Nadhani inafungua nati nyingiInafungua kila nati hiyo.
Saivi ni nadra sana kuiona mkuu sio kama zamaniSina uhakika kama kweli hii spana Malaya imepotea kiasi cha kuizungumzia kwa wahenga!
Nadhani bado ipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna fundi baiskeli alikuwa anakosa hii
Jr![]()
Mkuu zipo nenda kwa fundi baiskeli utaikuta, maduka ya spea za baiskeli.Saivi ni nadra sana kuiona mkuu sio kama zamani
Flying pigeon walikuwa wanakopeshwa wanajeshiKwa sie wahenga tunaozijua Shangzen, Swala, Phoenix, Avon hiyo ilikua nyenzo muhimu sana.
Aisee wakati tupo wadogo ukiona wazee wanatengeneza baiskeli lazima hii spana uone wakiitumia.Kuna watu hawaijui mkuu
Kilombero mitaa ya Ruaha,K1,K2,Mkamba,KiberegeMang'ula,Sanje,Ifakara(Ifoza) huko baiskeli zimejaa nyumba ikikosa baiskeli basi kukodi kijiweni kunawahusu.Aisee wakati tupo wadogo ukiona wazee wanatengeneza baiskeli lazima hii spana uone wakiitumia.
Wahenga wanaanzia miaka mingapi ?Mimi niliifahamu kwa jina la SPANA MALAYA je wewe muhenga mwenzangu uliifahamu kwa jina gani? View attachment 1403250View attachment 1403251
RuahaKilombero mitaa ya Ruaha,K1,K2,Mkamba,KiberegeMang'ula,Sanje,Ifakara(Ifoza) huko baiskeli zimejaa nyumba ikikosa baiskeli basi kukodi kijiweni kunawahusu.
Watu wazima wenye meno 32Wahenga wanaanzia miaka mingapi ?
Dogo unahamasisha shughuli za uwindaji haramuWatu wazima wenye meno 32
HahahahaDogo unahamasisha shughuli za uwindaji haramu