Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,521
- 6,517
Fatuma
Fala Nini huyu ni grinch sio Kama huyo donkey wakoAkili zako ni kama huyo mnyabi wa kwenye avatar yako.
You're very unlucky one my boss!Ina maana haujawahi "piga pedeli" za baiskeli aina ya Phoenix au Swala?😂😂😂😂Huwa naiona kwenye tv au kwenye picha kama hivyo
Saivi ni nadra sana kuiona mkuu sio kama zamani
Unataka hela kias ganKumbe. Ndio ipo hivi nilikua naisikia tuu spana malaya
sijawahi kuiona
mimi nimezaliwa kipind bodaboda zinaingiaHukuwahi kumiliki bakskeli. Ilikuwa lazima uwe nayo hii. SPANA MALAYA
😁😁😁kwa kazi ipi mkuu?Unataka hela kias gan
Hakuna fundi baiskeli alikuwa anakosa hii
Jr![]()
Kwasababu ilikuwa malayaNa ni kwanini iliitwa spana malaya