Ni Kweli tumekosa Wahariri wakutuonesha ata mapungufu ya wazi katika IGA ya Tanzania na DP World?

Mpinzire

JF-Expert Member
Jan 18, 2013
7,229
12,954
Moja ya kitu cha wazi ni pale wataalamu wakina PHD Johari wanasema si bandari zote ila ni Bandari ya Dar es Salaam pekee! Hivi ni kweli waandishi wa habari wote Tanzania hawajasoma Headline ya IGA? hawakuelewa? walishindwa ata kuona ufafanuzi wanautoa upande wa Serikali una warakini?

Tumepewa utashi ila kwanini tunakubali kudanganywa kwa vitu ambavyo tunaona kabisa kesho na kesho kutwa vitakuja kupelekwa mbele ya mahakama na hayataenda maneno ya majukwaani? Tuseme sawa kwakuwa issue ni Lugha! twende kwenye Azimio la Bunge, kuna mahala wamesema uwekezaji uo utakuwa katika bandari ya Dar pekee? kwanini litumike neno "Sea and Lake Ports" na sio Dar es Salaam Port? Neno Sea and Ports limekuja kufanya nini kama hamtaki kumpa Bandari zote za Tanzania Bara?

Wahariri wote Tanzania hamna ata mmoja ambae anathubutu ata kuuliza kasoro kama hizi ambazo zitakuja kutuletea shida huko mbeleni, wote wako kimya wamejifungia alafu huko mbele yakija kutokea mtawaambia nini Watanzania na wakati nynyi wasomi mpo na mlishindwa kuionesha Serikali kasoro zao?

IMG_20230714_140409.jpg

Screenshot (2).png


Kizungumti cha waitia sahihi.

Wahariri wetu bado wameshndwa kuona mapungufu yaliyopo kwenye uteuaji wa watia sahihi kwa upande wa Dubai ulivyo na mashakha! Hivi Attachment unaweza kuipeleka Mahakamani kweli kujitetea kama ulisaini mkataba na Serikali? Mbona kwa upande wa Tanzania uteuzi wa kusaini umetolewa na Rais mwenyewe ila huku kwa Dubai hajulikani nani alimteua mtia sahihi akaisani Document nyeti kama hii? Kweli wahariri wetu wameshindwa kuona haya mapungufu kimaandishi mpaka wamsubiri Johari aje kuwaelezea? Hawajui kuwa mwisho wa siku Johari hatenda kusimama kwenye mhakama huko South Africa na atakama akisimama ataomba nyaraka ambayo kiuhalisia itakuwa na mapungufu kizungumkuti?
Screenshot_2023-07-10-22-03-23-68_f541918c7893c52dbd1ee5d319333948.jpg


Hivi tunauhakika kweli kuwa tumesaini mkataba na Serikali ya Dubai? au tumesaini na wajanja waliojivisha Joho la Serikali ya Dubai?
Pascal Mayalla
 
Kama Dr. Slaa aliongea nao hili wao wakaenda kuandika lile unategemea huu mkataba ndo wauchambue kwa maslahi ya watanzania?

Waandishi wenyewe wameufyata mkia sehem kubwa wanaisifia serikali kama vile sirikali haikosei

All in all hongera kwa uchambuzi mzuri sana!
 
Endapo ukichagua upande na kuamua kushikamana nao, basi hata rangi nyeusi utaiona kama ni nyeupe kwa kuwa tu umeaminishwa hivyo. Kitu chochote kile ambacho hakigusi maslahi ya moja kwa moja ya binafsi ya mtu kitaonekana kama si kipaumbele.
Moja ya kitu cha wazi ni pale wataalamu wakina PHD Johari wanasema si bandari zote ila ni Bandari ya Dar es Salaam pekee! Hivi ni kweli waandishi wa habari wote Tanzania hawajasoma Headline ya IGA? hawakuelewa? walishindwa ata kuona ufafanuzi wanautoa upande wa Serikali una warakini?

Tumepewa utashi ila kwanini tunakubali kudanganywa kwa vitu ambavyo tunaona kabisa kesho na kesho kutwa vitakuja kupelekwa mbele ya mahakama na hayataenda maneno ya majukwaani? Tuseme sawa kwakuwa issue ni Lugha! twende kwenye Azimio la Bunge, kuna mahala wamesema uwekezaji uo utakuwa katika bandari ya Dar pekee? kwanini litumike neno "Sea and Lake Ports" na sio Dar es Salaam Port? Neno Sea and Ports limekuja kufanya nini kama hamtaki kumpa Bandari zote za Tanzania Bara?

Wahariri wote Tanzania hamna ata mmoja ambae anathubutu ata kuuliza kasoro kama hizi ambazo zitakuja kutuletea shida huko mbeleni, wote wako kimya wamejifungia alafu huko mbele yakija kutokea mtawaambia nini Watanzania na wakati nynyi wasomi mpo na mlishindwa kuionesha Serikali kasoro zao?

View attachment 2696911
View attachment 2696910


Kizungumti cha waitia sahihi.

Wahariri wetu bado wameshndwa kuona mapungufu yaliyopo kwenye uteuaji wa watia sahihi kwa upande wa Dubai ulivyo na mashakha! Hivi Attachment unaweza kuipeleka Mahakamani kweli kujitetea kama ulisaini mkataba na Serikali? Mbona kwa upande wa Tanzania uteuzi wa kusaini umetolewa na Rais mwenyewe ila huku kwa Dubai hajulikani nani alimteua mtia sahihi akaisani Document nyeti kama hii? Kweli wahariri wetu wameshindwa kuona haya mapungufu kimaandishi mpaka wamsubiri Johari aje kuwaelezea? Hawajui kuwa mwisho wa siku Johari hatenda kusimama kwenye mhakama huko South Africa na atakama akisimama ataomba nyaraka ambayo kiuhalisia itakuwa na mapungufu kizungumkuti?
View attachment 2696974

Hivi tunauhakika kweli kuwa tumesaini mkataba na Serikali ya Dubai? au tumesaini na wajanja waliojivisha Joho la Serikali ya Dubai?
Pascal Mayalla
IMG-20160615-WA0003.jpg
 
Kama Dr. Slaa aliongea nao hili wao wakaenda kuandika lile unategemea huu mkataba ndo wauchambue kwa maslahi ya watanzania?

Waandishi wenyewe wameufyata mkia sehem kubwa wanaisifia serikali kama vile sirikali haikosei

All in all hongera kwa uchambuzi mzuri sana!
Si ajabu wahariri na waandishi nao wamevuta,nchi hii ni ya ajabu sana,kila kitu wanakifanya ni fursa😄
 
Waandishinwote wana njaa e.g Deodatus Balile nilimsikia kwenye mkutano fulani uliohisisha wahariri wa vyombo vya habari akilalamika kuwa DAWASCO wanamtaka alipie shilingi laki 8 ili nyumba yake iweze kuunganishiwa maji.

Nikajiuliza mbona mm muoka maandazi nimelipia shilingi laki 6 kimya kimya ? Huyu mhariri mzima analalamika laki 8...!! Ndipo nikajua waandishi wana njaa kali sana
 
Moja ya kitu cha wazi ni pale wataalamu wakina PHD Johari wanasema si bandari zote ila ni Bandari ya Dar es Salaam pekee! Hivi ni kweli waandishi wa habari wote Tanzania hawajasoma Headline ya IGA? hawakuelewa? walishindwa ata kuona ufafanuzi wanautoa upande wa Serikali una warakini?

Tumepewa utashi ila kwanini tunakubali kudanganywa kwa vitu ambavyo tunaona kabisa kesho na kesho kutwa vitakuja kupelekwa mbele ya mahakama na hayataenda maneno ya majukwaani? Tuseme sawa kwakuwa issue ni Lugha! twende kwenye Azimio la Bunge, kuna mahala wamesema uwekezaji uo utakuwa katika bandari ya Dar pekee? kwanini litumike neno "Sea and Lake Ports" na sio Dar es Salaam Port? Neno Sea and Ports limekuja kufanya nini kama hamtaki kumpa Bandari zote za Tanzania Bara?

Wahariri wote Tanzania hamna ata mmoja ambae anathubutu ata kuuliza kasoro kama hizi ambazo zitakuja kutuletea shida huko mbeleni, wote wako kimya wamejifungia alafu huko mbele yakija kutokea mtawaambia nini Watanzania na wakati nynyi wasomi mpo na mlishindwa kuionesha Serikali kasoro zao?

View attachment 2696911
View attachment 2696910


Kizungumti cha waitia sahihi.
Wahariri wetu bado wameshndwa kuona mapungufu yaliyopo kwenye uteuaji wa watia sahihi kwa upande wa Dubai ulivyo na mashakha! Hivi Attachment unaweza kuipeleka Mahakamani kweli kujitetea kama ulisaini mkataba na Serikali? Mbona kwa upande wa Tanzania uteuzi wa kusaini umetolewa na Rais mwenyewe ila huku kwa Dubai hajulikani nani alimteua mtia sahihi akaisani Document nyeti kama hii? Kweli wahariri wetu wameshindwa kuona haya mapungufu kimaandishi mpaka wamsubiri Johari aje kuwaelezea? Hawajui kuwa mwisho wa siku Johari hatenda kusimama kwenye mhakama huko South Africa na atakama akisimama ataomba nyaraka ambayo kiuhalisia itakuwa na mapungufu kizungumkuti?
View attachment 2696974

Hivi tunauhakika kweli kuwa tumesaini mkataba na Serikali ya Dubai? au tumesaini na wajanja waliojivisha Joho la Serikali ya Dubai?
Pascal Mayalla
japo siyo mwanasheria na hisi hapa kuna tatizo la kisheria.sijajua kama zanzibar inaweza kupat kibari cha kusaini mikataba kwa niaba ya Tanzania.maana kiuhalisia emirate of Dubai ni kama Zanzibar katika muungano wa TANGANYIKA NA ZANZIBAR TO make Tanzania. Emirate of Dubai is one of the seven emirates of the United Arab Emirates. It is the most populous emirate of the UAE.

HIVI TUKIACHA MKATABA HUU TUNAPOTEZA NI KWA MFANO? TUKIREKEBISHA MKATABA TUNAPUNGUKIWA NINI KWA MFANO?DAAAH
NACHUKIA KUWEKA SIASA KWA KILA KITU
 
Moja ya kitu cha wazi ni pale wataalamu wakina PHD Johari wanasema si bandari zote ila ni Bandari ya Dar es Salaam pekee! Hivi ni kweli waandishi wa habari wote Tanzania hawajasoma Headline ya IGA? hawakuelewa? walishindwa ata kuona ufafanuzi wanautoa upande wa Serikali una warakini?

Tumepewa utashi ila kwanini tunakubali kudanganywa kwa vitu ambavyo tunaona kabisa kesho na kesho kutwa vitakuja kupelekwa mbele ya mahakama na hayataenda maneno ya majukwaani? Tuseme sawa kwakuwa issue ni Lugha! twende kwenye Azimio la Bunge, kuna mahala wamesema uwekezaji uo utakuwa katika bandari ya Dar pekee? kwanini litumike neno "Sea and Lake Ports" na sio Dar es Salaam Port? Neno Sea and Ports limekuja kufanya nini kama hamtaki kumpa Bandari zote za Tanzania Bara?

Wahariri wote Tanzania hamna ata mmoja ambae anathubutu ata kuuliza kasoro kama hizi ambazo zitakuja kutuletea shida huko mbeleni, wote wako kimya wamejifungia alafu huko mbele yakija kutokea mtawaambia nini Watanzania na wakati nynyi wasomi mpo na mlishindwa kuionesha Serikali kasoro zao?

View attachment 2696911
View attachment 2696910


Kizungumti cha waitia sahihi.
Wahariri wetu bado wameshndwa kuona mapungufu yaliyopo kwenye uteuaji wa watia sahihi kwa upande wa Dubai ulivyo na mashakha! Hivi Attachment unaweza kuipeleka Mahakamani kweli kujitetea kama ulisaini mkataba na Serikali? Mbona kwa upande wa Tanzania uteuzi wa kusaini umetolewa na Rais mwenyewe ila huku kwa Dubai hajulikani nani alimteua mtia sahihi akaisani Document nyeti kama hii? Kweli wahariri wetu wameshindwa kuona haya mapungufu kimaandishi mpaka wamsubiri Johari aje kuwaelezea? Hawajui kuwa mwisho wa siku Johari hatenda kusimama kwenye mhakama huko South Africa na atakama akisimama ataomba nyaraka ambayo kiuhalisia itakuwa na mapungufu kizungumkuti?
View attachment 2696974

Hivi tunauhakika kweli kuwa tumesaini mkataba na Serikali ya Dubai? au tumesaini na wajanja waliojivisha Joho la Serikali ya Dubai?
Pascal Mayalla


Klingana na wikipendia naona kama kuna kosa kisheria aisee,daah .nasikia kulia kwa kweli .


ebu soma government of Dubai ni nini
The Government of Dubai (Arabic: حكومة دبي) is the subnational authority that governs the Emirate of Dubai, one of the seven constituent monarchies which make up the United Arab Emirates. The executive authority and head of the government is the Ruler of Dubai, Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum. The Ruler of Dubai appoints the Dubai Executive Council, which is led by the crown prince of Dubai and is responsible for the day-to-day management of Dubai Government agencies such as the Dubai Municipality and numerous other governing entities


Nafikiri japo siyo mwanasheria kwa sbabu ni IGA( international government agreement mkataba wa makubariano kati nya nchi mbili ) ,tulitakiwa sisi kama nchi ya TANZANIA kuingia mkataba na UNITED EMIRATES ,na siyo the Governemt of Dubai kwa Saba bu Government of Dubai siyo nchi.kama labda United Emirated ingetuoa kibari kwa serikali ya Dubai kuingia makubariano na nchi ya Tanzania hapo sawa.

jamani na hili nalo ni shida kwa wenzangu CCM kuliona na kulielewa? Daah

hivi serikali inaaamini kuwa kesi zilizopa mahakamani kuhusu swala hili ityashinda? serious .anayesimamia kesi hizo analo kwa kweli. serikali ikishindwa mtasema hafai hakusimamia vizuri .


lilishawahi CCM kuwa ningekuwa mpinzani nisingepata shida hiangusha ccm maana mimi naenda nahoja kwa wananchi.very simple

CCM tujirekebishe haraka tusijeonekana kituko. kwenye vikao tusijadiri akili za wapinzani bali tujadiri hoja .
 
Klingana na wikipendia naona kama kuna kosa kisheria aisee,daah .nasikia kulia kwa kweli .


ebu soma government of Dubai ni nini
The Government of Dubai (Arabic: حكومة دبي) is the subnational authority that governs the Emirate of Dubai, one of the seven constituent monarchies which make up the United Arab Emirates. The executive authority and head of the government is the Ruler of Dubai, Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum. The Ruler of Dubai appoints the Dubai Executive Council, which is led by the crown prince of Dubai and is responsible for the day-to-day management of Dubai Government agencies such as the Dubai Municipality and numerous other governing entities


Nafikiri japo siyo mwanasheria kwa sbabu ni IGA( international government agreement mkataba wa makubariano kati nya nchi mbili ) ,tulitakiwa sisi kama nchi ya TANZANIA kuingia mkataba na UNITED EMIRATES ,na siyo the Governemt of Dubai kwa Saba bu Government of Dubai siyo nchi.kama labda United Emirated ingetuoa kibari kwa serikali ya Dubai kuingia makubariano na nchi ya Tanzania hapo sawa.

jamani na hili nalo ni shida kwa wenzangu CCM kuliona na kulielewa? Daah

hivi serikali inaaamini kuwa kesi zilizopa mahakamani kuhusu swala hili ityashinda? serious .anayesimamia kesi hizo analo kwa kweli. serikali ikishindwa mtasema hafai hakusimamia vizuri .


lilishawahi CCM kuwa ningekuwa mpinzani nisingepata shida hiangusha ccm maana mimi naenda nahoja kwa wananchi.very simple

CCM tujirekebishe haraka tusijeonekana kituko. kwenye vikao tusijadiri akili za wapinzani bali tujadiri hoja .
Tatizo hii issue inamuhusu Rais mwenyewe! Ndiyo maana ata CCM wanaona kuuponda huu mkataba ni sawa kumponda mwenyekiti mwenyewe tu. Lingekuwa jambo ili ni la Waziri juu kwa juu! Aaah wangemumwashia moto
 
Moja ya kitu cha wazi ni pale wataalamu wakina PHD Johari wanasema si bandari zote ila ni Bandari ya Dar es Salaam pekee! Hivi ni kweli waandishi wa habari wote Tanzania hawajasoma Headline ya IGA? hawakuelewa? walishindwa ata kuona ufafanuzi wanautoa upande wa Serikali una warakini?

Tumepewa utashi ila kwanini tunakubali kudanganywa kwa vitu ambavyo tunaona kabisa kesho na kesho kutwa vitakuja kupelekwa mbele ya mahakama na hayataenda maneno ya majukwaani? Tuseme sawa kwakuwa issue ni Lugha! twende kwenye Azimio la Bunge, kuna mahala wamesema uwekezaji uo utakuwa katika bandari ya Dar pekee? kwanini litumike neno "Sea and Lake Ports" na sio Dar es Salaam Port? Neno Sea and Ports limekuja kufanya nini kama hamtaki kumpa Bandari zote za Tanzania Bara?

Wahariri wote Tanzania hamna ata mmoja ambae anathubutu ata kuuliza kasoro kama hizi ambazo zitakuja kutuletea shida huko mbeleni, wote wako kimya wamejifungia alafu huko mbele yakija kutokea mtawaambia nini Watanzania na wakati nynyi wasomi mpo na mlishindwa kuionesha Serikali kasoro zao?

View attachment 2696911
View attachment 2696910


Kizungumti cha waitia sahihi.

Wahariri wetu bado wameshndwa kuona mapungufu yaliyopo kwenye uteuaji wa watia sahihi kwa upande wa Dubai ulivyo na mashakha! Hivi Attachment unaweza kuipeleka Mahakamani kweli kujitetea kama ulisaini mkataba na Serikali? Mbona kwa upande wa Tanzania uteuzi wa kusaini umetolewa na Rais mwenyewe ila huku kwa Dubai hajulikani nani alimteua mtia sahihi akaisani Document nyeti kama hii? Kweli wahariri wetu wameshindwa kuona haya mapungufu kimaandishi mpaka wamsubiri Johari aje kuwaelezea? Hawajui kuwa mwisho wa siku Johari hatenda kusimama kwenye mhakama huko South Africa na atakama akisimama ataomba nyaraka ambayo kiuhalisia itakuwa na mapungufu kizungumkuti?
View attachment 2696974

Hivi tunauhakika kweli kuwa tumesaini mkataba na Serikali ya Dubai? au tumesaini na wajanja waliojivisha Joho la Serikali ya Dubai?
Pascal Mayalla
Wahariri walifuata allowance .
 
Back
Top Bottom