Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,587
- 215,181
Ninakumbuka nikiwa mdogo, bibi alitukataza kula nyama ya ng’ombe ukiwa na mafua. Alisema inaamsha khambaku.
Ukubwani nimekuja kugundua kuwa red meat, dairy products, mahindi mabichi vina activate production ya mucus kwenye mucus goblets kwa baadhi ya watu.
Unakumbuka dawa gani uliambiwa na wahenga?
Ukubwani nimekuja kugundua kuwa red meat, dairy products, mahindi mabichi vina activate production ya mucus kwenye mucus goblets kwa baadhi ya watu.
Unakumbuka dawa gani uliambiwa na wahenga?