Huyu muhariri akiwa anaongea kwenye TV kwa ukali lakini nashangaa sana jana kapata nafasi ya kumuuliza JK swali uso kwa macho lakini kauliza swali dhaifu sana...JK sijui aliwapa nini wahariri alikuwa akicheka na wenyewe wanacheka.
Wahariri walikuwa wanauliza maswali dhaifu sana utadhani wapo kwenye kipindi cha malumbano ya hoja.
Yana mwisho yote hayo mungu pamoja na taifa letu naamini tutafika tunapopataka siku sio nyingi wote walio watumwa wa wenye fedha watafunguliwa na ubora wa fani zao utakuwa chachu ya maendeleo.
i)Muhariri wa Tzdaima- kuhusu swali alivyomuuliza Kikwete kuhusu Serekali kuhusika Kumdhuru dk Ulimboka lilikuwa ni la kitoto sana.
ALIULIZA HIVI.
Mh kuna baadhi ya Vyombo vya habari vinadai serekali imehusika
Ningalipata mimi nafasi ningaliuliza hivi.
Mh rais. hivi karibuni baadhi ya magazeti na yalimtaja mtumishi wa Ikulu (Ningalimtaja jina )ndio wahusika wa utekaji wa Dk Ulimboka. Swali. kwa kuwa Ikulu ni pahala patakatifu , Jee mh kweli mtumishi huyu alietajwa yupo kweli Ikulu? na kama yupo nini msimamo wa serekali yako kama hayupo Ikulu wala haimjui kwanini serekali imekaa kimya kukanusha habari hizo kupitia Msemaji wa Ikulu kama tulivyozoea kusikia kupitia Kurugenzi ya mawasiliano?
b)Kwanini Mh rais umeshindwa kuunda tume huru kuondoa wingu hili
bila shaka yametimia!
Kwanini kubenea mwenyewe hakwenda, yule jamaa namkubali angemchana laivu?
i)Muhariri wa Tzdaima- kuhusu swali alivyomuuliza Kikwete kuhusu Serekali kuhusika Kumdhuru dk Ulimboka lilikuwa ni la kitoto sana.
ALIULIZA HIVI.
Mh kuna baadhi ya Vyombo vya habari vinadai serekali imehusika
Ningalipata mimi nafasi ningaliuliza hivi.
Mh rais. hivi karibuni baadhi ya magazeti na yalimtaja mtumishi wa Ikulu (Ningalimtaja jina )ndio wahusika wa utekaji wa Dk Ulimboka. Swali. kwa kuwa Ikulu ni pahala patakatifu , Jee mh kweli mtumishi huyu alietajwa yupo kweli Ikulu? na kama yupo nini msimamo wa serekali yako kama hayupo Ikulu wala haimjui kwanini serekali imekaa kimya kukanusha habari hizo kupitia Msemaji wa Ikulu kama tulivyozoea kusikia kupitia Kurugenzi ya mawasiliano?
b)Kwanini Mh rais umeshindwa kuunda tume huru kuondoa wingu hili