Wahariri na Rais Kikwete: Yametimia yaliyotabiriwa?

Ni kweli wengi ni wanafiki walikuwa wanachekacheka! sijui walikuwa wanafikiri atawatangazia kuwateua baadhi yao kuwa wakuu wa wilaya,maana huelewi unakuta mtu an confidence za kuandika makala za kukosoa serikali na mkuu wa nchi akifika mbele yake anshindwa kuuliza maswali ya kumeweka mkuu wa nchi akione kile kiti ni cha moto!

kuna watu walichanjiwa/walimezeshwa hirizi ya simba mnyama ukikutana nao kila ulichopanga kusema huyeyuka kama ice cream, ndicho kilichowatokea hao jamaa na wengine wote wänaokabiliana na mtu huyo! Ngoja siku aingie humu jf utaona watakaorespond kwenye post zake watakuwa wana vitete pia!
 
Kinacho fuata.
1. ITV wataizima
2. Jamii forums wataipiga marufuku
3. facebook haitapatikana tanzania.
4. Waatnzania wote kusoma magazeti ya serikali na TBC1
5. Police kugoma
6. etc.
 
Nasikia wengi wana kadi za Chama hicho, ndo mana huwa hawathubutu kumtia kitanz cha maswal magumu mzee wetu wa Magogoni. Ni aibu kwa taaluma yao na kwa jamii yetu kwa ujumla mana ni kiungo chetu muhim. Inashangaza kuona nchi ina mambo meng ya sintofaham tena meng yametokea ndan ya mwez husika, lakin wahariri hawaon umuhim wa kumuuliza mkuu wa kaya, kwa kuogopa kujimwa ukuu wa wilaya au wadhifa flan. Aibu sana.
 
i)Muhariri wa Tzdaima- kuhusu swali alivyomuuliza Kikwete kuhusu Serekali kuhusika Kumdhuru dk Ulimboka lilikuwa ni la kitoto sana.

ALIULIZA HIVI.
Mh kuna baadhi ya Vyombo vya habari vinadai serekali imehusika
Ningalipata mimi nafasi ningaliuliza hivi.
Mh rais. hivi karibuni baadhi ya magazeti na yalimtaja mtumishi wa Ikulu (Ningalimtaja jina )ndio wahusika wa utekaji wa Dk Ulimboka. Swali. kwa kuwa Ikulu ni pahala patakatifu , Jee mh kweli mtumishi huyu alietajwa yupo kweli Ikulu? na kama yupo nini msimamo wa serekali yako kama hayupo Ikulu wala haimjui kwanini serekali imekaa kimya kukanusha habari hizo kupitia Msemaji wa Ikulu kama tulivyozoea kusikia kupitia Kurugenzi ya mawasiliano?

b)Kwanini Mh rais umeshindwa kuunda tume huru kuondoa wingu hili
Si tulishaelezwa na Mkapa kwamba waandishi wetu ni makanjanja na hawana uwezo wa kumhoji mtu? Ndiyo maana huyu jamaa kwa werevu wake JK aliwaalika vilaza hawa kwenda kumsikiliza, na walipoalikwa kuuliza maswali wameuliza pumba! nadhani siku ile walirudi majumbani na vitambi na walisevu bajeti za majumbani kwao! What a shame and insult to the proffession!

 
Back
Top Bottom