tukumbuke ya kale

Wahenga wenzangu tukumbuke ya kale

karue

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
215
Reaction score
452
Hakika ya kale ni dhahabu ,ni mengi tuliyafanya enzi zetu lakini kutokana na sayansi na teknolojia mambo yamebadilika kabisa.
Haya ni machache kati ya mengi tuliyofanya enzi zetu.

1: kijiji kizima kulikuwa na duka moja la ushirika siku bidhaa ikiletwa wananchi wanajipanga mstari kupokea japo kidogo.

2: hakukuwa na mashine za kusaga au kukoboa ila mashine zetu zilikuwa mawe unakaanga mahindi yakipata joto unasanga kwenye jiwe.

3:gari la kwenda mikoani lilikuwa linapita Mara moja kwa mwezi .

4:kifungua kinywa cha watoto kilikuwa kiporo cha ugali pamoja na chumvi.

5: kutokana na uaba wa sabuni tulitumia majani ya miti kuyafikicha na kutoa mapovu watu wa ziwani nahisi watanielewa vyema,majani hayo yalipatikana ziwani.

6: watoto wa kiume walitahiliwa kwa kutumia visu vidogo tena bila ganzi yaani kavukavu.

7: wakati wa kupata chakula wanaume walikaa sehemu yao na wanawake walikaa sehemu yao.

8: mafuta ya kula hayakuwepo ila tulitumia sana samuli .

9:mke na mme wakitofautiana ndoa haivunjiki bali mke uenda upande wa mme wake ili kupata suruhu na baada ya hapo maisha uendelea.

10:vyakula vyetu havikukobolewa kabisa ..
Ahsate
Karibuni kwa nyongeza
 
20250709_223436.png
 
Hakika ya kale ni dhahabu ,ni mengi tuliyafanya enzi zetu lakini kutokana na sayansi na teknolojia mambo yamebadilika kabisa.
Haya ni machache kati ya mengi tuliyofanya enzi zetu.
1: kijiji kizima kulikuwa na duka moja la ushirika siku bidhaa ikiletwa wananchi wanajipanga mstari kupokea japo kidogo.
2: hakukuwa na mashine za kusaga au kukoboa ila mashine zetu zilikuwa mawe unakaanga mahindi yakipata joto unasanga kwenye jiwe.
3:gari la kwenda mikoani lilikuwa linapita Mara moja kwa mwezi .
4:kifungua kinywa cha watoto kilikuwa kiporo cha ugali pamoja na chumvi.
5: kutokana na uaba wa sabuni tulitumia majani ya miti kuyafikicha na kutoa mapovu watu wa ziwani nahisi watanielewa vyema,majani hayo yalipatikana ziwani.
6: watoto wa kiume walitahiliwa kwa kutumia visu vidogo tena bila ganzi yaani kavukavu.
7: wakati wa kupata chakula wanaume walikaa sehemu yao na wanawake walikaa sehemu yao.
8: mafuta ya kula hayakuwepo ila tulitumia sana samuli .
9:mke na mme wakitofautiana ndoa haivunjiki bali mke uenda upande wa mme wake ili kupata suruhu na baada ya hapo maisha uendelea.
10:vyakula vyetu havikukobolewa kabisa ..
Ahsate
Karibuni kwa nyongeza
Uje na somo la ndoa mkuu ,kataa ndoa tushawishike ila ukazie kwa kuangalia vibinti vya sasahiv
 
Hakika ya kale ni dhahabu ,ni mengi tuliyafanya enzi zetu lakini kutokana na sayansi na teknolojia mambo yamebadilika kabisa.
Haya ni machache kati ya mengi tuliyofanya enzi zetu.

1: kijiji kizima kulikuwa na duka moja la ushirika siku bidhaa ikiletwa wananchi wanajipanga mstari kupokea japo kidogo.

2: hakukuwa na mashine za kusaga au kukoboa ila mashine zetu zilikuwa mawe unakaanga mahindi yakipata joto unasanga kwenye jiwe.

3:gari la kwenda mikoani lilikuwa linapita Mara moja kwa mwezi .

4:kifungua kinywa cha watoto kilikuwa kiporo cha ugali pamoja na chumvi.

5: kutokana na uaba wa sabuni tulitumia majani ya miti kuyafikicha na kutoa mapovu watu wa ziwani nahisi watanielewa vyema,majani hayo yalipatikana ziwani.

6: watoto wa kiume walitahiliwa kwa kutumia visu vidogo tena bila ganzi yaani kavukavu.

7: wakati wa kupata chakula wanaume walikaa sehemu yao na wanawake walikaa sehemu yao.

8: mafuta ya kula hayakuwepo ila tulitumia sana samuli .

9:mke na mme wakitofautiana ndoa haivunjiki bali mke uenda upande wa mme wake ili kupata suruhu na baada ya hapo maisha uendelea.

10:vyakula vyetu havikukobolewa kabisa ..
Ahsate
Karibuni kwa nyongeza
Dah unanikumbusha mbali enzi za Nyerere miaka ya sabini huku ukitaka kununua nyama lazima uombe kibali Kwa mwenyekiti wa mtaa.

adriz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom