Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 8,920
- 16,199
hivi yule muhenga aliyesema "hata vikombe kabatini hugongana" alifikilia nini mpaka akasema hivyo???
nimeweka glass mbili kabatini mpaka leo bado vipo pale pale havijahama wala kugusana, sasa huyu muhenga alifikiria nini mpumbavu huyu
nimeweka glass mbili kabatini mpaka leo bado vipo pale pale havijahama wala kugusana, sasa huyu muhenga alifikiria nini mpumbavu huyu
[HASHTAG]#WapostPumba[/HASHTAG]