Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaa haaaa Gullam mavi ya binadamu pole sana mkuuNiko darasa la 5 nilikosea dose, ile 4x4x2, basi nikanywa asubuhi, mchana na ucku jamani asikuambie mtu. Usifanye mchezo roho inapotaka kuacha mwili, Kaka yangu ananiuliza dawa zako ziko wapi? Nikamjibu nimemaliza, wewe alikoroga mavi ya ng'ombe nadhani alichanganya na ya watu, nyie msisikie habari ya kufa.
Huku nje watu kilio, wanajua siamki, nikapewa maziwa fresh lita 4, nikanyweshwa na hivyo vinyesi, jamani Mungu yupo, akisema hufi hufi. Nilianza kutapika nilitapika mpaka nilikuwa siwezi kufumbua macho, kwa kifupi kila mtu alijua tu hell!! Mpaka ucku wa saa 4, ndio naenda kulala. Jinsi walivyonitandikia unajua kabisa wananiaga, niliogoshwe nikavalishwa nguo nzuri sana za kwangu kwa akili ya kawaida nilijua wananizuia na hii baridi ninayohisi. Kumbe wenzangu walikuwa wananiaga kuwa hakuna namna. Amini maneno yangu, usiku kama wa saa 7 ninaona kwa macho yangu malaika, mkononi kashika kitu kinatoa damu. Naona kwa macho yangu, akaingiza ule mkono wake tumboni kwangu, akatoa kitu nikahisi maumivu sana, akaweka kile kingine, naona kwa macho. Kushoto kwangu wamelala watu wengi, ambao walikuwa wako tayari ninapokata roho wanisaidie. Lakini wenyewe hawamuoni yule malaika, alipokuwa anaondoka nilipiga kelele kubwa sana, nikagongwa na kitu usoni kwa kishindo kikubwa sana. Niliona nyota kama 200 hivi, jasho lililowesha kitanda chote pamoja na nguo zote. Wakaniamsha wakasikitika sana, nikanywa maji nikalala mpaka kesho yake. Acheni jamani Mungu yupo.
nilikuwa nikizimeza hizo au Kwinini.. maskio yanalia diiiii iiiiiiii siku nzima.
Ni noomaBora wewe Diiiiiiiii diiiiiiiiiiii, MIMI ILIKUA NI ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii siku 3
Niko darasa la 5 nilikosea dose, ile 4x4x2, basi nikanywa asubuhi, mchana na ucku jamani asikuambie mtu. Usifanye mchezo roho inapotaka kuacha mwili, Kaka yangu ananiuliza dawa zako ziko wapi? Nikamjibu nimemaliza, wewe alikoroga mavi ya ng'ombe nadhani alichanganya na ya watu, nyie msisikie habari ya kufa.
Huku nje watu kilio, wanajua siamki, nikapewa maziwa fresh lita 4, nikanyweshwa na hivyo vinyesi, jamani Mungu yupo, akisema hufi hufi. Nilianza kutapika nilitapika mpaka nilikuwa siwezi kufumbua macho, kwa kifupi kila mtu alijua tu hell!! Mpaka ucku wa saa 4, ndio naenda kulala. Jinsi walivyonitandikia unajua kabisa wananiaga, niliogoshwe nikavalishwa nguo nzuri sana za kwangu kwa akili ya kawaida nilijua wananizuia na hii baridi ninayohisi. Kumbe wenzangu walikuwa wananiaga kuwa hakuna namna. Amini maneno yangu, usiku kama wa saa 7 ninaona kwa macho yangu malaika, mkononi kashika kitu kinatoa damu. Naona kwa macho yangu, akaingiza ule mkono wake tumboni kwangu, akatoa kitu nikahisi maumivu sana, akaweka kile kingine, naona kwa macho. Kushoto kwangu wamelala watu wengi, ambao walikuwa wako tayari ninapokata roho wanisaidie. Lakini wenyewe hawamuoni yule malaika, alipokuwa anaondoka nilipiga kelele kubwa sana, nikagongwa na kitu usoni kwa kishindo kikubwa sana. Niliona nyota kama 200 hivi, jasho lililowesha kitanda chote pamoja na nguo zote. Wakaniamsha wakasikitika sana, nikanywa maji nikalala mpaka kesho yake. Acheni jamani Mungu yupo.
Iodine hyo mkuuhahaha mie nilikuwa mtundu gv ilikuwa kawaida sana kwangu na kuna lile lidawa linauma hatare la vidonda ukibandikwa pamba haibanduki apaka upone ngozi inaota mdogo mdogo
Wazungu ni wachawiWazungu watu wabaya sana walifanya makusudi kutukomoa sisi waafrika kututengezea hii dawa ya chroloquine,kwanini wao walikuwa wanatumia dawa nyingine tofauti na chroloquine wanapougua malaria wakiwa huku Afrika?
Huo mkojo ilkw nikitaka kunywa lazima kuwe na kitu kitamu tamu pembeni haahaa....Hivi bado upo sikuhiz?hii dawa ilikuwa na ndugu yake aliyeitwa quinine(kwainini).... dah yan nlikuwa nikiumwa nahisi kupona ghafla nliposikia hizi dawa.... ilikuwa pia kifua kikisumbua kuna jamaa walimwita mkojo wa punda.
Dah mim mpka leo SIKIO LANGU LA KULIA HALISIKIII KABISA YAANI TOKA MWAKA 2003 NILIPOMEZA DAWA HIYOOO DAHHHHH CHROLOQUINEEEEE...
chroloquine sina ham nayo aseeh ilikuwa nikinywa masikio yangu yanabadili quality ya sound yani usikivu wangu ulikuwa kama cassete ya radio inayoplay huku nyuzi zinatoka. ilikuwa ina-edit masikio yangu dah!
ina nini? Chungu? Harufu mbaya au?Hiyo dawa nilmeza mara moja sikurudia tenaaaa
Ukweli huu uzi umenikumbusha huyu rafiki yangu wa siku nyingi, na huwa namkumbuka tu sana naamini yuko salama huko aliko.Bujibuji naona umemmc a long time hommie klorokwini!..
Ilikuwa ni projrct ya kuzalisha mashoga Afrika, Kizazi kilichotumia sana dawa hizo ndo hichi cha akija James delicious.'Kolokwini' ile dawa ina nguvu za ajabu, yaani ikikaribia kugusa ulimi tu ina uwezo wa kukivuta nje chakula chote ulichokula. Dawa chungu kama imetengenezwa na mashetani, halafu bahati mbaya iwe inakuonea, yaani ukinywa ni full kuwashwa kwa muda siku tatu mfululizo bila kupumzika, halafu muwasho wake ni hadi kwenye kinyeo na makende. Ukianza kuwashwa hujitokezi mbele za watu, maana kuna maeneo utashindwa kujikuna. Ukigusa maji hata tone tu kuwasha kunaongezeka mara tatu zaidi.
Watu wamepoteana sana humu!!..Ukweli huu uzi umenikumbusha huyu rafiki yangu wa siku nyingi, na huwa namkumbuka tu sana naamini yuko salama huko aliko.
Molecular Formula: C18H26ClN3