Wahenga tukumbushane Klorokwini na mambo yake

Wazungu watu wabaya sana walifanya makusudi kutukomoa sisi waafrika kututengezea hii dawa ya chroloquine,kwanini wao walikuwa wanatumia dawa nyingine tofauti na chroloquine wanapougua malaria wakiwa huku Afrika?
 
Haaaa haaaa Gullam
mavi ya binadamu
pole sana mkuu
 
nilikuwa nikizimeza hizo au Kwinini.. maskio yanalia diiiii iiiiiiii siku nzima.

Bora wewe Diiiiiiiii diiiiiiiiiiii, MIMI ILIKUA NI ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii siku 3
 

duuuhh ninacheka kama mazuri
 
hii dawa ilikuwa na ndugu yake aliyeitwa quinine(kwainini).... dah yan nlikuwa nikiumwa nahisi kupona ghafla nliposikia hizi dawa.... ilikuwa pia kifua kikisumbua kuna jamaa walimwita mkojo wa punda.
Huo mkojo ilkw nikitaka kunywa lazima kuwe na kitu kitamu tamu pembeni haahaa....Hivi bado upo sikuhiz?
 
uzuri ilikuwa si dawa ya kuongeza nguvu za kiume maana kipindi hicho tatizo hilo lilikuwa hamna limeibuka hivi karibuni u yaani watu tungekuwa tunajuwa tu kuwa huyu kanywa chloroquine maana asubuhi wangekuwa wanatembea wanajikuna kama nini
 
Ilikuwa ni projrct ya kuzalisha mashoga Afrika, Kizazi kilichotumia sana dawa hizo ndo hichi cha akija James delicious.
 
Ilinifanya nimchukie mama yangu mzazi badala ya kumpenda, nakumbuka kuna siku naumwa halafu natetemeka hatari, mama akaniita njoo ukae uku jikoni uotee moto mi napika, aisee nilikaa pale ghafla tumbo likachefuka nikatapikia jungu la Ugali, mama alinipiga na mwiko utazani hajui kama naumwa daaaah ile dawa hapana kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…